Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeb Bush kugombea urais Marekani

Gavana wa jimbo la Florida Jeb Bush ametangaza nia ya kugombea urais wa Marekani katika uchaguzi ujao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Jeb Bush kugombea urais Marekani kupitia Republican.


Jeb Bush gavana wa Florida aliyetangaza kugombea urais wa Marekani 2016

Mwanasiasa wa chama cha Republican, na gavana wa jimbo la Florida, Jeb Bush ametangaza rasmi ametangaza rasmi nia yake ya kuwania nafasi ya urais wa taifa hilo kubwa duniani kiuchumi kwa tiketi ya chama hicho cha Republican.

Akizungumza katika mkutano wake wa hadhara huko Miami,Jeb ambaye baba yake na kaka yake wamewahi kuongoza Marekani ameubeza utawala wa Rais Obama katika sera zake za mambo ya nje.

Lakini mwandishi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nitagombe Urais Marekan:Jeb Bush

Gavana wa zamani wa jimbo la Florida nchini Marekani Jeb Bush amesema anataka kujitosa katika kinyang’anyiro cha Urais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bush mwengine ataka urais Marekani

Aliyekuwa Gavana wa Florida kupitia tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani Jeb Bush anajiandaa kuwania urais

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete atembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) mjini Dallas,Marekani

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete walitembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) na kujionea nafasi kubwa iliyotolewa kwa Tanzania na zawadi ambazo Rais Bush alizipata katika ziara yake rasmi ya Tanzania wakati akiwa Rais wa Marekani. Maktaba hiyo ya kuvutia inaendeshwa kwa teknolojia ya kisasa kabisa ya habari na mawasiliano.
Rais Kikwete alikuwa amesimama mjini Dallas kwa muda akiwa njiani kutoka Washington D.C., kwenda Houston, jimbo hilo hilo la...

 

10 years ago

Vijimambo

Hillary Clinton atangaza kugombea urais Marekani

Hillary Rodham Clinton akihutubia mkutano New York City March 10, 2015.
Hillary Clinton, mke wa rais wa zamani Bill Clinton, ametangaza kuwaanagombania urais wa Marekani mwaka 2016.

Kulingana na John Podesta, mshauri mwandamizi wa Bi Clinton waziri wa mambo ya nje katika awamu ya kwanza ya Rais Barack Obama, alitangaza nia yake kwa kutuma email Jumapili kwa wafadhili na watu waliomuunga mkono katika kampeni yake ya kwanza ya urais mwaka 2008.

Baadaye Clinton alitangaza rasmi ugombea wake katika...

 

10 years ago

Bongo5

Hutaamini rapper wa Marekani aliyetangaza kugombea Urais mwaka 2016!

Hillary Clinton ameshatangaza nia ya kugombea urais mwaka 2016 lakini huenda akakutana na upinzani kutoka kwa Mmarekani mweusi mwingine kama ilivyokuwa kwa Barack Obama mwaka 2008! Hata hivyo huyu si mshindani unayeweza kumdhania – ni rapper! November mwaka 2012, Waka Flocka Flame alitweet: I’m dead ass running for president in 2016.” Na sasa amethibitisha kuwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West azungumzia mipango yake ya kugombea urais wa Marekani mwaka 2020

Kama ulikuwa na mashaka juu ya kauli aliyoitoa Kanye West ya kuwa atagombea urais wa Marekani mwaka 2020, rapper huyo amesisitiza kuwa yupo serious na alichokisema. Mwezi uliopita kwenye tuzo za 2015 MTV VMAs, Kanye alitangaza kuwa atagombea Uras wa Marekani ifikapo mwaka 2020, na sasa amethibitisha kuwa alimaanisha kile alichokisema pamoja na kuelezea mipango […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani