Maandalizi ya ufunguzi wa shule za msingi mkoa wa Singida
Baadhi ya wazazi/walezi na wanafunzi wakijipatia mahitaji kwa ajili ya ufunguzi wa muhula wa shule za msingi unaotarajiwa kuanza leo Januari tano mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Jan
TRA mkoa wa Singida, yatoa msaada wa madawati shule ya msingi Isanzu wilaya Mkalama
Meneja TRA mkoa wa Singida, Samson Jumbe (kushoto) akimkabidhi Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Isanzu wilaya ya Mkalama, Sadick Mbiro Abdallah, msaada wa madawati 25 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili. Katikati mwenye miwani ni Afisa elimu kwa umma (TRA),Zakaria.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Mkalama
Meneja wa mamlaka ya mapato (TRA) Tanzania mkoani Singida, Samsoni Jumbe,amewahimiza viongozi/watendaji na watu wenye uwezo kiuchumi kujenga utamaduni wa...
11 years ago
Dewji Blog29 May
Shule za msingi Singida zakabiliwa na uhaba wa vyoo
Na Nathaniel Limu, Singida
MKOA wa Singida unakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo 24,743 katika shule zake za msingi kitendo kinachochangia pamoja na mambo mengine mahudhurio kuwa mabaya ya wanafunzi.
Upungufu huo ni sawa na asilimia 60.6 ya mahitaji halisi ya matundu ya vyoo katika shule za msingi mkoani hapa.
Hayo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-71NkWc4cIvY/VO2BomCFijI/AAAAAAAHFyk/MUq7tKjkhkk/s72-c/unnamed.jpg)
SHULE ZA MSINGI MKOANI SINGIDA KUPOKEA VITABU 200
Akizungumza wakati wa kukabidhi vitabu hivyo,Afisa Mipango wa Children’s Book Project for Tanzania,Ramadhani Ali alisema kuwa Watoto wanaotakiwa kupata vitabu hivi ni wale walio na uhitaji sana na...
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
YMC yaendesha mafunzo ya siku mbili ya utafiti wa taaluma shule za msingi Manispaa ya Singida
Mratbu wa shirika la Uwezo mkoa wa Singida, Nason W.Nason, akitoa nasaha zake kwenye mafunzo yaliyohusu kufanywa kwa utafiti juu ya taaluma shule za msingi manispaa ya Singida.Wa pili kulia ni Kaimu Afisa Elimu shule za msingi manispaa ya Singida, Samwel Mwaikenda na (wa pili kushoto) ni Mkurugenzi wa YMC mkoa wa Singida, Fidelis Yunde.
Kaimu Afisa Elimu manispaa ya Singida, Samwel Mwaikenda, akizungumza kwenye ufungaji wa mafunzo ya namna bora ya kufanya utafiti wa taaluma katika shule za...
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Mo Dewji Foundation yakabidhi matundu nane ya Choo bora kwenye shule ya Msingi Kibaoni Singida
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kibaoni mjini Singida, Sundi Samike, akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi choo bora chenye matundu nane chenye thamani ya zaidi ya shilingi 16 milioni zilizotolewa na MO Dewji Foundation (shilingi 14 milioni) na Doris Mollel Foundation shilingi 2.3 milioni).
Mwakilishi wa Mo Dewji Foundation mkoani Singida, Duda Mughenyi, akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi choo bora chenye matundu nane shule ya msingi Kibaoni mjini Singida, chenye thamani ya zaidi ya...
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
DORIS MOLLEL FOUNDATION: Yakabidhi vitabu 200 kwa Shule ya Msingi Midamigha Ilongero SINGIDA
Mwalimu wa taaluma wa shule Msingi Midamigha Ilongero, Singida akipokea vitabu hivyo kutoka taasisi ya Dmf wakati wa kukabidhi vitabu hivyo.
[SINGIDA] Taasisi inayoshughulikia na utetezi wa watoto njiti ya Doris Mollel ‘DORIS MOLLEL FOUNDATION’(Dmf) mwishoni mwa wiki imekabidhi vitabu 200 kwa ajili ya kujifunzia katika shule ya msingi Midamigha ilongero, singida.
Vitabu hivyo vitakuwa chachu na changamoto kwa wanafunzi wa shule hiyo ambapo watapata furasa za kujifunza mambo mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gwv7DOpnk0k/VhVS4zrZPeI/AAAAAAAAamA/VtK-RZCqceY/s72-c/Flaviana%2BNyerere%2Bbegi1.jpg)
BALOZI WA PSPF MWANAMITINDO WA KIMATAIFA FLAVIANA MATATA AKABIDHI MABEGI NA MADAFTARI KWA SHULE ZA MSINGI DODOMA NA SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-gwv7DOpnk0k/VhVS4zrZPeI/AAAAAAAAamA/VtK-RZCqceY/s640/Flaviana%2BNyerere%2Bbegi1.jpg)
NA K-VIS MEDIA, DODOMA NA SINGIDABALOZI wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, ametoa wito kwa wanafunzi wa shule za msingi Chididimo iliyoko Manispaa ya mji wa Dodoma na ile ya...
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Balozi wa PSPF Mwanamitindo wa Kimataifa Flaviana Matata akabidhi mabegi na madaftari kwa shule za Msingi Dodoma na Singida
![](http://2.bp.blogspot.com/-gwv7DOpnk0k/VhVS4zrZPeI/AAAAAAAAamA/VtK-RZCqceY/s640/Flaviana%2BNyerere%2Bbegi1.jpg)
Balozi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, akikabidhi begi kwa mwanafunzi wa Shule ya Msingi, Nyerere iliyoko Manispaa ya Singida, Oktoba 7, 2015. PSPF kupitia Sera yake ya kusaidia jamii imetoa msaada wa mabegi na madaftari kwa shule hiyo na ile ya Chididimo iliyoko nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma
NA K-VIS MEDIA, DODOMA NA SINGIDA BALOZI wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, ametoa wito kwa wanafunzi wa shule za msingi Chididimo iliyoko Manispaa ya mji wa Dodoma...
10 years ago
Dewji Blog22 May
Mbunge wa viti maalumu (CCM) mkoa wa Singida, Bi Martha Mlata achangia ujenzi wa vyoo vya shule ya Kilimani
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata (aliyesimama kwenye jukwaa) akiwaongea na wananchi wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi ,Mkoani Singida wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa yenye lengo la kukiimarisha chama.
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata(wa pili kutoka kushoto) akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu za soka za kata ya Ibaga.
Katibu wa CCM wilaya ya Mkalama,Bwana Amosi Shimba (wa pili kutoka kushoto)...