ATAHARI YA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA DAR NA PWANI
![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP7nyQCP5ViQEoNvBfpiQ-q64BtLVdXBIERrR5mt3G5d9RtsrsR0AMfDAlgs*RlzL5b3CeMueoFFOV5PhRDSJu56/Mafurikodar2.jpg)
Eneo la Stendi Kuu ya Bagamoyo lilivyokumbwa na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha. Maji yakitapakaa eneo la Stendi Kuu ya Bagamoyo hivyo kusababisha usafiri na biashara ndogondogo kusitishwa kwa mda. Gari likiwa limesombwa na mafuriko.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL13 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s72-c/IMG_8042.jpg)
DAR YAFUNIKWA NA MAJI KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, WANANCHI WAKOSA MAKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s640/IMG_8042.jpg)
MAFURIKO,Mafuriko,Mafuriko .! Jiji la Dar limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha wengine kukosa makazi.
Maeneo yaliyokumbwa kwa mafuriko ni Mnyamani (Ilala),Bonde la Mpunga (Kinondoni) ,Kigogo (Kinondoni),Mikocheni ( Kinondoni),Vingunguti (Ilala) Tabata Kisiwani (Ilala)na Kurasini (Temeke) na maeneo mengine ambayo hayajawahi kupata mafuriko yamefika.
Mvua hizo zimeharibu miundombinu katika barabara ya Morogoro kwa kujaa...
10 years ago
MichuziTASWIRA ZA HALI ILIVYO JIJINI DAR LEO KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA
10 years ago
GPL08 May
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sOmuYu1xAow/XmZGuz5e01I/AAAAAAALiQw/0ynG0rD90OwSARPGL9Nn-1IrtOM8-QQBgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B14.07.01.jpeg)
MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZAENDELEA KULETA ATHARI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sOmuYu1xAow/XmZGuz5e01I/AAAAAAALiQw/0ynG0rD90OwSARPGL9Nn-1IrtOM8-QQBgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B14.07.01.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JXV4BJM6YuI/XmZGunSaD7I/AAAAAAALiQs/UJ9z79uYn40boNwFY8HS24Ffh4DeHVx_ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B14.07.02.jpeg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RlYZGGYpsYw/Vg7O-iG7xuI/AAAAAAAD_Os/4IFQC5aiIp8/s72-c/275e7c3c216fa7c34b9f083b6d227308.jpg)
MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA DMV ZAANZA KULETA MADHARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-RlYZGGYpsYw/Vg7O-iG7xuI/AAAAAAAD_Os/4IFQC5aiIp8/s640/275e7c3c216fa7c34b9f083b6d227308.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QhbsQ-Hyr-8/U2epLniqUHI/AAAAAAAFfus/WPxqv3ajOo4/s72-c/TMA.jpg)
JUST IN: UPOTOSHWAJI WA TAHADHARI YA HALI YA HEWA KUHUSIANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-QhbsQ-Hyr-8/U2epLniqUHI/AAAAAAAFfus/WPxqv3ajOo4/s1600/TMA.jpg)
Mamlaka inapenda kuutaarifu umma kuwa taarifa hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PlViUQhqvlM/XqGPLe6iY1I/AAAAAAALoAE/DVuhrzLAGHMxonLTNgprHmyXVcf-K9xrQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200423-WA0111.jpg)
WAWILI WAFARIKI DUNIA ARUMERU KUFUATIA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA
Na Woinde Shizza, ArushaWATU wawili wamefariki dunia kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha kwa siku tatu mfululizo katika wilaya ya Arumeru huku nyumba zaidi ya 50 kuharibika kutokana na mvua hizo.
Akitoa taarifa za hali ya mwendendo wa mvua hizo mara baada ya kufanya ziara na kushiriki shughuli za uokoaji, Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jery Muro amesema kuwa mvua hizo zimeleta madhara makubwa kwani zimesababisha vifo vya watu wawili ambao wamefariki dunia leo Alhamisi April 23 Katika...
Akitoa taarifa za hali ya mwendendo wa mvua hizo mara baada ya kufanya ziara na kushiriki shughuli za uokoaji, Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jery Muro amesema kuwa mvua hizo zimeleta madhara makubwa kwani zimesababisha vifo vya watu wawili ambao wamefariki dunia leo Alhamisi April 23 Katika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10