Alazwa hospitali kwa miaka 45
Usiombe yakupate. Abdi Lanjui (75), ametimiza mwaka wa 45 akiwa wodini katika Hospitali ya Mkoa wa Singida alikolazwa tangu mwaka 1971 baada ya kupata ajali ya lori.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Pervez Musharraf alazwa hospitali
10 years ago
Bongo511 Sep
Kanye West alazwa hospitali nchini Australia
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Aboud Jumbe alazwa hospitali ya taifa Muhimbili
Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi (94).
Na Mwandishi wetu
Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi (94), yupo hoi baada ya kulazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili akisumbuliwa na maradhi ya moyo.
Taarifa iliyotolewa na Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Muhimbili, Doris Ishenga, alisema Jumbe alipokewa hospitalini hapo tangu Oktoba 12, mwaka huu.
Amelazwa katika Taasisi ya Moyo baada ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe7jdDVkZ*irRz32*jl2*JosW7RKXwUf7OwiuiE9umBgwf-wcVfqZlvM749AmSvszG4u90ctMRM7n6OZqo0Bn5w3/oGEORGEHWBUSHfacebook.jpg?width=650)
GEORGE H.W BUSH ALAZWA HOSPITALI NCHINI MAREKANI
9 years ago
Bongo512 Nov
Sepp Blatter alazwa hospitali baada ya kupata mshituko
![FIFA President Sepp Blatter speaks during a press conference on October 4, 2013 at the FIFA headquarters in Zurich. FIFA said they could not get involved in labour issues in any country, amid calls for action after claims that dozens of migrant workers had died on construction projects linked to the 2022 World Cup in Qatar. Blatter, however said that the federation could not turn a blind eye to the reports, which also alleged that thousands of other workers endured conditions akin to "modern-day slavery" in Qatar. AFP PHOTO / FABRICE COFFRINIFABRICE COFFRINI/AFP/Getty Images](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Blatter-argues-300x194.jpg)
Rais wa shirikisho la Soka la kimataifa, Sepp Blatter aliyesimamishwa kwa siku 90 kujishughulisha na masuala ya soka kwa kashfa za rushwa, amelazwa hospitali kutokana na kupatwa mshtuko wa neva.
Blatter amelazwa hospitali kwa ajili ya uchunguzi wa afya lakini sasa imeelezwa ataendelea kubaki huko. Awali ilidaiwa alikuwa na matatizo ya msongo wa mawazo hivyo ikabidi apate huduma ya matabibu, sasa imebainika ana tatizo la mshtuko wa neva.
Awali, mwanasheria wake, Richard Cullen alieleza juu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3g-3z0DGcVA/Vng8a84bdqI/AAAAAAAAIb0/iXnF-YEKJpA/s72-c/B%2B1.jpg)
Hospitali ya ApolloYatoa “Zawadi ya Maisha†kwa Kufanikisha Upandikizaji wa Moyo na Ini kwa Kijana wa umri wa Miaka 30
![](http://1.bp.blogspot.com/-3g-3z0DGcVA/Vng8a84bdqI/AAAAAAAAIb0/iXnF-YEKJpA/s640/B%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9DHefR-JxH4/Vng8a6dAevI/AAAAAAAAIb4/BNhqyTPcnWw/s640/B.jpg)
Na Mwandishi Wetu,
Hospitali za Apollo zimefanikiwa kwa mara ya kwanza barani Asia kufanya...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Hospitali ya Apollo yatoa “Zawadi ya Maisha†kwa kufanikisha upandikizaji wa Moyo na Ini kwa kijana wa umri wa Miaka 30
Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, katika hospitali ya Apollo akizungumza na waandishi wa habari baada ya upandikizaji huo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-9DHefR-JxH4/Vng8a6dAevI/AAAAAAAAIb4/BNhqyTPcnWw/s640/B.jpg)
Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa hospitali ya Apollo baada ya upandikizaji. Aliyemkumbatia ni Mwenyekiti na Mwanzilishi wa hospitali za ApolloDk. Prathap .C. Reddy.
Na Mwandishi Wetu,
Hospitali za Apollo zimefanikiwa kwa mara ya kwanza barani Asia kufanya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aspZgrCv_OI/UxAs4D69ZwI/AAAAAAAFQLk/POlrOY9HLa8/s72-c/Rais+Michael+Sata+wa+Zambia+aliponda+kumjulia+hali+Rais+kwanza+mstaafu+Mzee+Dr.Kaunda.jpg)
NEWS ALERT: Rais Mstaafu wa Zambia Mzee Dr.Keneth Kaunda alazwa Hospitali Mjini Lusaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-aspZgrCv_OI/UxAs4D69ZwI/AAAAAAAFQLk/POlrOY9HLa8/s1600/Rais+Michael+Sata+wa+Zambia+aliponda+kumjulia+hali+Rais+kwanza+mstaafu+Mzee+Dr.Kaunda.jpg)