Ukatili wa kijinsia kwa wanawake wanasiasa
TUNAPOZUNGUMZIA ukatili wa kijinsia, tunazungumzia somo pana sana. Hasa wakati huu tunapoandika Katiba yetu Mpya, ni lazima kuliangalia somo hili kwa umakini mkubwa. Jamii nzima inahusika na kuguswa na ukatili...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Ukatili wa kijinsia unakandamiza wanawake
UKATILI wa kijinsia ni msemo mpana sana. Unagusa binadamu wote wanawake na wanaume. Lakini ni ukweli usiopingika kwamba ukatili wa kijinsia unawaathiri kwa asilimia kubwa wanawake na wasichana kuliko ilivyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xxs7QLOXy2M/XmB7PmuvbbI/AAAAAAALhFk/M4HeSUYO6WQd86lHL85GIYDcvumLRAODgCLcBGAsYHQ/s72-c/14501c8f-7265-47ad-85d8-23b6035d2d91.jpg)
WANAWAKE WAKIWEZESHWA KIUCHUMI UKATILI WA KIJINSIA UTAKWISHA
Na mwandishi wetu, Arusha
Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Richard Kwitega amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa Mkoani humo kuendelea kutenga asilimia 10 ya fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya kuwawezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu na kuwaepusha na ukatili wa kijinsia.
Ametoa agizo hilo jana tarehe 04/02/2020 wakati akizindua Msafara wa Kitaifa wa kijinsia wa kutokomeza ukatili katika eneo la Ngaramtoni Mkoani Arusha.
"Tumeona njia moja ya kumsaidia mwananchi ni...
Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Richard Kwitega amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa Mkoani humo kuendelea kutenga asilimia 10 ya fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya kuwawezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu na kuwaepusha na ukatili wa kijinsia.
Ametoa agizo hilo jana tarehe 04/02/2020 wakati akizindua Msafara wa Kitaifa wa kijinsia wa kutokomeza ukatili katika eneo la Ngaramtoni Mkoani Arusha.
"Tumeona njia moja ya kumsaidia mwananchi ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-spXukFc-ecU/VHWP7BBQX5I/AAAAAAAAEPU/u43egox-L44/s72-c/DSC_0109.jpg)
SHIRIKA LA WANAWAKE KATIKA SHERIA NA MAENDELEO AFRIKA (WiLDAF) LAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA JIJINI DSM
![](http://4.bp.blogspot.com/-spXukFc-ecU/VHWP7BBQX5I/AAAAAAAAEPU/u43egox-L44/s640/DSC_0109.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y5Gw2Pie7oU/VHWP5xyarHI/AAAAAAAAEPI/7uM3CLWMNVw/s640/DSC_0092.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pQHnVTcvmwQ/VHWP5FBKEoI/AAAAAAAAEPE/WgWYcK_r31E/s640/DSC_0081.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c2cSKszMHyg/VHWP3pKmQKI/AAAAAAAAEO8/3CAC-J6o65Y/s640/DSC_0060.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-spXukFc-ecU/VHWP7BBQX5I/AAAAAAAAEPU/u43egox-L44/s72-c/DSC_0109.jpg)
SHIRIKA LA WANAWAKE KATIKA SHERIA NA MAENDELEO AFRIKA (WiLDAF) LAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-spXukFc-ecU/VHWP7BBQX5I/AAAAAAAAEPU/u43egox-L44/s1600/DSC_0109.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c2cSKszMHyg/VHWP3pKmQKI/AAAAAAAAEO8/3CAC-J6o65Y/s1600/DSC_0060.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ja1_n6Tm5iE/VHWP9B-0vtI/AAAAAAAAEPk/AjG-ikK4YSU/s1600/DSC_0159.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Wengi wajitokeza uzinduzi wa awamu ya pili Kupinga Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Wanawake Soko la Temeke Sterio Jijini Dar
9 years ago
MichuziWENGI WAJITOKEZA UZINDUZI WA AWAMU YA PILI KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE SOKO LA TEMEKE STERIO JIJINI DAR ES SALAAM
KWA PICHA ZAIDI...
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Misungwi yakithiri kwa ukatili wa kijinsia
Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza imeelezwa kukithiri kwa ukatili wa kijinsia, huku idadi kubwa ya watu wanaofanyiwa vitendo hivyo ni wanawake na watoto. Â Â Â
11 years ago
Uhuru Newspaper15 Jul
Mtawa, dereva kizimbani kwa ukatili wa kijinsia
NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
MTAWA wa Kanisa Katoliki la Shirika la Watawa la Wamisionari wa Augustino, Flora Karimi (38), amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za udhalilishaji wa kijinsia.
Flora (38), ambaye ni Mkuu wa Shule ya Mtakatifu Monica ya Moshono, jijini Arusha, na dereva wa shule hiyo, Yasin Mswaiki (36), walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha.
Wakili wa Serikali, Sabina Silayo, alidai mbele ya Hakimu Mkazi Jasmin Abdul kuwa Mswaki, ambayec ni mshitakiwa wa kwanza...
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Ripoti ya Tawla yabaini kukithiri kwa ukatili wa kijinsia
Chama cha Wanasheria Wanawake (Tawla) kimezindua Ripoti ya Mapitio ya Ukatili wa Kijinsia nchini na kubaini kukithiri kwa matukio hayo waliyodai yanasababishwa na udhaifu wa sheria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania