Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshituko

WAKATI kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, zikiingia katika duru la pili huku wagombea Dk.

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BUNGE LA KATIBA:Mshituko

  Kura za hapana zaiibua kamati ya mashaurianoUamuzi wa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kupiga kura ya hapana kwa ibara zote za rasimu mpya ya katiba inayopendekezwa imeibua mkanganyiko na sasa Kamati ya Mashauriano imeundwa kukutana na waliopiga kura hizo.

Juzi wajumbe walianza kupiga kura kupitisha sura na ibara moja baada ya nyingine, kwa wazi au siri, huku wengi wakisema kuwa wanaunga mkono, lakini pia wakiwamo wachache waliosema hapana kwa sura zote 10 na ibara zote kuanzia...

 

10 years ago

GPL

MSHITUKO VIFO VYA WASANII

Stori:  Waandishi Wetu
Misiba kila kona! Achilia mbali watu wasiokuwa na majina hasa vijana wadogo, ndani ya saa 24 wamefariki dunia wasanii wanne wa kutoka kwenye tasnia za Bongo Movies na Bongo Fleva, Amani lina habari yenye kuumiza moyo. Benson Okumu, enzi za uhai wake akiwa na mtoto wa marehemu George Okumu Otieno ‘Tyson’… ...

 

10 years ago

GPL

MSHITUKO WA MOYO (MYOCARDIAL INFARCTION)

Mshituko wa moyo unatokea wakati mtiririko wa damu yenye oksijeni unapozuiwa kwa ghafla katika misuli ya moyo. Iwapo mzunguko huo wa damu hautaendelea haraka, kitendo hicho huifanya misuli ya moyo kuharibika kwa kukosa oksijeni na hivyo kuhatarisha maisha ya muathirika. Mshituko wa moyo kwa lugha ya tiba unajulikana kama ‘Myocardial Infarction’ inayomaanisha “Myo” muscles au msuli,...

 

10 years ago

GPL

MSHITUKO WA MOYO (MYOCARDIAL INFARCTION) -2

Baada ya kueleza matatizo ya mshituko wa moyo wiki iliyopita katika safu hii, leo tutafafanua ugonjwa wa moyo unaosababishwa na simanzi kama vile kutengana na mke au mpenzi wa mtu.
Jina la ugonjwa huu kitaalamu huitwa broken heart syndrome na husababishwa na kudhoofika ghafla kwa misuli ya moyo kwa muda mfupi. Ugonjwa huu hauhusiani kabisa na tatizo la kukosekana kwa damu ya kutosha katika moyo.
Tatizo hili hujulikana kama...

 

9 years ago

BBCSwahili

Blatter alazwa kwa kupata mshituko

Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa, Sepp Blatter amelazwa hospitalini kutokana na kupatwa mshituko wa neva.

 

9 years ago

Bongo5

Sepp Blatter alazwa hospitali baada ya kupata mshituko

FIFA President Sepp Blatter speaks during a press conference on October 4, 2013 at the FIFA headquarters in Zurich. FIFA said they could not get involved in labour issues in any country, amid calls for action after claims that dozens of migrant workers had died on construction projects linked to the 2022 World Cup in Qatar. Blatter, however said that the federation could not turn a blind eye to the reports, which also alleged that thousands of other workers endured conditions akin to "modern-day slavery" in Qatar. AFP PHOTO / FABRICE COFFRINIFABRICE COFFRINI/AFP/Getty Images

Rais wa shirikisho la Soka la kimataifa, Sepp Blatter aliyesimamishwa kwa siku 90 kujishughulisha na masuala ya soka kwa kashfa za rushwa, amelazwa hospitali kutokana na kupatwa mshtuko wa neva.

FIFA President Sepp Blatter speaks during a press conference on October 4, 2013 at the FIFA headquarters in Zurich. FIFA said they could not get involved in labour issues in any country, amid calls for action after claims that dozens of migrant workers had died on construction projects linked to the 2022 World Cup in Qatar. Blatter, however said that the federation could not turn a blind eye to the reports, which also alleged that thousands of other workers endured conditions akin to "modern-day slavery" in Qatar. AFP PHOTO / FABRICE COFFRINIFABRICE COFFRINI/AFP/Getty Images

Blatter amelazwa hospitali kwa ajili ya uchunguzi wa afya lakini sasa imeelezwa ataendelea kubaki huko. Awali ilidaiwa alikuwa na matatizo ya msongo wa mawazo hivyo ikabidi apate huduma ya matabibu, sasa imebainika ana tatizo la mshtuko wa neva.

Awali, mwanasheria wake, Richard Cullen alieleza juu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani