Jeb Bush kugombea urais Marekani
Gavana wa jimbo la Florida Jeb Bush ametangaza nia ya kugombea urais wa Marekani katika uchaguzi ujao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV16 Jun
Jeb Bush kugombea urais Marekani kupitia Republican.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/15/150615201353_sp_jeb_bush_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Jeb Bush gavana wa Florida aliyetangaza kugombea urais wa Marekani 2016
Mwanasiasa wa chama cha Republican, na gavana wa jimbo la Florida, Jeb Bush ametangaza rasmi ametangaza rasmi nia yake ya kuwania nafasi ya urais wa taifa hilo kubwa duniani kiuchumi kwa tiketi ya chama hicho cha Republican.
Akizungumza katika mkutano wake wa hadhara huko Miami,Jeb ambaye baba yake na kaka yake wamewahi kuongoza Marekani ameubeza utawala wa Rais Obama katika sera zake za mambo ya nje.
Lakini mwandishi wa...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Nitagombe Urais Marekan:Jeb Bush
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Bush mwengine ataka urais Marekani
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c4NQt00GSw8/U-XbYIx5I0I/AAAAAAAF-C0/UM6DM1C0sQE/s72-c/b1.jpg)
Rais Kikwete atembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) mjini Dallas,Marekani
Rais Kikwete alikuwa amesimama mjini Dallas kwa muda akiwa njiani kutoka Washington D.C., kwenda Houston, jimbo hilo hilo la...
10 years ago
Vijimambo14 Apr
Hillary Clinton atangaza kugombea urais Marekani
![](http://gdb.voanews.com/3DB961A2-D459-40BD-AB02-E9DCCEF668B9_w640_r1_s.jpg)
Hillary Clinton, mke wa rais wa zamani Bill Clinton, ametangaza kuwaanagombania urais wa Marekani mwaka 2016.
Kulingana na John Podesta, mshauri mwandamizi wa Bi Clinton waziri wa mambo ya nje katika awamu ya kwanza ya Rais Barack Obama, alitangaza nia yake kwa kutuma email Jumapili kwa wafadhili na watu waliomuunga mkono katika kampeni yake ya kwanza ya urais mwaka 2008.
Baadaye Clinton alitangaza rasmi ugombea wake katika...
10 years ago
Bongo521 Apr
Hutaamini rapper wa Marekani aliyetangaza kugombea Urais mwaka 2016!
9 years ago
Bongo528 Sep
Kanye West azungumzia mipango yake ya kugombea urais wa Marekani mwaka 2020