Kanye West alazwa hospitali nchini Australia
Kanye West alipelekwa na kulazwa kwenye hospitali nchini Australia na kufanyiwa scan ya ubongo wake kutokana maumivu makali ya kichwa. Staa huyo alikuwa apande jukwaani kutumbuiza huko Melbourne jioni ya September 10 kabla hajaugua ghafla mida ya saa nane mchana. Mwanamke mmoja aitwaye Loraine Kelly, ambaye mwanae alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya Epworth ya Richmond […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe7jdDVkZ*irRz32*jl2*JosW7RKXwUf7OwiuiE9umBgwf-wcVfqZlvM749AmSvszG4u90ctMRM7n6OZqo0Bn5w3/oGEORGEHWBUSHfacebook.jpg?width=650)
GEORGE H.W BUSH ALAZWA HOSPITALI NCHINI MAREKANI
George H.W Bush. ALIYEKUWA Rais wa 41 wa Marekani, George H.W Bush amekimbizwa katika hospitali ya Houston Methodist nchini Marekani baada ya kupatwa na tatizo la kupumua. Alipelekwa katika hospitali hiyo kwa gari la kubebea wagonjwa (Ambulance) jana usiku.
Wawakilishi wa Bush wanasema kuwa hatua hiyo ya kupelekwa hospitali ni kama tahadhari. Bush mwenye umri wa miaka 90 alikuwa madarakani tangu mwaka 1989-1993 na ndiye Rais...
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West
Kim Kardashian West na Kanye West wamempa mtoto wao wa pili jina Saint West.
10 years ago
Vijimambo29 Jul
WAFANYAKAZI WA HOSPITALI YA WANAWAKE NA WATOTO MJINI CANBERRA NCHINI AUSTRALIA WAONYESHA NIA YA KUJA KUFANYA KAZI TANZANIA
![sa1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/sa11.jpg)
![sa2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/sa21.jpg)
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Pervez Musharraf alazwa hospitali
Kiongozi wa zamani wa Pakistan, Pervez Musharraf amelazwa hospitali kwa kile kinachoshukiwa kuwa ni matatizo ya moyo
11 years ago
Mwananchi08 May
Alazwa hospitali kwa miaka 45
Usiombe yakupate. Abdi Lanjui (75), ametimiza mwaka wa 45 akiwa wodini katika Hospitali ya Mkoa wa Singida alikolazwa tangu mwaka 1971 baada ya kupata ajali ya lori.
9 years ago
Bongo520 Oct
Music: Kanye West — When I See It’ + ‘Say You Will (Remix)
Kanye West quietly dropped two new songs on his SoundCloud account on Monday afternoon. The first is a remix to The Weeknd’s “Tell Your Friends,” which he produced, entitled “When I See It.” The under-two-minute track finds Kanye singing in Auto-Tune. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVUmkSPKUd140T3EDRwyMw0tXzmVOa*fafNGSi8Se*Lzm27nlU45Aq3G1dXHiohZ9xCzf9-GfD9bII3d5MS2TMhF/HARUSI20.jpg?width=650)
HARUSI YA KANYE WEST KUFURU
Matukio mbalimbali ya sherehe hiyo katika picha. Wageni waalikwa wakiwa ndani ya ndege wakielekea Florence, Italia kwa ajili ya ndoa ya Kim na Kanye.…
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Kanye West aomba Msamaha
Kanye West ametekeleza matakwa ya kesi iliyokuwa ikimkabilia ya kumpiga paparazi.
9 years ago
BBCSwahili11 Oct
Obama amkejeli rappa Kanye West
Rais wa Marekani Barack Obama emetumia ukumbi wa kukusanya fedha kukejeli nia ya rappa kanye west kuwania urais 2020
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania