Watuhumiwa kesi mtoto wa boksi watinga Polisi
WASHITAKIWA watatu wanaokabiliwa na shitaka la kumfungia katika boksi mtoto Nasra Rashid, jana walipelekwa Kituo Kikuu cha Polisi mjini hapa kwa mahojiano na uchunguzi zaidi. Ombi la kutaka washitakiwa hao;...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWATUHUMIWA KESI YA MTOTO WA BOKSI KUSOMEWA MASHITAKA UPYA
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Zomeazomea, vilio vyatawala kesi ya mtoto wa boksi
11 years ago
GPLWATUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA MWAKA 2010 WATINGA KISUTU
11 years ago
Habarileo02 Jun
Buriani 'mtoto wa boksi'
MSIBA wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa zaidi ya miaka mitatu, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, umeibua simanzi jijini Dar es Salaam, Morogoro na katika maeneo mbalimbali nchini. Jana taarifa za kufariki kwa Nasra aliyekuwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zilisambaa katika maeneo mbalimbali nchini kupitia mitandao ya kijamii na baadaye kuthibitishwa na Msemaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
‘Mtoto wa boksi’ hatunaye
Mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi akiwa na umri wa miezi tisa, amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa ajili ya uchunguzi na matibabu. Taarifa za...
11 years ago
Mwananchi02 Jun
Kauli ya mwisho ya ‘mtoto wa boksi’
11 years ago
Habarileo26 May
Mapya yaibuka mtoto wa boksi
UTATA umeendelea kugubika tukio la mtoto kukutwa kwenye boksi katika mtaa wa Azimio mjini Morogoro akiwa ameishi humo kwa miaka mitatu, ambapo sasa imebainika kuwepo kwa shimo lililojaa maji jirani na alipokuwa amefungiwa mtoto huyo.
11 years ago
Habarileo28 May
'Mtoto wa boksi' yupo Muhimbili
MTOTO mwenye umri wa miaka minne aliyefungiwa ndani ya boksi kwa zaidi na miaka mitatu mkoani Morogoro, amehamishiwa katika Hos- pitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya uchunguzi na tiba zaidi huku wataalamu wakikuna vichwa namna ya kumrudishia afya yake.
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Majibu ya mtoto wa boksi leo
MAJIBU ya vipimo vya afya vilivyofanyika juzi kwa mtoto Nasra Rashid (4), aliyefichwa kwenye boksi mkoani Morogoro, kwa muda wa miaka minne, yanatarajiwa kutolewa leo. Mtoto huyo awali alilazwa katika...