Jeb Bush kugombea urais Marekani kupitia Republican.
Jeb Bush gavana wa Florida aliyetangaza kugombea urais wa Marekani 2016
Mwanasiasa wa chama cha Republican, na gavana wa jimbo la Florida, Jeb Bush ametangaza rasmi ametangaza rasmi nia yake ya kuwania nafasi ya urais wa taifa hilo kubwa duniani kiuchumi kwa tiketi ya chama hicho cha Republican.
Akizungumza katika mkutano wake wa hadhara huko Miami,Jeb ambaye baba yake na kaka yake wamewahi kuongoza Marekani ameubeza utawala wa Rais Obama katika sera zake za mambo ya nje.
Lakini mwandishi wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Jeb Bush kugombea urais Marekani
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Nitagombe Urais Marekan:Jeb Bush
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Bush mwengine ataka urais Marekani
11 years ago
Michuzi
Rais Kikwete atembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) mjini Dallas,Marekani
Rais Kikwete alikuwa amesimama mjini Dallas kwa muda akiwa njiani kutoka Washington D.C., kwenda Houston, jimbo hilo hilo la...
10 years ago
Vijimambo
MAALIMU SEIF AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CUF





10 years ago
MichuziLUTALOSA YEMBA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA ADC
10 years ago
VijimamboWAZIRI CHIKAWE ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS KUPITIA C
10 years ago
Vijimambo
Mtoto Wa John Malecela Ajitosa Kugombea Urais wa Tanzania Kupitia CCM

MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk Mwele Malecela mtoto wa Makamu wa zamani wa CCM John Malecela ni miongoni mwa wana CCM ambao wamejitosa kugombea urais kupitia CCM.Dk Mwele kesho amepangiwa na CCM kuchukua fomu za kuomba kugombea urais. Ratiba ya CCM iliyotolewa jana Makao Makuu ya chama hicho mjini hapa inaonesha kuwa licha ya Dk Mwele, mwingine ambaye atachukua fomu hiyo kesho ni Nicholaus Mtenda ambaye pia amejitokeza kuomba kugombea urais kupitia...