KILIMANJARO STUDIO INAWATAKIA KHERI YA SIKUKUU YA MAULID, CHRISTMAS NA MWAKA MPYA
Kilimanjaro Studio iliyopo Beltsville, Maryland inatoa salamu za kheri ya sikukuu ya Maulid, Christmas na mwaka mpya kwa wadau wote wa Vijimambo Blog, Kwanza Production na Nesi Wangu Blog. Sikukuu iwe ya upendo na amani na muweze kusherehekea kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016.Kama hukutimiza malengo mwaka 2015 usijali mwaka 2016 ni mwaka wa kujipanga upya na Kilimanjaro studio inakutakia kila la kheri kwa mwaka mpya 2016 uwe mwaka wa mafanikio makubwa kwako na kumwomba Mwenyezi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND INAWATAKIA HERI YA SIKUU YA MAULID NA HERI YA KRISMASI NA MWAKA MPYA
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
Jumuiya ya Wazanzibar Sweden inawatakia Kheri ya Mwaka  2016
Jumuiya ya Wazanzibari waishio Sweden Scandinavia (ZANDIA) inawatakia wa Zanzibar na wadau wote wanaoitakia Zanzibar neema kheri ya mwaka mpya 2016, Mwenyezi Mungu ijalie nchi yetu amani, upendo, na ushikamano kwa Wazanzibar wote ulimwenguni.
Tunajenga imani kubwa kuwa kuna mwelekeo wa kupatikana muafaka kwenye vikao vinavyoendelea kila siku huko nyumbani, na kuiweka nchi yetu katika Amani na utulivu, ili kupatikana raisi aliechaguliwa kihalali katika nchi yetu tuipendayo...
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Iyanya anafunga mwaka kwa kukutakia kheri ya Christmas na hii video – ‘Come All Ye Faithful’!
Ikiwa zimebaki saa chache kusherekea sikukuu ya Christmas kwa mwaka huu wa 2015, staa wa muziki kutoka Nigeria, Iyanya ameungana na NdaniTV ya Nigeria kwa ajili ya kutoa live performance ya moja ya nyimbo maarufu za Christmas, ‘Come All Ye Faithful’. Hapa chini ni video ya live performance ya Iyanya ndani ya NdaniTV. Unataka kutumiwa […]
The post Iyanya anafunga mwaka kwa kukutakia kheri ya Christmas na hii video – ‘Come All Ye Faithful’! appeared first on...
10 years ago
GPLGLOBAL PUBLISHERS INAWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2015
10 years ago
VijimamboBALOZI IDDI AWATAKIA KHERI YA MWAKA MPYA WAZEE
11 years ago
GPL10 years ago
Dewji Blog31 Dec
Balozi Seif awatakia kheri ya mwaka mpya wazee hapa nchini
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Asili wa Ijumaa Micheweni Mjini Sheikh Haji Khatib Haji.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alifanya ziara maalum ya kuwakagua baadhi ya wazee katika sehemu mbali mbali ya Kisiwa cha Pemba ili kujua haliu zao pamoja na kuwapa mkono wa pongezi kwa kukamilisha mwaka 2014 na kuwatakia kheri ya mwaka mpya wa 2015.
Balozi Seif akitoa Mkono wa Pole kwa Watoto na Wajukuu wa...
10 years ago
Vijimambo25 Dec
SALAMU ZA KRISMASI NA KHERI YA MWAKA MPYA KUTOKA UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK
9 years ago
Mtanzania27 Nov
‘Kadi za Christmas, mwaka mpya marufuku’
NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, amepiga marufuku utengenezaji na uchapishaji wa kadi za Sikukuu ya Christmas na Mwaka mpya kwa gharama za Serikali kwa mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Balozi Sefue, alielekeza kuwa yeyote anayetaka kutengeneza ama kuchapisha kadi hizo, afanye hivyo kwa gharama zake mwenyewe.
“Badala yake Balozi Sefue ameagiza fedha zilizopangwa kugharamia utengenezaji na...