Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VODACOM YAZINDUA WIKI YA WATEJA KWA KUFUNGUA DUKA JIPYA DAR

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania Bw.Keith Tukei akikata utepe kuzindua duka la Vodacom la Ubungo lililopo eneo la flats za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wanaoshuhudia katikati ni Farida Yahya mteja wa kwanza kufika dukani hapo na  wa kwanza kulia ni Meneja wa duka hilo Bi.Jacqueline Twissa.Baadhi ya wafanyakazi katika duka hili wakijiandaa kuanza kupokea wateja muda mfupi baada ya kuzinduliwa rasmi leo.Wafanyakazi wa Vodashop Ubungo katika picha ya pamoja na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Vodacom yaendelea kusogeza huduma karibu na wateja wake, yazindua duka jipya la kisasa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam

 Mkuu wa Kitengo cha Mauzo, Usambazaji ,Maduka na Huduma kwa Wateja Vodacom Tanzania Plc, George Lugata akizungumza na wageni waalikwa na wafanyakazi wa Vodacom mara baada ya uzinduzi wa duka jipya la kisasa lililopo Mbezi Beach chini kwa Zena jijini Dar Es Salaam leo Msimamizi wa duka jipya la Vodacom Mbezi Beach chini kwa Zena jijini Dar es salaam, Devota Kijogoo akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa duka hilo. Mkuu wa Kitengo cha Mauzo, Usambazaji ,Maduka na Huduma kwa Wateja...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yazindua Duka jipya Moshi

2

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Leonidas T. Gama aikata utepe kuzindua rasmi Tawi la Tigo Moshi Mjini jana, wanaoshuhudia kulia ni Gwamaka Mwakilembe, Meneja huduma kwa wateja Kanda ya Kaskazini na kushoto ni Meneja wa ubora huduma kwa wateja Tigo, Mwangaza Matotola.

3

Meneja huduma kwa wateja Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Leonidas Gama juu ya bidhaa zilizopo ndani ya Duka la Tigo lililozinduliwa Moshi Mjini jana.

Kampuni ya simu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yazindua Duka Jipya Ifakara

ifakara picha no 1

Katibu Tawala wilaya ya Kilombero ndugu Yahya Naniya akikata utepe ikiwa ni ishara rasmi ya  uzinduzi wa duka la Tigo lililopo Ifakara mjini, kutoka kushoto ni Meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya Pwani, Isack Shoo, Inspekta Dotto Ngimbwa kutoka ofisi ya OCD Kilombero na mwisho kulia  Mkurugenzi wa Tigo kanda ya mashariki Goodluck Charles.

ifakara picha no 7

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya mashariki, Goodluck Charles akizungumza machache kwenye hafla hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi.

ifakara picha no 8

Katibu...

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAFUNGUA DUKA JIPYA MSASANI

Meneja wa Vodacom wa kibiashara wilaya ya Kinondoni Edger Jonas akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa duka jipya la Vodacom maeneo ya Msasani jijini Dar es Salaam, wanaoshuhudia kutoka kulia kwake ni Meneja wa Mauzo ya rejareja Elihuruma Ngowi, Meneja wa Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim na Msimamizi wa Maduka ya Vodacom Magret Lawrence. Uzinduzi wa duka hilo unaifanya Vodacom kufikisha jumla ya maduka 76 yaliyokwisha...

 

9 years ago

Dewji Blog

TIGO yazindua duka jipya Musoma Mjini

A

Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mjini , Mhe.Zelothe Stephen akikaribishwa na mwenyeji wake, Meneja huduma kwa Wateja wa Tigo kanda ya Ziwa Beatrice Kinabo kabla ya uzinduzi wa tawi jipya la Tigo Musoma mjini. Wengine pichani ni Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mara, Philip Kalangi na mwakilisi wa RAC.

B

Meneja wa Mauzo wa Tigo Mkoa wa Mara, Edwin Kisamo akitoa utambulisho kwa meza kuu.

C

Meneja wa Mauzo Tigo Kanda ya Ziwa, Edgar Mapande akiongea na wageni waalikwa na wanahabari kabla ya uzinduzi wa Duka la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel yazindua wiki ya huduma kwa wateja

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imejipanga kikamilifu kusheherekea wiki ya huduma kwa wateja kwa kuzitambua jitihada na michango ya watoa huduma wao na kuthamini umuhimu wa wateja. Airtel,...

 

11 years ago

Habarileo

Airtel Tanzania yazindua wiki ya huduma kwa wateja

KAMPUNI ya simu za mkononi Airtel imejipanga kikamilifu kushehekea wiki ya huduma kwa wateja kwa kutambua jitihada na michango ya watoa huduma wao na umuhimu wa wateja.

 

11 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA


Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka (kulia), Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, anayeshughulika na Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyadhiyay (kushoto) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Meneja Uhusiano wa Benki ya CRDB, Godwin Semunyu (kulia) akiwa na maofisa wa Benki hiyo kabla ya kuanza kwa mkutano.
Mkurugenzi wa Masoko Utafiti...

 

9 years ago

Michuzi

AMANA BANK YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Mteja wa muda mrefu wa bemki ya Amana Bw Masoud Khalfan (katikati) akizindua wiki ya huduma kwa wateja katika tawi la Main la benki ya Amana jijini Dar ka kukata utepe. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa benki hiyo Dk Muhsin Masoud, Kulia ni mkuu wa idara ya masoko Bw Dassu Mohamed Mussa, kushoto ni mteja wa siku nyingi wa benki hiyo Bw Dossa. Mkuu wa idara ya masoko Bw Dassu Mussa kushoto akiwa na mkuu wa kitengo cha fedha Bw Fahad Hamid siku ya uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja. 
Benki ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani