KIFUSI CHA UDONGO CHAFUNIKA BARABARA WILAYANI LUDEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wd1sH5zswY0/XmUmnkQjpnI/AAAAAAALh-E/ERLU3m_xaWMDZNWlLlOp50jPGoLXqrNtwCLcBGAsYHQ/s72-c/16ff29ca-1f93-4fcc-b78d-d810e6d531f7.jpg)
Baadhi ya wasafiri wakitokea wilayani Ludewa kuelekea njombe mjini, wakivuka upande wa pili kwaajili ya kupanda gari jingine lililotokea njombe baada ya mlima kuporomoka na kuziba barabara eneo la Jongojongo lililopo wilayani humo na kupelekea mabasi kubadilishana abiria.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s72-c/MMG23716.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA:WANAFUNZI WATATU WA KIKE WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI CHA UDONGO WILAYA YA ILEJE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s1600/MMG23716.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMSsrQaX95s/VGW5CiUYoSI/AAAAAAADIJQ/I8dSTDwWyns/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
TUKIO HILO LIMETOKEA TAREHE 12.11.2014 MAJIRA YA SAA 12:00HRS...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gw_GfU9R_Kk/XkayoFm171I/AAAAAAALdaU/36eD_PFC6nMdhougDHhbIm42igX1cC8DwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200213-WA0121.jpg)
WANANCHI WAJITOKEZA KUBORESHA BARABARA KWAKUTUMIA ZANA ZA MIKONO WILAYANI LUDEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gw_GfU9R_Kk/XkayoFm171I/AAAAAAALdaU/36eD_PFC6nMdhougDHhbIm42igX1cC8DwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200213-WA0121.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VBUc6wTNi-A/XkayoH8sI3I/AAAAAAALdaQ/AsCDMKwRcNU-ABsV5T8hw7xL6SrfYYQKwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200213-WA0125.jpg)
Barabara hiyo inayounganisha kata za Ibumi na Ludewa imeharibika zaidi katika eneo la mlima Nyamikuyu na eneo la mto ketewaka na madenge hasa katika kipindi hiki cha masika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Zoezi la harambee ya kurekebisha barabara hiyo kwa kutumia majembe,...
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Kifusi cha barabara chahofiwa kupunguza mapato ya halmashauri Bagamoyo
Wamiliki wa Hotel za kitalii mjini Bagamoyo wamelalamikia uongozi wa wa Halimashauri hiyo kwakutojali Uchangiaji wa mapato yatokanayo na wageni wanaokwenda katika mahoteli wametoa mfano wa Kifusi kilicho mwagwa (pichani) zaidi ya miezi miwili bila kusambazwa hivyo kufanya wageni kushindwa kufika katika Hoteli.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s72-c/_MG_9335.jpg)
MAGUFULI APOKEWA KWA KISHINDO WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s640/_MG_9335.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zAT65H3Am_E/VeNpGtatB2I/AAAAAAAH1D4/FBH4SCVozZM/s640/_MG_9451.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K6dpwzuXxpo/VeNojq8T0kI/AAAAAAAH1DQ/VgfvkNY33tI/s640/_MG_9275.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LOCpssTMyE0/Xut7m2rC8vI/AAAAAAALue8/pyZjmKmU154tziMn--gUugiCc7DKnVQBQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
WANANCHI LUDEWA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Serikali yasaka fedha ujenzi barabara ya Njombe-Ludewa
SERIKALI imesema inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Njombe hadi Ludewa Mjini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge, wakati akijibu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IPVyEi3oKJo/XnDCigd1nBI/AAAAAAALkH0/rcO_JZxTbx4jyFV3OMn9fmWOCm5Dtt4yQCLcBGAsYHQ/s72-c/537202e3-6748-48c4-8ba2-840b45fd7e30.jpg)
MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZAHARIBU MAZAO WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE
![](https://1.bp.blogspot.com/-IPVyEi3oKJo/XnDCigd1nBI/AAAAAAALkH0/rcO_JZxTbx4jyFV3OMn9fmWOCm5Dtt4yQCLcBGAsYHQ/s640/537202e3-6748-48c4-8ba2-840b45fd7e30.jpg)
Akizungumzia suala hilo mkuu wa wilaya ya Ludewa Adrea Tsere amesema wilaya yake inaongoza kwa uzalishaji mkubwa wa zao la mahindi katika mkoa wa Njombe ambapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BYMlbJ7IY2c/XrwUMXPTaMI/AAAAAAALqHQ/nsj3fV6HcBYRMAGz3SBNBwBjSkZoq_dhQCLcBGAsYHQ/s72-c/ac93758e-7408-4465-b6e1-957b5e3663ca.jpg)
WANANCHI KATA YA MBWILA NA LIFUMA WILAYANI YA LUDEWA WAUNGANA KUFANYA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-BYMlbJ7IY2c/XrwUMXPTaMI/AAAAAAALqHQ/nsj3fV6HcBYRMAGz3SBNBwBjSkZoq_dhQCLcBGAsYHQ/s640/ac93758e-7408-4465-b6e1-957b5e3663ca.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7TOBNkJ7Iag/XrwUMgfGP3I/AAAAAAALqHU/kYZp9A0NkcQ_BAC2wJFOh4ag26okD6mawCLcBGAsYHQ/s640/c165ad58-0537-40cf-a3e4-06bc1957a5bc.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bO7nq8bOXWo/XrwULQOBUbI/AAAAAAALqHI/0OTx-RdWQlYJNZSuFOHwAphbEIGkCbgVgCLcBGAsYHQ/s640/1e830f54-c6d5-4684-b093-c56c5b43ec55.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eRn39kPOTHw/XrwULbxJ6vI/AAAAAAALqHE/CYJVFcpVgTkmXcevvn4yjpx93NfKAgHXQCLcBGAsYHQ/s640/8c7040be-249d-4f98-a635-349eb9cb4b67.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Op6bawHq3Mo/XrwULadfFII/AAAAAAALqHM/Yt5RhdzpSK0u0kkZ0G-RidmVv1jfAT_zQCLcBGAsYHQ/s640/16eda9aa-ae11-44a5-9ef2-7cef813526f0.jpg)
Mwenyekiti wa halmashauri ya Ludewa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9qEBHexY3_8/XomEgiPIMZI/AAAAAAALmCI/beNgaUVHOqk_tL-ZkeYXaEk0FG7jdbiWACLcBGAsYHQ/s72-c/76601999-6c46-460b-a90e-99f29cfc5a30.jpg)
KAMATI YA WATALAAM TISA ILIYOUNDWA KWA AJILI YA KUTIMIZA NDOTO YA MZEE KISANGANI YATUA WILAYANI LUDEWA
Na Shukrani Kawogo
WAJUMBE wa Kamati ya Wataalamu tisa iliyoundwa na mawaziri wanne kutoka Wizara mbalimbali ili kumsaidia mzee Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) kuweza kupanua kiwanda chake kwa kupata malighafi, eneo kubwa, pamoja na vitu muhimu ambavyo vitamsaidia kukuza kiwanda hicho imewasili wilayani Ludewa mkoani Njombe ambapo itafanya kazi hiyo kwa muda wa siku 15.
Kamati hiyo iliundwa Machi 30 mwaka huu na Waziri wa Madini Dotto Biteko, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...