Bush mwengine ataka urais Marekani
Aliyekuwa Gavana wa Florida kupitia tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani Jeb Bush anajiandaa kuwania urais
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Jeb Bush kugombea urais Marekani
10 years ago
StarTV16 Jun
Jeb Bush kugombea urais Marekani kupitia Republican.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/15/150615201353_sp_jeb_bush_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Jeb Bush gavana wa Florida aliyetangaza kugombea urais wa Marekani 2016
Mwanasiasa wa chama cha Republican, na gavana wa jimbo la Florida, Jeb Bush ametangaza rasmi ametangaza rasmi nia yake ya kuwania nafasi ya urais wa taifa hilo kubwa duniani kiuchumi kwa tiketi ya chama hicho cha Republican.
Akizungumza katika mkutano wake wa hadhara huko Miami,Jeb ambaye baba yake na kaka yake wamewahi kuongoza Marekani ameubeza utawala wa Rais Obama katika sera zake za mambo ya nje.
Lakini mwandishi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c4NQt00GSw8/U-XbYIx5I0I/AAAAAAAF-C0/UM6DM1C0sQE/s72-c/b1.jpg)
Rais Kikwete atembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) mjini Dallas,Marekani
Rais Kikwete alikuwa amesimama mjini Dallas kwa muda akiwa njiani kutoka Washington D.C., kwenda Houston, jimbo hilo hilo la...
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
Mtu mwengine apatikana na Ebola Marekani
10 years ago
BBCSwahili21 May
FIFA: mgombea mwengine wa urais ajiondoa
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Nitagombe Urais Marekan:Jeb Bush
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe7jdDVkZ*irRz32*jl2*JosW7RKXwUf7OwiuiE9umBgwf-wcVfqZlvM749AmSvszG4u90ctMRM7n6OZqo0Bn5w3/oGEORGEHWBUSHfacebook.jpg?width=650)
GEORGE H.W BUSH ALAZWA HOSPITALI NCHINI MAREKANI
10 years ago
Vijimambo02 Jan
BUSH KUONGOZA MAREKANI TENA KWA MARA YA TATU
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/16/141216162740_jeb_bush_brother_of_george_bush_640x360_afp_nocredit.jpg)
Aliyekuwa Gavana wa Florida kupitia tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani Jeb Bush ameripotiwa kujiuzulu kutoka nyadhfa zake zote za bodi akijiandaa kuwania urais mwaka ujao.Gazeti la The WashingtonPost limenukuu ujumbe wake kutoka kwa msaidizi wake uliodai kwamba bwana Bush pia amejiuzulu katika bodi ya hazina yake ya elimu.Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 61 pia alitangaza mwezi...