Hutaamini rapper wa Marekani aliyetangaza kugombea Urais mwaka 2016!
Hillary Clinton ameshatangaza nia ya kugombea urais mwaka 2016 lakini huenda akakutana na upinzani kutoka kwa Mmarekani mweusi mwingine kama ilivyokuwa kwa Barack Obama mwaka 2008! Hata hivyo huyu si mshindani unayeweza kumdhania – ni rapper! November mwaka 2012, Waka Flocka Flame alitweet: I’m dead ass running for president in 2016.” Na sasa amethibitisha kuwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Kanye West azungumzia mipango yake ya kugombea urais wa Marekani mwaka 2020
9 years ago
Bongo502 Sep
Rihanna amuunga mkono Kanye West aliyetangaza kuwania urais wa Marekani 2020
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Jeb Bush kugombea urais Marekani
10 years ago
Vijimambo14 Apr
Hillary Clinton atangaza kugombea urais Marekani
![](http://gdb.voanews.com/3DB961A2-D459-40BD-AB02-E9DCCEF668B9_w640_r1_s.jpg)
Hillary Clinton, mke wa rais wa zamani Bill Clinton, ametangaza kuwaanagombania urais wa Marekani mwaka 2016.
Kulingana na John Podesta, mshauri mwandamizi wa Bi Clinton waziri wa mambo ya nje katika awamu ya kwanza ya Rais Barack Obama, alitangaza nia yake kwa kutuma email Jumapili kwa wafadhili na watu waliomuunga mkono katika kampeni yake ya kwanza ya urais mwaka 2008.
Baadaye Clinton alitangaza rasmi ugombea wake katika...
10 years ago
StarTV16 Jun
Jeb Bush kugombea urais Marekani kupitia Republican.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/15/150615201353_sp_jeb_bush_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Jeb Bush gavana wa Florida aliyetangaza kugombea urais wa Marekani 2016
Mwanasiasa wa chama cha Republican, na gavana wa jimbo la Florida, Jeb Bush ametangaza rasmi ametangaza rasmi nia yake ya kuwania nafasi ya urais wa taifa hilo kubwa duniani kiuchumi kwa tiketi ya chama hicho cha Republican.
Akizungumza katika mkutano wake wa hadhara huko Miami,Jeb ambaye baba yake na kaka yake wamewahi kuongoza Marekani ameubeza utawala wa Rais Obama katika sera zake za mambo ya nje.
Lakini mwandishi wa...
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
10 years ago
Bongo510 Apr
Diamond amesharekodi collabo na msanii mkubwa wa Marekani, hutaamini ni yupi!