Biashara ya kununua noti chakavu yaimarika
Siku hizi ukipita mitaani katika mikoa mbalimbali si jambo la ajabu kusikia na kusoma matangazo yanayoelekeza mahali fedha chakavu zinaponunuliwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pdQ6kY_33W4/XnMxUXt7CGI/AAAAAAALkZ8/8TuBqBbszRAifZi-IWmVraN73LYba9BUwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-dJFjHU9Uxmg/U-x3L830VUI/AAAAAAAABe4/csvsgIc9Kcs/s72-c/Unknown-1.jpeg)
Shibuda: Fikra za UKAWA ni chakavu
Sitta awapuuza, asema Bunge litaendeleaWasomi wawashangaa, wawaonya wananchi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
MAMBO yanazidi kwenda mrama kwa viongozi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kutokana na kuendelea kuvurumishiwa makombora kutokana na kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-dJFjHU9Uxmg/U-x3L830VUI/AAAAAAAABe4/csvsgIc9Kcs/s1600/Unknown-1.jpeg)
Mbunge wa Maswa Magharibi (CHADEMA), John Shibuda, amesema kundi hilo lina fikra chakavu na ndiyo sababu amewazidi uwezo wa kufikiri na kuamua kurejea kushiriki vikao vya bunge hilo.
Shibuda, ambaye...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Zanzibar ni jalala la bidhaa chakavu?
HIVI karibuni nikiwa nimepumzika katika baraza moja ya kahawa iliopo Malindi, hatua chache kutoka lango kuu la Bandari ya Zanzibar, ulipita msururu wa magari yaliojaa bidhaa chakavu. Magari hayo, makubwa...
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Shilingi yaimarika sokoni
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Afya ya Pele yaimarika
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Afya ya Marsh yaimarika
11 years ago
BBCSwahili31 Dec
Hali ya Schumacher yaimarika
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Afya ya Mbowe yaimarika
AFYA ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, imeimarika na tayari ameruhusiwa kutoka hospitalini.
Mbowe alilazwa Muhimbili baada ya afya yake kutetereka wakati akitoka kumsindikiza mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa, kuchukua fomu ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwanzoni mwa wiki hii.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene, alisema Mbowe yupo nyumbani kwake kwa sasa kwa mapumziko...
10 years ago
Habarileo03 Sep
Mabasi chakavu yapelekwa Lindi, Mtwara
OPERESHENI maalumu iliyofanywa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imebaini mabasi yanayokwenda katika mikoa ya kusini mengi yamechakaa na hakuna basi la daraja la kwanza.