VILIO VYATAWALA NYUMBANI KWA MTIKILA!

Haruni Sanchawa SIMANZI, vilio na huzuni vimetawala nyumbani kwa Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila mara tu baada ya familia yake kupokea taarifa za kifo chake kilichotokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Msolwa, Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani baada ya gari waliyokuwa wakisafiria aina ya Toyota GX 100 kupata ajali. Mke wa Mtikila akilia kwa uchungu. Taarifa za ajali hiyo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Vilio vyatawala wodini kwa binti Yusta
11 years ago
GPL
MAISHA PLUS: VILIO VYATAWALA
10 years ago
Mtanzania11 Feb
Simanzi, vilio vyatawala Dar
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
SIMANZI na vilio vimetawala jana eneo la Kipunguni Ukonga jijini Dar es Salaam nyumbani kwa mhandisi mstaafu wa ndege, marehemu Luteni David Mpira (68), ambaye alifariki pamoja na familia yake ya watu watano baada ya nyumba yao kuungua na moto usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita.
Mpira ambaye enzi za uhai wake alikuwa mwanajeshi, alikutwa na umauti huo saa tisa usiku pamoja na mke wake Celina Mpira (62), mtoto wake Lucas Mpira (37), shemeji yake Samuel Yegera...
11 years ago
GPL
MWILI WA KUAMBIANA WAHIFADHIWA MUHIMBILI, VILIO VYATAWALA!
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Zomeazomea, vilio vyatawala kesi ya mtoto wa boksi
10 years ago
Habarileo04 Jun
Vilio vyatawala bungeni kifo cha Mwaiposa
WABUNGE jana walikuwa na wakati mgumu kuzuia machozi kutiririka katika nyuso zao wakati jeneza lililobeba mwili wa Mbunge wa Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa lilipokuwa likiingia katika viwanja vya Bunge kwa ajili ya mazishi.
11 years ago
GPL
NI VILIO, SIMANZI NYUMBANI KWA MAREHEMU RECHO
10 years ago
GPL
VILIO VYATAWALA VIFO VYA PADRI WANAFUNZI SITA
11 years ago
GPLMWILI WA GEORGE TYSON WAWASILI KAIRUKI, VILIO VYATAWALA