Afya ya Bush yaimarika hospitalini
Aliyekuwa rais wa Marekani George Bush atasalia hospitalini wikendi hii lakini huenda akatoka hivi karibuni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Afya ya Mbowe yaimarika
AFYA ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, imeimarika na tayari ameruhusiwa kutoka hospitalini.
Mbowe alilazwa Muhimbili baada ya afya yake kutetereka wakati akitoka kumsindikiza mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa, kuchukua fomu ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwanzoni mwa wiki hii.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene, alisema Mbowe yupo nyumbani kwake kwa sasa kwa mapumziko...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Afya ya Marsh yaimarika
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Afya ya Pele yaimarika
11 years ago
Uhuru Newspaper08 Jul
Afya ya Sheikh Sudi yaimarika
JESSICA KILEO
HALI ya Mkurugenzi wa Taasisi ya Aswer Muslimu Youth Center, kanda ya Kaskazini, Sheikh Sudi Sudi, aliyejeruhiwa kwa kulipuliwa bomu jijini Arusha inaendelea vizuri.
Sudi ambaye alilipuliwa na bomu akiwa na mgeni wake Muhaji Kifea, walihamishiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakitokea Hospitali ya Rufani, Mount Meru Arusha.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii jana, Mkuu wa Idara ya Wagonjwa ya Nje wa MNH, Dk. Juma Mfinanga alisema wagonjwa hao wanaendelea...
9 years ago
Habarileo03 Jan
Afya ya Kardinali Pengo yaimarika
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete anaendelea vizuri na anaweza kuruhusiwa wiki ijayo.
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Afya ya Mabere Marando yaimarika
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c4NQt00GSw8/U-XbYIx5I0I/AAAAAAAF-C0/UM6DM1C0sQE/s72-c/b1.jpg)
Rais Kikwete atembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) mjini Dallas,Marekani
Rais Kikwete alikuwa amesimama mjini Dallas kwa muda akiwa njiani kutoka Washington D.C., kwenda Houston, jimbo hilo hilo la...
11 years ago
TheCitizen26 Jan
Man hides in ‘a bush’? No; in ‘the bush’
11 years ago
BBCSwahili31 Dec
Hali ya Schumacher yaimarika