Waganga waaswa kuacha fikra potofu
WAGANGA tiba asili wametakiwa kuachana na fikra potofu za kuwashawishi wateja wao kuwa wakiua au kuleta viungo vya binadamu ndio chanzo cha kupata mafanikio. Akizungumza na Tanzania Daima jijini hapa,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Jamii yaaswa kuacha imani potofu
JAMII imetakiwa kuacha imani potofu na kutoa ushirikiano kikamilifu katika ukusanyaji wa takwimu kwa kila kaya nchini ili kuwezesha Serikali kupanga mipango mbalimbali ya maendeleo katika kuboresha huduma na sera...
9 years ago
StarTV02 Nov
Watanzania watakiwa kuacha uvivu wa fikra
Watanzania wametakiwa kuacha tabia ya kutawaliwa na uvivu na ufinyu wa fikra za kimaendeleo zinazowasababishia baadhi ya watu kutojihusisha na masuala ya maendeleo na kuishia katika vijiwe wakidai hakuna maendeleo nchini.
Akizungumza katika ibada maalumu ya kumshukuru Mungu kwa kumaliza uchaguzi salama Mchungaji John Masanyiwa amesema iwapo watanzania wanataka maendeleo ya kweli ni vyema wakajihamasisha katika shughuli za kimaendeleo zitakazowawezesha kupata fursa mbalimbali kwa viongozi...
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Wakunga na waganga wa tiba mbadala wajitangaza kuacha kabisa kazi hizo
Bi Zaibabu Juma mkazi wa Kijiji cha Iguguno.
Bi Amina Selemani wote ni wakazi wa Kijiji cha Tumuli waliotangaza rasmi kuachana na huduma za kuwasaidia wanawake wajawazito kutokana na uzee pamoja na maradhi ya kifua.
Mganga wa tiba mbadala, Bwana Gervasi Dule, mkazi wa Kijiji cha Senene.
Wakunga wa jadi,Bi Fatuma Omari (wa kwanza kutoka kulia) na Bi Tatu Hassani(wa pili kutoka kulia) waliotangaza kuacha kutoa huduma za ukunga wa jadi kwa akina mama wajawazito kutokana na umri kuwa mkubwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ITCnkrKpSys/ViIRJXYczlI/AAAAAAAIAho/tmkKEh80SUE/s72-c/image_1.jpeg)
WAHITIMU WAASWA KUACHANA NA FIKRIA POTOFU KUWA ELIMU WANAYOIPATA ITAWAPATIA AJIRA SERIKALINI AU KWENYE SEKTA BINAFSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ITCnkrKpSys/ViIRJXYczlI/AAAAAAAIAho/tmkKEh80SUE/s640/image_1.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lQi0GpbGI1Y/ViIRKhsfnmI/AAAAAAAIAh8/cSdwkMKdea8/s640/image_3.jpeg)
9 years ago
Michuzi17 Sep
VIJANA WAASWA KUACHA UPAPARA
![_MG_1920](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/MG_1920.jpg)
Na Mwandishi wetuVIJANA nchini Tanzania wanatakiwa kujitambua, kuacha kuwa kigeugeu na kufanya papara ya kupata fedha kama wanataka kuendelea na kufanikiwa kibinafsi na kiuchumi.
Kauli...
10 years ago
Habarileo30 Dec
Madereva waaswa kuacha ulevi, kutuma sms njiani
KAMPENI ya usalama barabarani ya kuwataka madereva nchini kuzingatia sheria za usalama barabarani iliyozinduliwa hivi karibuni na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe jana imeendelea katika Mkoa wa Pwani na Morogoro.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
Wakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango
![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi.
Aidha serikali inafanya kila linalowezekana ili kulipa madeni ya wakandarasi wazalendo ikiwemo kupata mikopo ya riba nafuu kwaajili ya kuwezesha wakandarasi kupata zabuni za ujenzi wa majengo makubwa zaidi yanayojengwa na wageni kutoka nchi za nje.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jijini hapa na Katibu...
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Wazazi waaswa kuwapokea vijana waoo walioamua kuacha matumizi ya dawa za kulevya
Balozi Seif akizungumza na baadhi ya Wananchi mara ya kukabidhiwa Vijana Sita walioamua kuachana na matumizi ya Dawa za kulevya waliokuwa wakipata mafunzo kwenye Kituo cha Mombasa nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Kushoto ya Balozi Seif ni Sheha wa Shehia ya Fujoni Bwana Said Mgeni Bakari na wa kwanza kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kaskazini “ B “ Nd. Hilika Khamis na Mke wa Mbunge wa Jimbo la Kitope Mama Asha Suleiman Iddi.
Na Mwandishi Wetu.
Wazazi wameaswa kuwa tayari...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7U2Y5xPKtJc/XmlJZpZHU1I/AAAAAAALirw/DS5diKOg4bgGHyaEMyVkpBV85N62sSMDACLcBGAsYHQ/s72-c/7df73547-fc57-4ba7-9d38-49c58cefb045.jpg)
WANANCHI KATA YA LIFUMO,LUDEWA WAASWA KUACHA KULIMA KWENYE MKONDO WA MAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-7U2Y5xPKtJc/XmlJZpZHU1I/AAAAAAALirw/DS5diKOg4bgGHyaEMyVkpBV85N62sSMDACLcBGAsYHQ/s640/7df73547-fc57-4ba7-9d38-49c58cefb045.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IgWWNxqwQzk/XmlJZtycVzI/AAAAAAALirs/MmhjkuUdma0uQWQYV-QAkmDeKkUadBt4gCLcBGAsYHQ/s640/263adfa7-b044-4940-95a7-8cce04886d76.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L-hur5PRCeI/XmlJZsbTHiI/AAAAAAALir0/BUl81S-ddoson4abeSfibIYaJDjtTp94wCLcBGAsYHQ/s640/571a758d-f2ce-44b3-af12-f651f160954b.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IAKVYXT4FAc/XmlJaiGLvCI/AAAAAAALir4/ra5SSqlTa-AgTHSo_KWWnoiZsfdIwMmIgCLcBGAsYHQ/s640/a736cf91-8922-460e-bdce-e8633f4ee1e7.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-C7c1m93tluA/XmlJbLiE05I/AAAAAAALir8/KPPtdjfkmkUAjQVusYhGwQr8-1WSll7qgCLcBGAsYHQ/s640/b100d549-2248-4c01-bbb9-edaec3461841.jpg)
Na Shukrani Kawogo, Njombe
Wakazi wa kata ya Lifumo iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe wametakiwa kuhama na kuacha kulima maeneo...