Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Blatter alazwa kwa kupata mshituko

Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa, Sepp Blatter amelazwa hospitalini kutokana na kupatwa mshituko wa neva.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Sepp Blatter alazwa hospitali baada ya kupata mshituko

FIFA President Sepp Blatter speaks during a press conference on October 4, 2013 at the FIFA headquarters in Zurich. FIFA said they could not get involved in labour issues in any country, amid calls for action after claims that dozens of migrant workers had died on construction projects linked to the 2022 World Cup in Qatar. Blatter, however said that the federation could not turn a blind eye to the reports, which also alleged that thousands of other workers endured conditions akin to "modern-day slavery" in Qatar. AFP PHOTO / FABRICE COFFRINIFABRICE COFFRINI/AFP/Getty Images

Rais wa shirikisho la Soka la kimataifa, Sepp Blatter aliyesimamishwa kwa siku 90 kujishughulisha na masuala ya soka kwa kashfa za rushwa, amelazwa hospitali kutokana na kupatwa mshtuko wa neva.

FIFA President Sepp Blatter speaks during a press conference on October 4, 2013 at the FIFA headquarters in Zurich. FIFA said they could not get involved in labour issues in any country, amid calls for action after claims that dozens of migrant workers had died on construction projects linked to the 2022 World Cup in Qatar. Blatter, however said that the federation could not turn a blind eye to the reports, which also alleged that thousands of other workers endured conditions akin to "modern-day slavery" in Qatar. AFP PHOTO / FABRICE COFFRINIFABRICE COFFRINI/AFP/Getty Images

Blatter amelazwa hospitali kwa ajili ya uchunguzi wa afya lakini sasa imeelezwa ataendelea kubaki huko. Awali ilidaiwa alikuwa na matatizo ya msongo wa mawazo hivyo ikabidi apate huduma ya matabibu, sasa imebainika ana tatizo la mshtuko wa neva.

Awali, mwanasheria wake, Richard Cullen alieleza juu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.

Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.

Licha ya kuwafungia miaka...

 

11 years ago

Mwananchi

Alazwa hospitali kwa miaka 45

Usiombe yakupate. Abdi Lanjui (75), ametimiza mwaka wa 45 akiwa wodini katika Hospitali ya Mkoa wa Singida alikolazwa tangu mwaka 1971 baada ya kupata ajali ya lori.

 

11 years ago

Habarileo

Mkalimani wa Mandela alazwa kwa uchizi

Mkalimani Thamsanqa JantjieMKALIMANI mtata katika ibada maalumu ya kumkumbuka kiongozi wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika uwanja wa FNB jijini Johannesburg Desemba 10 amelazwa hospitalini kwa matatizo ya akili.

 

9 years ago

Raia Mwema

Mshituko

WAKATI kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, zikiingia katika duru la pili huku wagombea Dk.

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

CloudsFM

H BABA ALAZWA MUHIMBILI KWA KUUMWA DENGUE

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva,Hamis Baba’H Baba’amelazwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa kuumwa ugonjwa wa Dengue.

Msanii huyo alipelekwa katika hospitali jana usiku baada ya hali yake kuwa mbaya.Kupitia mtandao wa Instagram mke wa msanii huyo Frolah Mvungi aliandika hivi..DENGUE.....muhimbili now SAA nane Hii.usiku.hali ilikuwa mbaya zaidi imebidi tuletwe MUHIMBILI HOSPITAL.AMEGUNDULIKA NI DENGUE.thanx to GOD anaendelea vizuri and that is the last drip.asante my manager Yahya...

 

11 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL AANGUKA KWA PRESHA, ALAZWA

Stori: Gladyness Mallya na Hamida Hasan
STAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuanguka ghafla kwa presha akiwa ‘location’ jijini Tanga, Risasi Jumamosi lina habari hii. Staa wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel. Kwa mujibu wa chanzo, Aunt  akiwa katika harakati za kuigiza filamu anayocheza na Amri Athuman ‘Mzee Majuto’, ghafla alianguka na kukimbizwa katika...

 

9 years ago

Global Publishers

Aliyetoa siri ya Muhimbili kwa Magufuli alazwa chini

IMG-20151227-WA0001
Chacha Makenge akiwa amelazwa chini kwenye hospitali ya Muhimbili.

Chande Abdallah na Deogratius Mongela, UWAZI
DAR ES SALAAM: Yule mgonjwa aliyeibua ubovu wa mtambo ya CT Scan na mashine ya MRI kwa Rais John Pombe Magufuli, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar, Chacha Makenge (pichani)amekutwa na Uwazi akiwa amelala sakafuni wodini.

Desemba 25, mwaka huu, Uwazi lilifika hospitalini hapo Jengo la Sewa Haji wodi namba 18 na kumshuhudia Chacha amelalia mashuka aliyoyatandika chini huku...

 

10 years ago

Vijimambo

BUNGE LA KATIBA:Mshituko

  Kura za hapana zaiibua kamati ya mashaurianoUamuzi wa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kupiga kura ya hapana kwa ibara zote za rasimu mpya ya katiba inayopendekezwa imeibua mkanganyiko na sasa Kamati ya Mashauriano imeundwa kukutana na waliopiga kura hizo.

Juzi wajumbe walianza kupiga kura kupitisha sura na ibara moja baada ya nyingine, kwa wazi au siri, huku wengi wakisema kuwa wanaunga mkono, lakini pia wakiwamo wachache waliosema hapana kwa sura zote 10 na ibara zote kuanzia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani