Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afya ya Mbowe yaimarika

AFYA ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, imeimarika na tayari ameruhusiwa kutoka hospitalini.

Mbowe alilazwa Muhimbili baada ya afya yake kutetereka wakati akitoka kumsindikiza mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa, kuchukua fomu ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwanzoni mwa wiki hii.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene, alisema Mbowe yupo nyumbani kwake kwa sasa kwa mapumziko...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Afya ya Marsh yaimarika

Hali ya afya ya aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Taifa Stars, Sylvester Marsh ambaye amelazwa katika Hospitali ya Ocean Road jijini Dar es Salaam imeelezwa kwamba imezidi kuimarika na sasa ameanza kula mwenyewe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afya ya Pele yaimarika

Hali ya afya ya gwiji wa soka duniani Pele imemarika baada ya kutoka kwenye hali mahututi.

 

9 years ago

Mwananchi

Afya ya Mabere Marando yaimarika

Afya ya Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Mashariki ambaye pia ni mwanasheria Mabere Marando, imeanza kuimarika na leo alifanyiwa vipimo kadhaa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikolazwa.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Afya ya Sheikh Sudi yaimarika


JESSICA KILEO
HALI ya Mkurugenzi wa Taasisi ya Aswer Muslimu Youth Center, kanda ya Kaskazini, Sheikh Sudi Sudi, aliyejeruhiwa kwa kulipuliwa bomu  jijini Arusha inaendelea vizuri.
Sudi ambaye  alilipuliwa na bomu akiwa na mgeni wake Muhaji  Kifea, walihamishiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakitokea Hospitali ya Rufani, Mount Meru Arusha.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii jana, Mkuu wa Idara ya Wagonjwa  ya Nje wa MNH, Dk. Juma Mfinanga alisema wagonjwa hao wanaendelea...

 

10 years ago

BBCSwahili

Afya ya Bush yaimarika hospitalini

Aliyekuwa rais wa Marekani George Bush atasalia hospitalini wikendi hii lakini huenda akatoka hivi karibuni.

 

9 years ago

Habarileo

Afya ya Kardinali Pengo yaimarika

ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete anaendelea vizuri na anaweza kuruhusiwa wiki ijayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Shilingi yaimarika sokoni

>Siku mbili baada ya shilingi ya Tanzania kuanza kuimarika dhidi ya Dola, Waziri wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya amezitaja mbinu zilizochukuliwa ili kuiimarisha ikiwa ni pamoja na kuzuia uhamishwaji wa fedha kutoka benki moja kwenda nyingine kitaalamu ‘swapping.’

 

11 years ago

BBCSwahili

Hali ya Schumacher yaimarika

Madaktari wa bingwa wa zamani wa mbio za magari ya langa langa, Michael Schumacher, wamesema hali yake imeimarika kiasi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani