Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kikwete atembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) mjini Dallas,Marekani

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete walitembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) na kujionea nafasi kubwa iliyotolewa kwa Tanzania na zawadi ambazo Rais Bush alizipata katika ziara yake rasmi ya Tanzania wakati akiwa Rais wa Marekani. Maktaba hiyo ya kuvutia inaendeshwa kwa teknolojia ya kisasa kabisa ya habari na mawasiliano.
Rais Kikwete alikuwa amesimama mjini Dallas kwa muda akiwa njiani kutoka Washington D.C., kwenda Houston, jimbo hilo hilo la...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akutana na Rais Bush mjini Dallas

b1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) sehemu ambayo imejengwa kwa mfano wa Ikulu ya Marekani, White House, hususan katika bustani ya Waziri (Rose Garden) pamoja na ofisi ya Rais wa Marekani, Oval office.

b2

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library)  na kujionea nafasi kubwa iliyotolewa kwa Tanzania na zawadi ambazo Rais Bush...

 

11 years ago

Habarileo

Simba wa Tanzania kivutio maktaba ya Bush

ZAWADI mbalimbali ambazo Tanzania ilimpatia Rais wa 43 wa Marekani, George W Bush zimekuwa kivutio kwa watu wanaotembelea maktaba yake ya Kirais mjini Dallas, Jimbo la Texas, Marekani, ikiwa ni pamoja na Simba mkubwa na seti ya mkufu wa madini ya tanzanite.

 

11 years ago

TheCitizen

Man hides in ‘a bush’? No; in ‘the bush’

In the January 19 edition of the Sunday tabloid that’s close to this columnist, there’s a photo on Page 3, whose caption reads: “Geita Primary School teacher … opens a toilet door which has been damaged by a recent downpour. Pupils answer to the call of nature in A NEARBY BUSH.”

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeb Bush kugombea urais Marekani

Gavana wa jimbo la Florida Jeb Bush ametangaza nia ya kugombea urais wa Marekani katika uchaguzi ujao

 

10 years ago

BBCSwahili

Bush mwengine ataka urais Marekani

Aliyekuwa Gavana wa Florida kupitia tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani Jeb Bush anajiandaa kuwania urais

 

10 years ago

GPL

GEORGE H.W BUSH ALAZWA HOSPITALI NCHINI MAREKANI

George H.W Bush. ALIYEKUWA Rais wa 41 wa Marekani, George H.W Bush amekimbizwa katika hospitali ya Houston Methodist nchini Marekani baada ya kupatwa na tatizo la kupumua. Alipelekwa katika hospitali hiyo kwa gari la kubebea wagonjwa (Ambulance) jana usiku.
Wawakilishi wa Bush wanasema kuwa hatua hiyo ya kupelekwa hospitali ni kama tahadhari. Bush mwenye umri wa miaka 90 alikuwa madarakani tangu mwaka 1989-1993 na ndiye Rais...

 

10 years ago

Vijimambo

BUSH KUONGOZA MAREKANI TENA KWA MARA YA TATU


Jeb Bush ni mwana wa rais George Bush na nduguye ya George W Bush waliokuwa marais wa Marekani
Aliyekuwa Gavana wa Florida kupitia tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani Jeb Bush ameripotiwa kujiuzulu kutoka nyadhfa zake zote za bodi akijiandaa kuwania urais mwaka ujao.Gazeti la The WashingtonPost limenukuu ujumbe wake kutoka kwa msaidizi wake uliodai kwamba bwana Bush pia amejiuzulu katika bodi ya hazina yake ya elimu.Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 61 pia alitangaza mwezi...

 

10 years ago

StarTV

Jeb Bush kugombea urais Marekani kupitia Republican.


Jeb Bush gavana wa Florida aliyetangaza kugombea urais wa Marekani 2016

Mwanasiasa wa chama cha Republican, na gavana wa jimbo la Florida, Jeb Bush ametangaza rasmi ametangaza rasmi nia yake ya kuwania nafasi ya urais wa taifa hilo kubwa duniani kiuchumi kwa tiketi ya chama hicho cha Republican.

Akizungumza katika mkutano wake wa hadhara huko Miami,Jeb ambaye baba yake na kaka yake wamewahi kuongoza Marekani ameubeza utawala wa Rais Obama katika sera zake za mambo ya nje.

Lakini mwandishi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani