Wapinga kufungwa kwa duka la Uchumi TZ
Wafanyikazi waliojawa na hasira kutoka kwa duka la jumla la Uchumi Supermarket wamelazimisha kufungwa kwa mojawapo ya maduka hayo nchini Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GbNX3HXEubY/XqmL7-c-tpI/AAAAAAALolY/kJpwpfyGJ7U4CkfsDd51LggmlRU8bk-xACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200429-WA0007.jpg)
OPESHENI YA DUKA KWA DUKA YAANZA PWANI KUBAINI WAFICHA NA KUUZA SUKARI BEI JUU-WANKYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-GbNX3HXEubY/XqmL7-c-tpI/AAAAAAALolY/kJpwpfyGJ7U4CkfsDd51LggmlRU8bk-xACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200429-WA0007.jpg)
JESHI la polisi mkoani Pwani limetangaza msako wa duka kwa duka ,kuwabaini wafanyabiashara ambao wameficha sukari na kuuza kwa bei isiyo elekezi ya sh .2,700 kwa kilo moja ,ambapo ni kinyume cha sheria .
Kutokana na msako huo ulioanza mkoani hapo ,jeshi hilo ,limeshakamata jumla ya kilo 1,037 za sukari pamoja na watuhumiwa saba wanaodaiwa ni wafanyabiashara walioficha sukari hiyo.
Akizungumzia tukio hilo ,kamanda wa polisi mkoani hapo ,Wankyo Nyigesa alieleza kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4_3r8CcoAnk/VEj8XK4_IsI/AAAAAAAGs78/kNTXax96OV4/s72-c/001.QUALITY%2BCENTRE%2BUCHUMI.jpg)
Vodacom yafungua duka jipya jengo la Quality Centre Uchumi
Duka hili jipya lenye mazingira rafiki kwa wateja litakuwa linatoa huduma mbalimbali kwa wateja wa Vodacom ikiwemo huduma kwa mawakala wa Mpesa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNUYBK4dTtujnzwbv5Emf0ntc9-F-2HJSEZ7QRP0k4oEAOfnLOqCv7pR3Wfktq4udWlpdRC0TM57maAf5shtfzJm/001.QUALITYCENTREUCHUMI.jpg?width=650)
VODACOM YAFUNGUA DUKA JIPYA LA KISASA JENGO LA QUALITY CENTRE UCHUMI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JnNsxgX9lA3SyFW2kic*VxMnV3Pu1B2b2sXAlIH0Qzb-YGr0valqsv5x9W0bfpv5*x0cSBr8BbxtwTGvztAfez6W6mVgEBjf/dukanoma.jpg?width=650)
KWA NINI WENGI HAWAFANIKIWI KWA BIASHARA YA DUKA?
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Tigo wafungua duka huduma kwa wateja
10 years ago
Habarileo24 Sep
Chadema wapinga kura kwa intaneti
UAMUZI wa Bunge Maalumu la Katiba wa kupitisha marekebisho ya Kanuni zake, ili kutoa fursa kwa wajumbe wa Bunge hilo kupiga kura ya kukubali au kukataa Katiba inayopendekezwa wakiwa mahali popote hata nje ya nchi kwa kutumia nukushi (faksi) au intaneti, umegeuka kuwa shubiri kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
10 years ago
Habarileo03 Sep
Wapinga dhamana kwa washitakiwa wa ubakaji
WANAHARAKATI wanaopambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia kupitia mradi wa Gewe, wameitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji. Akizungumza na gazeti hili wakati wa tathmini ya mradi huo, mwanaharakati Fatma Issa kutoka kijiji cha Dole Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, alisema kesi nyingi za ubakaji watuhumiwa wake wanaachiwa huru baada ya kukosekana kwa ushahidi.
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Wapinga ukatili kwa wanawake, watoto
TAMASHA la kupinga ukatili wa kijinsia lililopewa jina la ‘siku ya rangi ya chungwa’ limenyika jijini Dar es Salaam kupinga unyanyasaji kwa mwanamke na mtoto wa kike. Akizungumza na waandishi...
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Makamishna wapinga kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar