TAHADHARI YA SIKUKUU YA KRISMAS NA MWAKA MPYA
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Kampuni ya simu ya Tigo yazindua chapa mpya LIVE IT, LOVE IT kuelekea msimu wa sikukuu ya Krismas
Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja, akizungumza na waandishi wa habari wakati akimkaribisha Meneja Mkuu wa Tigo kuzungumza na wanahabari.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa chapa mpya yenye kauli mbinu ya ‘Live it, love it’ itakayoimarisha nafasi ya mbunifu anayeongoza kwa ubunifu wa kidigitali nchini. Kulia ni Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga.
Meneja...
9 years ago
StarTV21 Dec
Maandalizi ya Krismas,Mwaka mpya Bei za bidhaa zapanda soko kuu Mwanza
Zikiwa zimebaki siku tano kufikia sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za baadhi ya bidhaa katika soko kuu jijini Mwanza imeanza kupanda vikiwemo vyakula na nguo hususani za watoto.
Wafanyabiashara wanadai kupandisha bei hizo kutokana na ongezeko la ushuru unaowalazimu kulipa mara mbili ya awali.
Katika jiji la Mwanza, watu wanapishana kwenye maduka kununua bidhaa kwa ajili ya sikukuu za Krismas na mwaka mpya.
Usemi usemao mgeni karibu mwenyeji apone unadhihirika kutokana na ujio wa...
9 years ago
StarTV16 Dec
Maandalizi Ya Krismas, Mwaka Mpya ya sababisha  Bei za bidhaa zapanda soko kuu Mwanza
Zikiwa zimebaki siku kumi kufikia sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za baadhi ya bidhaa katika soko kuu jijini Mwanza imeanza kupanda vikiwemo vyakula na nguo hususani za watoto.
Wafanyabiashara wanadai kupandisha bei hizo kutokana na ongezeko la ushuru unaowalazimu kulipa mara mbili ya awali.
Katika jiji la Mwanza, watu wanapishana kwenye maduka kununua bidhaa kwa ajili ya sikukuu za Krismas na mwaka mpya.
Usemi usemao mgeni karibu mwenyeji apone unadhihirika kutokana na ujio wa...
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Polisi yatoa tahadhari mkesha wa mwaka mpya
10 years ago
CloudsFM31 Dec
9 years ago
MichuziRais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli Atoa Mkono wa Krismas na Mwaka Mpya kwa Wazee wa Kijiji cha Welezo Zanzibar.
Mlukulu wa Ikulu Zanzibar Ndg Ameir Ali Khatib akimkabidhi Mbuzi Sister Mary Gemma wa kituo cha Wazee Welezo, hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya Wazee hao Welezo Zanzibar, Vyakula hivyo vimetolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa ajili ya Wazee hao kujumuiika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CJcEUUItykk/VONl5dmdWfI/AAAAAAADZuU/9dbsCAiTetk/s72-c/vijimamboMedia.png)
KILIMANJARO STUDIO INAWATAKIA KHERI YA SIKUKUU YA MAULID, CHRISTMAS NA MWAKA MPYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-CJcEUUItykk/VONl5dmdWfI/AAAAAAADZuU/9dbsCAiTetk/s400/vijimamboMedia.png)
![](https://pbs.twimg.com/profile_images/597771257241837571/1kKKjVgx.png)
![Nesi Wangu](http://www.nesiwangu.com/wp-content/uploads/2014/04/Wangu.png)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LliHLlOZCXk/VnwD9P5RyVI/AAAAAAAIOUU/jjK_N9IlRTY/s72-c/p4.jpg)
Asasi ya Tushikamane Pamoja Foundation (TPF) yawaandalia Wazee wasiojiweza sherehe ya Krismas na Mwaka Mpya Courtyard protea hotel jijini Dar es salaam
10 years ago
MichuziJokate Mwegelo atoa Zawadi za Krismas na Mwaka Mpya kwa Kituo cha Yatima cha Extrem, Tandare
Mrembo huyo ambaye pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Kidoti inayojihusisha na masuala ya urembo, alitoa msaada huo kama zawadi yake ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya kwa watoto hao kama sehemu ya kuwafariji ili nao kujiona wako sawa na...