Sepp Blatter alazwa hospitali baada ya kupata mshituko
Rais wa shirikisho la Soka la kimataifa, Sepp Blatter aliyesimamishwa kwa siku 90 kujishughulisha na masuala ya soka kwa kashfa za rushwa, amelazwa hospitali kutokana na kupatwa mshtuko wa neva.
Blatter amelazwa hospitali kwa ajili ya uchunguzi wa afya lakini sasa imeelezwa ataendelea kubaki huko. Awali ilidaiwa alikuwa na matatizo ya msongo wa mawazo hivyo ikabidi apate huduma ya matabibu, sasa imebainika ana tatizo la mshtuko wa neva.
Awali, mwanasheria wake, Richard Cullen alieleza juu...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Blatter alazwa kwa kupata mshituko
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika …
Baada ya uchnguzi wa kina kufanyika na wachunguzi wa shirikisho la soka ulimwenduni FIFA wameamua kutoa adhabu ya kuwafungia miaka nane kutojihusisha na masuala ya soka aliyekuwa Rais wa soka ulimwenguni FIFA Sepp Blatter na Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya Michel Platini. Blatter na Platini wamekumbana na adhabu hiyo baada ya kukutwa na […]
The post Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Sepp Blatter akwezwa
9 years ago
TheCitizen05 Oct
Sepp Blatter’s survival in doubt
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Sepp Blatter akataa mjadala na wapinzani
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Rais wa Fifa Sepp Blatter achunguzwa
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Je Sepp Blatter ataibuka mshindi tena?
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Rais wa FIFA Sepp Blatter kujiuzulu
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Sepp Blatter na Platini wasimamishwa kazi