George HW Bush avunjika shingo
Aliyekuwa rais wa Marekani George HW Bush amelazwa hospitalini baada ya kuvunjika mfupa wa shingoni alipoanguka nyumbani kwake huko Maine.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X7tH_MH4uo0/U6j5eYnbklI/AAAAAAAFskE/lAmQGrxeJSI/s72-c/June+24+14+W+Bush,+Blair+and+ISIS.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe7jdDVkZ*irRz32*jl2*JosW7RKXwUf7OwiuiE9umBgwf-wcVfqZlvM749AmSvszG4u90ctMRM7n6OZqo0Bn5w3/oGEORGEHWBUSHfacebook.jpg?width=650)
GEORGE H.W BUSH ALAZWA HOSPITALI NCHINI MAREKANI
George H.W Bush. ALIYEKUWA Rais wa 41 wa Marekani, George H.W Bush amekimbizwa katika hospitali ya Houston Methodist nchini Marekani baada ya kupatwa na tatizo la kupumua. Alipelekwa katika hospitali hiyo kwa gari la kubebea wagonjwa (Ambulance) jana usiku.
Wawakilishi wa Bush wanasema kuwa hatua hiyo ya kupelekwa hospitali ni kama tahadhari. Bush mwenye umri wa miaka 90 alikuwa madarakani tangu mwaka 1989-1993 na ndiye Rais...
11 years ago
GPL02 Aug
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c4NQt00GSw8/U-XbYIx5I0I/AAAAAAAF-C0/UM6DM1C0sQE/s72-c/b1.jpg)
Rais Kikwete atembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) mjini Dallas,Marekani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete walitembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) na kujionea nafasi kubwa iliyotolewa kwa Tanzania na zawadi ambazo Rais Bush alizipata katika ziara yake rasmi ya Tanzania wakati akiwa Rais wa Marekani. Maktaba hiyo ya kuvutia inaendeshwa kwa teknolojia ya kisasa kabisa ya habari na mawasiliano.
Rais Kikwete alikuwa amesimama mjini Dallas kwa muda akiwa njiani kutoka Washington D.C., kwenda Houston, jimbo hilo hilo la...
Rais Kikwete alikuwa amesimama mjini Dallas kwa muda akiwa njiani kutoka Washington D.C., kwenda Houston, jimbo hilo hilo la...
11 years ago
TheCitizen26 Jan
Man hides in ‘a bush’? No; in ‘the bush’
In the January 19 edition of the Sunday tabloid that’s close to this columnist, there’s a photo on Page 3, whose caption reads: “Geita Primary School teacher … opens a toilet door which has been damaged by a recent downpour. Pupils answer to the call of nature in A NEARBY BUSH.â€
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2KhDjiu-wQ6bUSBICJSsHvqvPFiOpFDjbY0tnDjt3yEjGaXa47PejWljyaOIKQdMPiW65YZ3yGEXZRf0CF*RYLv/msanii.jpg?width=650)
MSANII KAOLE AVUNJIKA MGONGO
Stori: Hamida Hassan
MSANII wa Kundi la Kaole Sanaa, Zaina Ramadhan ‘Nandi’ anasumbuliwa na ugonjwa wa mifupa akidai kuvunjika pingili za mgongo kisha kushindwa kutembea na kufanya kazi zake za sanaa na nyinginezo. Zaina Ramadhan ‘Nandi’. Akipiga stori na mwandishi wetu hivi karibuni, Nandi alisema kuwa alianza kuumwa baada ya kupata hitilafu mwaka 2012 alipokuwa akitoka Chuo cha Sanaa pale Lego,...
11 years ago
GPLAGONGWA NA KIBERENGE, AVUNJIKA MGUU
Mabaki ya damu yakiwa yametapakaa kwenye Kiberenge. Pikipiki ambayo imegongwa na Kiberenge.…
11 years ago
Habarileo09 Jan
Askari avunjika mguu akipambana na majangili
ASKARI wa Wanyamapori katika Pori la Akiba la Ugalla mkoani hapa, amejeruhiwa wakati yeye na wenzake wakikabiliana na majangili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania