Zomeazomea, vilio vyatawala kesi ya mtoto wa boksi
Umati wa watu, wengi wao wakiwa wanawake jana ulifurika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro, kufuatilia kesi ya kula njama na kumfanyia vitendo vya ukatili mtoto Nasra Rashid (4) wakati wa uhai wake inayowakabili watu watatu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLVILIO VYATAWALA MWILI WA MTOTO NASRA UKIWASILI MKOANI MORO
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Watuhumiwa kesi mtoto wa boksi watinga Polisi
WASHITAKIWA watatu wanaokabiliwa na shitaka la kumfungia katika boksi mtoto Nasra Rashid, jana walipelekwa Kituo Kikuu cha Polisi mjini hapa kwa mahojiano na uchunguzi zaidi. Ombi la kutaka washitakiwa hao;...
11 years ago
GPLWATUHUMIWA KESI YA MTOTO WA BOKSI KUSOMEWA MASHITAKA UPYA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/at5DaH0Gs6mkNcIQw0RNT7Jy7c6qaLMy5nrUZo*Ebt-3vBad2IyG7E5O5LqcAfcus2QHjVNlpl9MldcXFfClyzcELB3gioMX/2.jpg?width=650)
MAISHA PLUS: VILIO VYATAWALA
10 years ago
Mtanzania11 Feb
Simanzi, vilio vyatawala Dar
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
SIMANZI na vilio vimetawala jana eneo la Kipunguni Ukonga jijini Dar es Salaam nyumbani kwa mhandisi mstaafu wa ndege, marehemu Luteni David Mpira (68), ambaye alifariki pamoja na familia yake ya watu watano baada ya nyumba yao kuungua na moto usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita.
Mpira ambaye enzi za uhai wake alikuwa mwanajeshi, alikutwa na umauti huo saa tisa usiku pamoja na mke wake Celina Mpira (62), mtoto wake Lucas Mpira (37), shemeji yake Samuel Yegera...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZahK2JNbKSs2BbDBZcpjKjrnV-YFPCJb*H0*TzYumTlLNHRsSmpsKXrmxkdCFOhxlejoOuhVaK*e0ua8q7MlCZHphB-OJKO1/mtikila.jpg?width=650)
VILIO VYATAWALA NYUMBANI KWA MTIKILA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCBTFox9-0czM1zS1hyoWfO5yjG5el9bK1uxxnc96lW7VIjNuXG0YJWfk1GqbewwZ-dmYCEp7eo35FnOpF68NKb1/KUAMBIANAMUIMBILI5.jpg)
MWILI WA KUAMBIANA WAHIFADHIWA MUHIMBILI, VILIO VYATAWALA!
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Vilio vyatawala wodini kwa binti Yusta
10 years ago
Habarileo04 Jun
Vilio vyatawala bungeni kifo cha Mwaiposa
WABUNGE jana walikuwa na wakati mgumu kuzuia machozi kutiririka katika nyuso zao wakati jeneza lililobeba mwili wa Mbunge wa Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa lilipokuwa likiingia katika viwanja vya Bunge kwa ajili ya mazishi.