Rihanna amuunga mkono Kanye West aliyetangaza kuwania urais wa Marekani 2020
Kanye West alitangaza uamuzi mkubwa kwenye VMAs weekend iliyopita – kuwania urais wa Marekani 2020. Haijalishi kama ataendelea na uamuzi huo, lakini tayari rapper huyo ameshapata support kutoka kwa mastaa wengine akiwemo Rihanna. Kwenye interview na ET, muimbaji huyo wa “Bitch Better Have My Money”alimuunga mkono Yeezy. “I mean people are voting for [Donald] Trump,” […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania01 Sep
Kanye West kuwania urais 2020
NEW YORK, Marekani
NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, ametangaza nia ya kuwania urais wa nchi hiyo mwaka 2020.
Msanii huyo aliweka wazi mpango wake huo wakati wa utoaji wa tuzo za VMA ‘MTV Video Muzic’ nchini humo huku akiamini kuwa kutangaza huko ni maamuzi magumu kwake.
Alipojinadi alidai ana uhakika ataingia Ikulu ya Marekani yeye na mkewe mwanamitindo, Kim Kardashian.
“Natangaza rasmi kuwa mwaka 2020 nitajitupa katika kinyang’any’iro cha kuwania urais kwa imani kubwa...
9 years ago
Bongo528 Sep
Kanye West azungumzia mipango yake ya kugombea urais wa Marekani mwaka 2020
9 years ago
Bongo511 Oct
Video: Obama ampa Kanye West dondoo muhimu za kumsaidia kwenye uamuzi wake wa kuwania Urais wa Marekani
9 years ago
Bongo501 Oct
Hata Kim Kardashian hakujua kama Kanye West ana mpango wa kugombea urais 2020 mpaka alipotangaza kwenye VMA
10 years ago
GPL01 Feb
10 years ago
Bongo505 Feb
New Video: Rihanna Ft Kanye West & Paul McCartney – Four Five Seconds
10 years ago
Bongo526 Jan
New Music: Rihanna aachia wimbo mpya ‘Four Five Seconds’ Ft. Kanye West na Paul McCartney
10 years ago
Bongo510 Feb
Kanye West ndiye Executive producer wa albam mpya ya Rihanna ‘R8’ iliyoko jikoni