VIDEO: MCHEZAJI WA MPIRA WA KIKAPU PAUL GEORGE AVUNJIKA MGUU, VILIO VYATAWALA
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMWILI WA GEORGE TYSON WAWASILI KAIRUKI, VILIO VYATAWALA
11 years ago
GPLAGONGWA NA KIBERENGE, AVUNJIKA MGUU
11 years ago
Habarileo09 Jan
Askari avunjika mguu akipambana na majangili
ASKARI wa Wanyamapori katika Pori la Akiba la Ugalla mkoani hapa, amejeruhiwa wakati yeye na wenzake wakikabiliana na majangili.
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Dk.Bisimba anusurika kifo, avunjika mguu
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Dk. Hellen Kijo-Bisimba amenusurika kifo ajalini.
Dk. Kijo-Bisimba alipata ajali mbaya ya gari katika daraja la Salender Dar es Salaam jana.
Katika ajali hiyo, Dk. Kijo-Bisimba anadaiwa kuvunjika mguu mmoja baada ya gari lake kupoteza mwelekeo na kupinduka mara nne.
Ajali hiyo ilitokea jana asubuhi wakati akitoka kusali eneo la Posta akitumia gari dogo ya Toyota Prado namba T 159...
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Baby Madaha aanguka chooni, avunjika mguu
Msanii wa filamu na Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha akiwa na P.O.P mguuni.
Musa mateja
MSANII wa filamu na Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha hivi karibuni alipata majanga baada ya kuanguka chooni na kuvunjika mguu wa kulia, Amani lina taarifa zote.
Tukio hilo lilitokea nyumbani kwake, Kijitonyama jijini Dar ambapo staa huyo alitoka kwenye matembezi yake usiku wa manane akiwa amepiga ‘mtungi’ wa kutosha.
Inadaiwa kuwa, alipofika kwake alihitaji kwenda bafuni kuoga. Hata hivyo, alianzia chooni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/at5DaH0Gs6mkNcIQw0RNT7Jy7c6qaLMy5nrUZo*Ebt-3vBad2IyG7E5O5LqcAfcus2QHjVNlpl9MldcXFfClyzcELB3gioMX/2.jpg?width=650)
MAISHA PLUS: VILIO VYATAWALA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRASpw4h96jXJiVAdBwIB8jQ8ydX*qqWHCW7xTlpYbD2lUAlX*LTC2FHRNaeGAH51FzotJwgUy7ZHaKRyhLdSHQo1/ajali1.jpg?width=650)
BODABODA YAGONGANA NA GARI, DEREVA AVUNJIKA MGUU MORO
10 years ago
Mtanzania11 Feb
Simanzi, vilio vyatawala Dar
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
SIMANZI na vilio vimetawala jana eneo la Kipunguni Ukonga jijini Dar es Salaam nyumbani kwa mhandisi mstaafu wa ndege, marehemu Luteni David Mpira (68), ambaye alifariki pamoja na familia yake ya watu watano baada ya nyumba yao kuungua na moto usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita.
Mpira ambaye enzi za uhai wake alikuwa mwanajeshi, alikutwa na umauti huo saa tisa usiku pamoja na mke wake Celina Mpira (62), mtoto wake Lucas Mpira (37), shemeji yake Samuel Yegera...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZahK2JNbKSs2BbDBZcpjKjrnV-YFPCJb*H0*TzYumTlLNHRsSmpsKXrmxkdCFOhxlejoOuhVaK*e0ua8q7MlCZHphB-OJKO1/mtikila.jpg?width=650)
VILIO VYATAWALA NYUMBANI KWA MTIKILA!