Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCHI KATA YA LIFUMO,LUDEWA WAASWA KUACHA KULIMA KWENYE MKONDO WA MAJI


 Mabaki ya nyumba baada ya kufukiwa na maporomoko Baadhi ya nyumba zilizofukiwa na maporomoko Mkuu wa wilaya ya Ludewa Andrea Tsere akiangalia baadhi ya nyumba zilizofukiwa na kifusi Mkuu wa wilaya ya Ludewa Adrea Tsere akisaidiwa kuvuka mto unaomwaga maji yake ziwani na baadhi ya  wanakamati ya ulinzi na usalamaBaadhi ya makaburi yaliyofukuliwa na maporomoko
 Na Shukrani Kawogo, Njombe

Wakazi wa kata ya Lifumo iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe wametakiwa kuhama na kuacha kulima maeneo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE WAASWA KUACHA KUCHAFUANA NA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA


Na Shukrani Kawogo-Michuzi TV, Njombe.

Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wilayani Ludewa Mkoani Njombe ikiwemo nafasi ya ubunge wametakiwa kuacha kuchafuana na kufanya kampeni kabla ya nafasi hizo kutangazwa kuwa wazi kwani kwa watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kukatwa majina yao .

Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilayani humo Bakari Mfaume na kuongeza kuwa kumekuwa na matamanio kwa baadhi ya wanachama...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI KATA YA MBWILA NA LIFUMA WILAYANI YA LUDEWA WAUNGANA KUFANYA MAENDELEO

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ludewa (Kulia) akishirikiana na wananchi kuchimba barabara inayotoka kata ya Mbwila kwenda Lifuma. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ludewa(Kulia) akiwa na baadhi ya wananchi wakipita katika barabara baada ya kumaliza zoezi la uchimbaji.  Wananchi wakikata ikiwa ni harakati ya kut engeneza barabara
 Wananchi wa kata ya Mbwila na Lifuma wakichimba barabara
 Wananchi wa kata ya Mbwila na Lifuma  wakichimba barabara Na Shukrani Kawogo

Mwenyekiti wa halmashauri ya Ludewa...

 

11 years ago

Michuzi

Wananchi Wilayani Mpanda waaswa kutunza vyanzo vya maji na mazingira

Na Kibada Kibada –Katavi
Wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda wamepewa changamoto kutunza vyanzo vya maji na kuhifadhi  mazingira  kwani kuharibu mazingira kunapelekea kuchangia ukame na kukosekana na maji ambayo  ndiyo uhai wa viumbe na tegemeo la maisha ya wanadamu na wanyama.
Changamoto hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mpanda Kibiriti Yasini wakati akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Milala Kata ya Kabungu kwenye  maandalizi ya wiki ya maji inayotarajiwa kufanyika...

 

5 years ago

CCM Blog

WANANCHI WAASWA KUTOCHOKA KUSAFISHA MIKONO KWA SABUNI NA MAJI SAFI YATIRIRIKAYO KUKABILIANA NA CORONA

Na WAMJW- Tunduma SongweKaimu Meneja wa forodha Mikoa ya Songwe na Mbeya Ndg. Anangisye Mtafya amewataka Wasafiri na wafanya biashara wa maeneo ya mipakani kutochoka kusafisha mikono kwa sabuni na maji safi yanayotiririka wakati wote ili kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona.
Ameyasema hayo leo wakati akipokea vifaa vya kunawia mikono vilivyo tolewa na Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Wadau wa Project CLEAR katika ofisi za forodha zilizo...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI BITEKO AWARUHUSU WAKAZI KIJIJI CHA MUNDINDI,LUDEWA KUENDELEZA MASHAMBA YAO KWA KULIMA MAZAO YA MUDA MFUPI

Waziri wa Madini Dotto Biteko amewaruhusu wakazi wa kijiji cha Mundindi wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kuendeleza mashamba yao kwa kulima mazao ya muda mfupi mpaka pale muwekezaji wa mradi wa liganga atakapowalipa fidia zao.

Hayo ameyasema alipotembelea mradi wa liganga uliopo mkoani humo baada ya wakazi wa kijiji hicho kulalamika kuwa wanazuiliwa kulima mashamba yao pasipo kulipwa fidia yoyote kitu ambacho kinawarudisha nyuma kimaendeleo.

Wananchi hao wandai kuwa walikubali kupisha mradi...

 

10 years ago

Michuzi

Mbunge wa Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji Jimboni kwake kwa kunywa maji ya Mtoni

Mbunge wa jimbo la Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji kwa kunywa maji ya mto kwa majani ya mgomba maji ambayo wapiga kura wake wa kijiji cha Madindo Mlangali wamekuwa wakiyatumia. Mbunge huyo mbali ya kuzindua pia alitoa msaada wa matenki makubwa ya maji mawili na vifaa mbali mbali juzi.(picha na Francis GodwinBlog)

 

9 years ago

Michuzi

VIJANA WAASWA KUACHA UPAPARA

_MG_1920Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akiingia katika ukumbi wa mkutano hoteli ya Double Tree by Hilton kwa ajili ya warsha ya vijana na ajira iliyofadhiliwa na Mpango wa Shirika la Utafiti ya Maendeleo ya Kimataifa kutoka Canada (IDRC) na kuratibiwa na ESRF.
Na Mwandishi wetuVIJANA nchini Tanzania wanatakiwa kujitambua, kuacha kuwa kigeugeu na kufanya papara ya kupata fedha kama wanataka kuendelea na kufanikiwa kibinafsi na kiuchumi.
Kauli...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Waganga waaswa kuacha fikra potofu

WAGANGA tiba asili wametakiwa kuachana na fikra potofu za kuwashawishi wateja wao kuwa wakiua au kuleta viungo vya binadamu ndio chanzo cha kupata mafanikio. Akizungumza na Tanzania Daima jijini hapa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani