Afya ya Sheikh Sudi yaimarika
JESSICA KILEO
HALI ya Mkurugenzi wa Taasisi ya Aswer Muslimu Youth Center, kanda ya Kaskazini, Sheikh Sudi Sudi, aliyejeruhiwa kwa kulipuliwa bomu jijini Arusha inaendelea vizuri.
Sudi ambaye alilipuliwa na bomu akiwa na mgeni wake Muhaji Kifea, walihamishiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakitokea Hospitali ya Rufani, Mount Meru Arusha.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii jana, Mkuu wa Idara ya Wagonjwa ya Nje wa MNH, Dk. Juma Mfinanga alisema wagonjwa hao wanaendelea...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Afya ya Mbowe yaimarika
AFYA ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, imeimarika na tayari ameruhusiwa kutoka hospitalini.
Mbowe alilazwa Muhimbili baada ya afya yake kutetereka wakati akitoka kumsindikiza mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa, kuchukua fomu ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwanzoni mwa wiki hii.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene, alisema Mbowe yupo nyumbani kwake kwa sasa kwa mapumziko...
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Afya ya Pele yaimarika
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Afya ya Marsh yaimarika
9 years ago
Habarileo03 Jan
Afya ya Kardinali Pengo yaimarika
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete anaendelea vizuri na anaweza kuruhusiwa wiki ijayo.
10 years ago
BBCSwahili28 Dec
Afya ya Bush yaimarika hospitalini
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Afya ya Mabere Marando yaimarika
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h9rCRLVIv1Y/Xs9ZDM2IQTI/AAAAAAALrzs/_-UQ2mHi5zk-tDtlqIkjlPu-KDJhJqtsACLcBGAsYHQ/s72-c/InShot_20200527_161214388.jpg)
SHEIKH KIPOOZEO AIKUMBUSHA JAMII KUWA NA HOFU YA MUNGU, AGUSIA UMUHIMU WA MAZIWA YA MAMA KULINDA AFYA YA MTOTO
Na Khadija Seif, Michuzi tv
SHEIKH Hillal Shaweji maarufu kwa jina la Sheikh Kipozeo amewaomba wazazi na walezi kuwa na hofu ya Mungu kwa lengo la kuimarisha na kuendesha familia zao katika misingi ya kiucha Mungu.
Akizungumza jijini Dar es Salaam Sheikh Kipozeo amesema wazazi na walezi wakiwa na misingi ya dini na hofu ya Mungu familia huwa na amani kubwa n kuishi maisha yenye furaha na kumpendeza Mwenyezi Mungu.
Sheikh Kipoozeo amefafanu wakati nwingine watoto wanakumbwa na mikasa mingi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YW8IU9hiX-o/VQ7xTUDoGSI/AAAAAAAHMPM/DzbdsEWPPdQ/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
SHEIKH MKUU WA WILAYA YA BAGAMOYO SHEIKH ABDULKADIR MOHAMED RAMIYA ATOA TAMKO LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-YW8IU9hiX-o/VQ7xTUDoGSI/AAAAAAAHMPM/DzbdsEWPPdQ/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-32Zq8hzlAZE/VQ7ydcE41kI/AAAAAAAHMPY/Qxe7tUyTi4Y/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
11 years ago
GPLTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU KUVUNJWA KABURI LA SHEIKH YAHYA HUSSEIN NA SHEIKH KASIM