Kamati kutoka wizara nne iliyoundwa na waziri Biteko yamkubali mzee Kisangani
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZcZv6XrdoGc/XozJuO_jL9I/AAAAAAALmbo/uSPK4gUm5xUWuEvnc1Rr2vKKRwk_MtBDACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Na Amiri kilagalila,Njombe
Watanzania wametakiwa kuona fursa zilizopo nchini na kutumia ubunifu walionao ili kuzitumia rasilimali hususani madini yaliyopo nchini na kuinuka kiuchumi.
Wito huo umetolewa na Prof.Silvester Mpanduji mkurugenzi mkuu wa shirika la viwanda vidogo (SIDO) na mwenyekiti wa kamati ya wajumbe tisa kutoka wizara nne,wizara ya madini,wizara ya nchi ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira,wizara ya viwanda na biashara pamoja na wizara ya ofisi ya Rais tawala za mikoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sVT7_sqNAyg/Xon60sbC8cI/AAAAAAALmFM/GXwtRMgLxJQ_Ufwe8pnpFPC_QXPOIQ4LwCLcBGAsYHQ/s72-c/bde1ae64-b727-4769-987f-e839b1ba6c61.jpg)
Wataalamu Kutoka Wizara Nne Yawasili kwa Mzee Kisangani
![](https://1.bp.blogspot.com/-sVT7_sqNAyg/Xon60sbC8cI/AAAAAAALmFM/GXwtRMgLxJQ_Ufwe8pnpFPC_QXPOIQ4LwCLcBGAsYHQ/s640/bde1ae64-b727-4769-987f-e839b1ba6c61.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/e53b4a4d-b0ef-4224-990f-aa94532e4f5f.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9qEBHexY3_8/XomEgiPIMZI/AAAAAAALmCI/beNgaUVHOqk_tL-ZkeYXaEk0FG7jdbiWACLcBGAsYHQ/s72-c/76601999-6c46-460b-a90e-99f29cfc5a30.jpg)
KAMATI YA WATALAAM TISA ILIYOUNDWA KWA AJILI YA KUTIMIZA NDOTO YA MZEE KISANGANI YATUA WILAYANI LUDEWA
Na Shukrani Kawogo
WAJUMBE wa Kamati ya Wataalamu tisa iliyoundwa na mawaziri wanne kutoka Wizara mbalimbali ili kumsaidia mzee Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) kuweza kupanua kiwanda chake kwa kupata malighafi, eneo kubwa, pamoja na vitu muhimu ambavyo vitamsaidia kukuza kiwanda hicho imewasili wilayani Ludewa mkoani Njombe ambapo itafanya kazi hiyo kwa muda wa siku 15.
Kamati hiyo iliundwa Machi 30 mwaka huu na Waziri wa Madini Dotto Biteko, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...
5 years ago
MichuziBiteko - Nitasimama na Mzee Kisangani mpaka asimame
Waziri wa Madini Doto Biteko amesema kumekuwa na kasumba ya kuwathamini wageni kutoka nje ya nchi kuliko wazawa wenye ubunifu na uthubutu katika kazi zao, wakati wageni kutoka nje wanakuja na mtaji mdogo na mwisho wa siku huondoka na utajiri mkubwa.
Yamesemwa hayo leo tarehe 14 Machi, 2020 akiwa ziarani mkoani Njombe alipotembelea mradi wa kiwanda cha kuzalisha zana mbalimbali zinazotokana na madini ya chuma kinachomilikiwa na Reuben Mtitu maarufu Mzee Kisangani
Biteko...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_zJkLzAx7PQ/XoH6Grb4OjI/AAAAAAALllU/YowQO_PlklAlHSu9ZY5YdiwJd_fBf2LuwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
TIMU YA WATAALAM TISA KUTOKA WIZARA NNE YAUNDWA KUTIMIZA NDOTO YA MJASIRIAMALI KISANGANI YA KUWA BILIONEA
TIMU ya wataalam 9 kutoka Wizara ya Madini, Wiziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Wizara ya Viwanda na Biashara na Wiziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) imeundwa ili kumsaidia Mjasiliamali wa miaka 60 kutoka mkoani Njombe wilaya ya Ludewa, Reuben Mtitu maarufu Mzee Kisangani ili kutimiza ndoto yake ya kuwa bilionea baada ya kubuni kiwanda kinachotengeneza zana zinazotokana na madini ya chuma.
Kamati hiyo imeundwa...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MwQy2AXyT58/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cL1NwjSO1Dg/Uwp4gS1a1_I/AAAAAAAFPLU/c-vFD7Wsxrk/s72-c/_MG_0649.jpg)
Kutoka maktaba: Mzee Ruksa na kamati ya saidia taifa stars ishinde mwaka 1994 na wanahabari Ikulu
![](http://3.bp.blogspot.com/-cL1NwjSO1Dg/Uwp4gS1a1_I/AAAAAAAFPLU/c-vFD7Wsxrk/s1600/_MG_0649.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3NfxeLWjbqk/VZqN74ijf3I/AAAAAAAHnT0/VSNoRHThsQg/s72-c/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
WAZIRI CHIKAWE ATANGAZA MAFANIKIO YA WIZARA YAKE KATIKA KIPINDI CHA MIAKA KUMI YA SERIKALI YA AWAMU YA NNE
![](http://4.bp.blogspot.com/-3NfxeLWjbqk/VZqN74ijf3I/AAAAAAAHnT0/VSNoRHThsQg/s640/unnamed%2B%252850%2529.jpg)