Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapinga ukatili kwa wanawake, watoto

TAMASHA la kupinga ukatili wa kijinsia lililopewa jina la ‘siku ya rangi ya chungwa’ limenyika jijini Dar es Salaam kupinga unyanyasaji kwa mwanamke na mtoto wa kike. Akizungumza na waandishi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

VODACOM FOUNDATION YANOGESHA UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO LEO

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni A.C.P Camillus Wambura(kushoto)akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia alipowasili ofisini kwake akiwa kama Mgeni rasmi wa Uzinduzi wa Maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto leo katika viwanja vya Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Askari polisi na wanafunzi wa Shule ya Msingi Oysterbay na Mbuyuni wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe maalum wakati wa...

 

10 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA MATEMBEZI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO WAFANYIKA LEO JIJINI DAR

  Baadhi ya Wanafunzi kutoka shule mbalimbali wakiwa kwenye uzinduzi wa matembezi ya maadhimisho  ya siku 16 za kupinga ukatili dhidi ya Wanawake na watoto yaliyofanyika katika viwanja vya Oysterbay Polisi,leo Jijin Dar.    Baadhi ya Wanafunzi kutoka shule mbalimbali  wakiongozwa na Brass band yaJeshi la Polisi,wakiwa kwenye uzinduzi wa matembezi ya maadhimisho  ya siku 16 za kupinga ukatili dhidi ya Wanawake na watoto yaliyofanyika katika viwanja vya Oysterbay Polisi,leo Jijin Dar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Kataeni ukatili kwa wanawake’

WANANCHI wametakiwa kuondoa dhana kuwa maadhimisho ya Siku ya Wanawake hufanywa kisiasa, badala yake wawe na mwamko wa kuhudhuria kwa wingi ili watoe maoni yenye kulenga kupinga ukatili na unyanyasaji...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ukatili wa kijinsia kwa wanawake wanasiasa

TUNAPOZUNGUMZIA ukatili wa kijinsia, tunazungumzia somo pana sana. Hasa wakati huu tunapoandika Katiba yetu Mpya, ni lazima kuliangalia somo hili kwa umakini mkubwa. Jamii nzima inahusika na kuguswa na ukatili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kivulini: Ukatili kwa wanawake ukomeshwe

SHIRIKA la Kutetea Haki za Wanawake na Wasichana la Kivulini, limewataka Watanzania kushirikiana kupiga vita ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake. Wito huo ulitolewa hivi karibuni na Mkurugenzi wa Shirika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mila chanzo cha ukatili kwa wanawake

KUTUNGWA kwa sheria kali inaaminika kutachangia kwa kiasi kupunguza vitendo vya ukeketaji ambavyo vinashamiri katika baadhi ya mikoa nchini. Lakini pamoja na kutungwa sheria hizo, bado suala la elimu linahitajika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tushirikiane kukomesha ukatili kwa watoto

VITENDO vya ukatili kwa watoto nchini vinazidi kushamiri kila siku na mbaya zaidi wahusika wa vitendo hivyo ni ndugu na jamaa zao wa karibu. Hali hii ni ya kusitisha, kwani...

 

9 years ago

Bongo5

Dr. Dre aomba radhi kwa ukatili aliowafanyia wanawake

Dr. Dre ameomba radhi kwa ukatili aliowahi kuwafanyia wanawake miaka mingi iliyopita. Rapper na producer huyo ameandika maelezo yake kupitia gazeti la The New York Times na kudai kuwa amebadilika. “Miaka 25 iliyopita nilikuwa kijana mdogo ninayekunywa sana pombe kichwani mwangu sikuwa na mpangilio wa maisha,” alisema. “Hata hivyo, yote haya si sababu ya kukwepa […]

 

11 years ago

Habarileo

Vitendo vya ukatili kwa watoto vyaongezeka

WATOTO 863 nchini wamefanyiwa vitendo vya kikatili mwaka jana, ikiwemo kulawitiwa na walezi wao. Aidha katika kipindi hicho watu 1,669 waliuawa kwa wananchi kujichukulia sheria mkononi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani