MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZAHARIBU MAZAO WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE

Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo wilaya ya Ludewa iliyopo mkoani Njombe imepelekea kufanya uharibifu wa mazao mbalimbali ikiwemo mahindi na kushusha kiwango cha uzalishaji kutoka tani laki moja na elfu kumi na moja kwa mwaka jana mpaka kufikia tani isiyozidi laki moja kwa mwaka huu
Akizungumzia suala hilo mkuu wa wilaya ya Ludewa Adrea Tsere amesema wilaya yake inaongoza kwa uzalishaji mkubwa wa zao la mahindi katika mkoa wa Njombe ambapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Mvua kubwa zaharibu nyumba, mazao Kagera
10 years ago
Michuzi
MAGUFULI APOKEWA KWA KISHINDO WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE.



5 years ago
Michuzi
MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZAENDELEA KULETA ATHARI


10 years ago
GPL
ATAHARI YA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA DAR NA PWANI
10 years ago
Vijimambo
MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA DMV ZAANZA KULETA MADHARA

5 years ago
Michuzi
WAWILI WAFARIKI DUNIA ARUMERU KUFUATIA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA
Akitoa taarifa za hali ya mwendendo wa mvua hizo mara baada ya kufanya ziara na kushiriki shughuli za uokoaji, Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jery Muro amesema kuwa mvua hizo zimeleta madhara makubwa kwani zimesababisha vifo vya watu wawili ambao wamefariki dunia leo Alhamisi April 23 Katika...
11 years ago
GPL13 Apr
11 years ago
Michuzi
JUST IN: UPOTOSHWAJI WA TAHADHARI YA HALI YA HEWA KUHUSIANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA

Mamlaka inapenda kuutaarifu umma kuwa taarifa hiyo...