KAMATI YA WATALAAM TISA ILIYOUNDWA KWA AJILI YA KUTIMIZA NDOTO YA MZEE KISANGANI YATUA WILAYANI LUDEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9qEBHexY3_8/XomEgiPIMZI/AAAAAAALmCI/beNgaUVHOqk_tL-ZkeYXaEk0FG7jdbiWACLcBGAsYHQ/s72-c/76601999-6c46-460b-a90e-99f29cfc5a30.jpg)
Na Shukrani Kawogo
WAJUMBE wa Kamati ya Wataalamu tisa iliyoundwa na mawaziri wanne kutoka Wizara mbalimbali ili kumsaidia mzee Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) kuweza kupanua kiwanda chake kwa kupata malighafi, eneo kubwa, pamoja na vitu muhimu ambavyo vitamsaidia kukuza kiwanda hicho imewasili wilayani Ludewa mkoani Njombe ambapo itafanya kazi hiyo kwa muda wa siku 15.
Kamati hiyo iliundwa Machi 30 mwaka huu na Waziri wa Madini Dotto Biteko, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZcZv6XrdoGc/XozJuO_jL9I/AAAAAAALmbo/uSPK4gUm5xUWuEvnc1Rr2vKKRwk_MtBDACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Kamati kutoka wizara nne iliyoundwa na waziri Biteko yamkubali mzee Kisangani
Na Amiri kilagalila,Njombe
Watanzania wametakiwa kuona fursa zilizopo nchini na kutumia ubunifu walionao ili kuzitumia rasilimali hususani madini yaliyopo nchini na kuinuka kiuchumi.
Wito huo umetolewa na Prof.Silvester Mpanduji mkurugenzi mkuu wa shirika la viwanda vidogo (SIDO) na mwenyekiti wa kamati ya wajumbe tisa kutoka wizara nne,wizara ya madini,wizara ya nchi ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira,wizara ya viwanda na biashara pamoja na wizara ya ofisi ya Rais tawala za mikoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_zJkLzAx7PQ/XoH6Grb4OjI/AAAAAAALllU/YowQO_PlklAlHSu9ZY5YdiwJd_fBf2LuwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
TIMU YA WATAALAM TISA KUTOKA WIZARA NNE YAUNDWA KUTIMIZA NDOTO YA MJASIRIAMALI KISANGANI YA KUWA BILIONEA
TIMU ya wataalam 9 kutoka Wizara ya Madini, Wiziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Wizara ya Viwanda na Biashara na Wiziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) imeundwa ili kumsaidia Mjasiliamali wa miaka 60 kutoka mkoani Njombe wilaya ya Ludewa, Reuben Mtitu maarufu Mzee Kisangani ili kutimiza ndoto yake ya kuwa bilionea baada ya kubuni kiwanda kinachotengeneza zana zinazotokana na madini ya chuma.
Kamati hiyo imeundwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sVT7_sqNAyg/Xon60sbC8cI/AAAAAAALmFM/GXwtRMgLxJQ_Ufwe8pnpFPC_QXPOIQ4LwCLcBGAsYHQ/s72-c/bde1ae64-b727-4769-987f-e839b1ba6c61.jpg)
Wataalamu Kutoka Wizara Nne Yawasili kwa Mzee Kisangani
![](https://1.bp.blogspot.com/-sVT7_sqNAyg/Xon60sbC8cI/AAAAAAALmFM/GXwtRMgLxJQ_Ufwe8pnpFPC_QXPOIQ4LwCLcBGAsYHQ/s640/bde1ae64-b727-4769-987f-e839b1ba6c61.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/e53b4a4d-b0ef-4224-990f-aa94532e4f5f.jpg)
5 years ago
MichuziBiteko - Nitasimama na Mzee Kisangani mpaka asimame
Waziri wa Madini Doto Biteko amesema kumekuwa na kasumba ya kuwathamini wageni kutoka nje ya nchi kuliko wazawa wenye ubunifu na uthubutu katika kazi zao, wakati wageni kutoka nje wanakuja na mtaji mdogo na mwisho wa siku huondoka na utajiri mkubwa.
Yamesemwa hayo leo tarehe 14 Machi, 2020 akiwa ziarani mkoani Njombe alipotembelea mradi wa kiwanda cha kuzalisha zana mbalimbali zinazotokana na madini ya chuma kinachomilikiwa na Reuben Mtitu maarufu Mzee Kisangani
Biteko...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APATA MAPOKEZI MAKUBWA WILAYANI KISHAPU MKOANI SHINYANGA. AITWA “MZEE WA NGUZO” NA KUKABIDHIWA ZAWADI KWA KUSAMBAZA UMEME KWA KASI KUBWA WILAYANI HUMO
![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2EUDvqIPqk0/VLA5EENpUWI/AAAAAAAG8Vw/O6DCoOihWWY/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SpqID-27gnA/VLA5EUBwhVI/AAAAAAAG8Vo/az4eL8wG2wk/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s72-c/_MG_9335.jpg)
MAGUFULI APOKEWA KWA KISHINDO WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s640/_MG_9335.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zAT65H3Am_E/VeNpGtatB2I/AAAAAAAH1D4/FBH4SCVozZM/s640/_MG_9451.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K6dpwzuXxpo/VeNojq8T0kI/AAAAAAAH1DQ/VgfvkNY33tI/s640/_MG_9275.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete ampongeza Mzee Mwinyi kwa kutimiza miaka 90
Rais Mstaafu awamu ya Pili Alhaji Hassan Mwinyi akitoa salamu zake kwa wageni waalikwa wakati wa sherehe yake ya kuzaliwa ambapo jana alitimiza umri wa miaka 90.Sherehe hiyo ilifanyika katika hoteli ya Sea Cliff na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali.
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/DSC_00191.jpg)
MZEE ARNOLD NKHOMA ATOA SHUKRANI KWA KUTIMIZA MIAKA 100
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0qJn6gxPjR8/XuDYWU8ztBI/AAAAAAALtXM/vcldKanZfv8Y7_kuxvgq5AoDnLuQGQE6wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200610-WA0022.jpg)
MGALU ASEMA ATACHAPAKAZI NA KUTUMIKIA JAMII SI KWA AJILI YA UCHAGUZI BALI KUTIMIZA DHAMANA YA UONGOZI ALIYOPEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0qJn6gxPjR8/XuDYWU8ztBI/AAAAAAALtXM/vcldKanZfv8Y7_kuxvgq5AoDnLuQGQE6wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200610-WA0022.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI .
Mbunge Viti Maalum – Pwani, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amesema ataendelea kupiga kazi na kutumikia wanawake pamoja na wananchi si kwa ajili ya uchaguzi bali kwakuwa amepewa dhamana ya kutumikia wananchi kipindi cha miaka mitano .
Aliyasema hayo ,wakati alipotoa mchango wa vyerehani 29 katika hatua ya awali kwa kundi la watu wenye Ulemavu kupitia mashirikisho yao ya ngazi za Wilaya na Mkoa.
Mgalu amefanya tukio hilo kwa kuitekeleza Ilani ya...