Shule za msingi Singida zakabiliwa na uhaba wa vyoo
Na Nathaniel Limu, Singida
MKOA wa Singida unakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo 24,743 katika shule zake za msingi kitendo kinachochangia pamoja na mambo mengine mahudhurio kuwa mabaya ya wanafunzi.
Upungufu huo ni sawa na asilimia 60.6 ya mahitaji halisi ya matundu ya vyoo katika shule za msingi mkoani hapa.
Hayo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Exim yajenga vyoo shule ya msingi Kilakala
BENKI ya Exim Tanzania imekabidhi vyoo vya kisasa kwa shule ya msingi Kilakala iliyopo wilayani Temeke, Dar es Salaam ikiwa ni jitihada zake za kuboresha usafi na mazingira ya kujifunzia...
9 years ago
StarTV25 Nov
Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule
Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.
Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...
10 years ago
Michuzi20 Aug
TPB Yajenga Vyoo na Mfumo wa Maji Shule ya Msingi Kipampa
![Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi akikata utepe kuzindua msaada wa vyoo na mfumo wa maji safi kwenye shule ya Msingi Kipampa, Kigoma. Wa kwanza kulia ni Meneja wa Benki ya Posta Tawi la Kigoma, Fidelis Ndahani.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/E80A5619.jpg)
![Naibu Mstahiki Meya wa Kigoma, Mh. Ruhomvya Rashid Ruhomvya, akisikiliza hotuba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi, wakati wa sherehe ya makabidhiano ya msaada wa Vyoo na mfumo wa maji kwenye shule ya Msingi Kipampa. Wengine kutoka kulia ni Meneja Mahusiano wa TPB, Noves Moses na Meneja wa TPB, Tawi la Kigoma, Fidelis Ndahani.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/E80A5596.jpg)
10 years ago
Bongo Movies06 Mar
Faiza na Wenzake Watoa Msaada wa Kuboresha Vyoo Shule ya Msingi ya Mwnanyamala Kisiwani
Mwigizaji wa filamu na Faiza Ally siku ya jana akiwa na wenzake walitoa msaada wa vifaa vya kujengea vyoo bora kwenye shule ya msingi ya Mwananyamala Kisiwani iliyopo jijini Dar.
“Tumefurahi tumefanikiwa tulijichangisha tukaweza kununua vyoo 10 kwa ajili ya kusaidia watoto wa shule ya mwananyamala kisiwani- ninajisikia very proud na team yangu”-Faiza aliandika mtandaoni mara baada ya kubandika picha hizo hapo juu wakiwa shuleni hapo.
“Watoto wamefurahi final wataingia kwenye vyoo visafi...
10 years ago
Dewji Blog22 May
Mbunge wa viti maalumu (CCM) mkoa wa Singida, Bi Martha Mlata achangia ujenzi wa vyoo vya shule ya Kilimani
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata (aliyesimama kwenye jukwaa) akiwaongea na wananchi wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi ,Mkoani Singida wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa yenye lengo la kukiimarisha chama.
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata(wa pili kutoka kushoto) akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu za soka za kata ya Ibaga.
Katibu wa CCM wilaya ya Mkalama,Bwana Amosi Shimba (wa pili kutoka kushoto)...
10 years ago
Dewji Blog05 Jan
Maandalizi ya ufunguzi wa shule za msingi mkoa wa Singida
Baadhi ya wazazi/walezi na wanafunzi wakijipatia mahitaji kwa ajili ya ufunguzi wa muhula wa shule za msingi unaotarajiwa kuanza leo Januari tano mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-71NkWc4cIvY/VO2BomCFijI/AAAAAAAHFyk/MUq7tKjkhkk/s72-c/unnamed.jpg)
SHULE ZA MSINGI MKOANI SINGIDA KUPOKEA VITABU 200
Akizungumza wakati wa kukabidhi vitabu hivyo,Afisa Mipango wa Children’s Book Project for Tanzania,Ramadhani Ali alisema kuwa Watoto wanaotakiwa kupata vitabu hivi ni wale walio na uhitaji sana na...
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
YMC yaendesha mafunzo ya siku mbili ya utafiti wa taaluma shule za msingi Manispaa ya Singida
Mratbu wa shirika la Uwezo mkoa wa Singida, Nason W.Nason, akitoa nasaha zake kwenye mafunzo yaliyohusu kufanywa kwa utafiti juu ya taaluma shule za msingi manispaa ya Singida.Wa pili kulia ni Kaimu Afisa Elimu shule za msingi manispaa ya Singida, Samwel Mwaikenda na (wa pili kushoto) ni Mkurugenzi wa YMC mkoa wa Singida, Fidelis Yunde.
Kaimu Afisa Elimu manispaa ya Singida, Samwel Mwaikenda, akizungumza kwenye ufungaji wa mafunzo ya namna bora ya kufanya utafiti wa taaluma katika shule za...
10 years ago
Dewji Blog11 Jan
TRA mkoa wa Singida, yatoa msaada wa madawati shule ya msingi Isanzu wilaya Mkalama
Meneja TRA mkoa wa Singida, Samson Jumbe (kushoto) akimkabidhi Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Isanzu wilaya ya Mkalama, Sadick Mbiro Abdallah, msaada wa madawati 25 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili. Katikati mwenye miwani ni Afisa elimu kwa umma (TRA),Zakaria.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Mkalama
Meneja wa mamlaka ya mapato (TRA) Tanzania mkoani Singida, Samsoni Jumbe,amewahimiza viongozi/watendaji na watu wenye uwezo kiuchumi kujenga utamaduni wa...