WANANCHI KATA YA LIFUMO,LUDEWA WAASWA KUACHA KULIMA KWENYE MKONDO WA MAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-7U2Y5xPKtJc/XmlJZpZHU1I/AAAAAAALirw/DS5diKOg4bgGHyaEMyVkpBV85N62sSMDACLcBGAsYHQ/s72-c/7df73547-fc57-4ba7-9d38-49c58cefb045.jpg)
Mabaki ya nyumba baada ya kufukiwa na maporomoko
Baadhi ya nyumba zilizofukiwa na maporomoko
Mkuu wa wilaya ya Ludewa Andrea Tsere akiangalia baadhi ya nyumba zilizofukiwa na kifusi
Mkuu wa wilaya ya Ludewa Adrea Tsere akisaidiwa kuvuka mto unaomwaga maji yake ziwani na baadhi ya wanakamati ya ulinzi na usalama
Baadhi ya makaburi yaliyofukuliwa na maporomoko
Na Shukrani Kawogo, Njombe
Wakazi wa kata ya Lifumo iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe wametakiwa kuhama na kuacha kulima maeneo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cwmbHT58lMc/XpatbGYzeDI/AAAAAAALm_o/Hvs9BdltRbIm4rPCvhSCaK_GxoxEcRPLACLcBGAsYHQ/s72-c/7066cc2d-7b52-427b-a960-1944637a0e26.jpg)
WANACHAMA WA CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE WAASWA KUACHA KUCHAFUANA NA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA
Na Shukrani Kawogo-Michuzi TV, Njombe.
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wilayani Ludewa Mkoani Njombe ikiwemo nafasi ya ubunge wametakiwa kuacha kuchafuana na kufanya kampeni kabla ya nafasi hizo kutangazwa kuwa wazi kwani kwa watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kukatwa majina yao .
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilayani humo Bakari Mfaume na kuongeza kuwa kumekuwa na matamanio kwa baadhi ya wanachama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BYMlbJ7IY2c/XrwUMXPTaMI/AAAAAAALqHQ/nsj3fV6HcBYRMAGz3SBNBwBjSkZoq_dhQCLcBGAsYHQ/s72-c/ac93758e-7408-4465-b6e1-957b5e3663ca.jpg)
WANANCHI KATA YA MBWILA NA LIFUMA WILAYANI YA LUDEWA WAUNGANA KUFANYA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-BYMlbJ7IY2c/XrwUMXPTaMI/AAAAAAALqHQ/nsj3fV6HcBYRMAGz3SBNBwBjSkZoq_dhQCLcBGAsYHQ/s640/ac93758e-7408-4465-b6e1-957b5e3663ca.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7TOBNkJ7Iag/XrwUMgfGP3I/AAAAAAALqHU/kYZp9A0NkcQ_BAC2wJFOh4ag26okD6mawCLcBGAsYHQ/s640/c165ad58-0537-40cf-a3e4-06bc1957a5bc.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bO7nq8bOXWo/XrwULQOBUbI/AAAAAAALqHI/0OTx-RdWQlYJNZSuFOHwAphbEIGkCbgVgCLcBGAsYHQ/s640/1e830f54-c6d5-4684-b093-c56c5b43ec55.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eRn39kPOTHw/XrwULbxJ6vI/AAAAAAALqHE/CYJVFcpVgTkmXcevvn4yjpx93NfKAgHXQCLcBGAsYHQ/s640/8c7040be-249d-4f98-a635-349eb9cb4b67.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Op6bawHq3Mo/XrwULadfFII/AAAAAAALqHM/Yt5RhdzpSK0u0kkZ0G-RidmVv1jfAT_zQCLcBGAsYHQ/s640/16eda9aa-ae11-44a5-9ef2-7cef813526f0.jpg)
Mwenyekiti wa halmashauri ya Ludewa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N6hVAR_KmwQ/UyBoU4CG41I/AAAAAAAFTGQ/CYSzqau5vsI/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Wananchi Wilayani Mpanda waaswa kutunza vyanzo vya maji na mazingira
Wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda wamepewa changamoto kutunza vyanzo vya maji na kuhifadhi mazingira kwani kuharibu mazingira kunapelekea kuchangia ukame na kukosekana na maji ambayo ndiyo uhai wa viumbe na tegemeo la maisha ya wanadamu na wanyama.
Changamoto hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mpanda Kibiriti Yasini wakati akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Milala Kata ya Kabungu kwenye maandalizi ya wiki ya maji inayotarajiwa kufanyika...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WdrHDRq9bfg/Xphp_mdjLjI/AAAAAAAC3Mg/xvIovHYkjpoOkk58qY7Cn23-ftPio52GACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANANCHI WAASWA KUTOCHOKA KUSAFISHA MIKONO KWA SABUNI NA MAJI SAFI YATIRIRIKAYO KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WdrHDRq9bfg/Xphp_mdjLjI/AAAAAAAC3Mg/xvIovHYkjpoOkk58qY7Cn23-ftPio52GACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Ameyasema hayo leo wakati akipokea vifaa vya kunawia mikono vilivyo tolewa na Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Wadau wa Project CLEAR katika ofisi za forodha zilizo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aBi951nol0k/Xm4RlPj-jHI/AAAAAAALjuo/kG-4wDbQq4kE2guLZVJtuYCC-S8DLLcYQCLcBGAsYHQ/s72-c/ddee7d2b-2b1e-4aa9-a252-3c78338b74b7.jpg)
WAZIRI BITEKO AWARUHUSU WAKAZI KIJIJI CHA MUNDINDI,LUDEWA KUENDELEZA MASHAMBA YAO KWA KULIMA MAZAO YA MUDA MFUPI
Hayo ameyasema alipotembelea mradi wa liganga uliopo mkoani humo baada ya wakazi wa kijiji hicho kulalamika kuwa wanazuiliwa kulima mashamba yao pasipo kulipwa fidia yoyote kitu ambacho kinawarudisha nyuma kimaendeleo.
Wananchi hao wandai kuwa walikubali kupisha mradi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
Mbunge wa Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji Jimboni kwake kwa kunywa maji ya Mtoni
![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xm1XeshQta4/U_TMnTV5pEI/AAAAAAAGA9s/XI0MMyay-dk/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
9 years ago
Michuzi17 Sep
VIJANA WAASWA KUACHA UPAPARA
![_MG_1920](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/MG_1920.jpg)
Na Mwandishi wetuVIJANA nchini Tanzania wanatakiwa kujitambua, kuacha kuwa kigeugeu na kufanya papara ya kupata fedha kama wanataka kuendelea na kufanikiwa kibinafsi na kiuchumi.
Kauli...
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Waganga waaswa kuacha fikra potofu
WAGANGA tiba asili wametakiwa kuachana na fikra potofu za kuwashawishi wateja wao kuwa wakiua au kuleta viungo vya binadamu ndio chanzo cha kupata mafanikio. Akizungumza na Tanzania Daima jijini hapa,...