GEORGE H.W BUSH ALAZWA HOSPITALI NCHINI MAREKANI

George H.W Bush. ALIYEKUWA Rais wa 41 wa Marekani, George H.W Bush amekimbizwa katika hospitali ya Houston Methodist nchini Marekani baada ya kupatwa na tatizo la kupumua. Alipelekwa katika hospitali hiyo kwa gari la kubebea wagonjwa (Ambulance) jana usiku. Wawakilishi wa Bush wanasema kuwa hatua hiyo ya kupelekwa hospitali ni kama tahadhari. Bush mwenye umri wa miaka 90 alikuwa madarakani tangu mwaka 1989-1993 na ndiye Rais...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo511 Sep
Kanye West alazwa hospitali nchini Australia
11 years ago
Michuzi
Rais Kikwete atembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) mjini Dallas,Marekani
Rais Kikwete alikuwa amesimama mjini Dallas kwa muda akiwa njiani kutoka Washington D.C., kwenda Houston, jimbo hilo hilo la...
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
George HW Bush avunjika shingo
11 years ago
Michuzi
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
George Floyd: Ulimwengu unavyofuatilia matukio nchini Marekani
11 years ago
Mwananchi08 May
Alazwa hospitali kwa miaka 45
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Pervez Musharraf alazwa hospitali
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Bush mwengine ataka urais Marekani