WANANCHI KATA YA MBWILA NA LIFUMA WILAYANI YA LUDEWA WAUNGANA KUFANYA MAENDELEO

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ludewa (Kulia) akishirikiana na wananchi kuchimba barabara inayotoka kata ya Mbwila kwenda Lifuma.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ludewa(Kulia) akiwa na baadhi ya wananchi wakipita katika barabara baada ya kumaliza zoezi la uchimbaji.
Wananchi wakikata ikiwa ni harakati ya kut engeneza barabara
Wananchi wa kata ya Mbwila na Lifuma wakichimba barabara
Wananchi wa kata ya Mbwila na Lifuma wakichimba barabara Na Shukrani Kawogo
Mwenyekiti wa halmashauri ya Ludewa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WANANCHI KATA YA LIFUMO,LUDEWA WAASWA KUACHA KULIMA KWENYE MKONDO WA MAJI





Na Shukrani Kawogo, Njombe
Wakazi wa kata ya Lifumo iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe wametakiwa kuhama na kuacha kulima maeneo...
5 years ago
Michuzi
WANANCHI WAJITOKEZA KUBORESHA BARABARA KWAKUTUMIA ZANA ZA MIKONO WILAYANI LUDEWA


Barabara hiyo inayounganisha kata za Ibumi na Ludewa imeharibika zaidi katika eneo la mlima Nyamikuyu na eneo la mto ketewaka na madenge hasa katika kipindi hiki cha masika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Zoezi la harambee ya kurekebisha barabara hiyo kwa kutumia majembe,...
10 years ago
MichuziNHIF LINDI WATOA ELIMU KATA KWA KATA KWA WANACHAMA WAKE,SANJARI NA UPIMAJI WA AFYA BURE KWA WANANCHI WILAYANI RUANGWA
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO NA KUFANYA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA WILAYANI NZEGA LEO



11 years ago
Vijimambo
KINANA ATOA WITO KWA VIONGOZI KUFANYA MIKUTANO NA WANANCHI NA KURHUSU MASWALI YANAYOHUSU MAENDELEO YAO


MBUNGE wa jimbo la Kilolo mkoani Iringa Profesa Peter Msolla akiwasalimia wananchi wakati wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana


5 years ago
Michuzi
KIFUSI CHA UDONGO CHAFUNIKA BARABARA WILAYANI LUDEWA

Baadhi ya wasafiri wakitokea wilayani Ludewa kuelekea njombe mjini, wakivuka upande wa pili kwaajili ya kupanda gari jingine lililotokea njombe baada ya mlima kuporomoka na kuziba barabara eneo la Jongojongo lililopo wilayani humo na kupelekea mabasi kubadilishana abiria.


10 years ago
Michuzi
MAGUFULI APOKEWA KWA KISHINDO WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE.



5 years ago
Michuzi
MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZAHARIBU MAZAO WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE

Akizungumzia suala hilo mkuu wa wilaya ya Ludewa Adrea Tsere amesema wilaya yake inaongoza kwa uzalishaji mkubwa wa zao la mahindi katika mkoa wa Njombe ambapo...