Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati kutoka wizara nne iliyoundwa na waziri Biteko yamkubali mzee Kisangani


Na Amiri kilagalila,Njombe

Watanzania wametakiwa kuona fursa zilizopo nchini na kutumia ubunifu walionao ili kuzitumia rasilimali hususani madini yaliyopo nchini na kuinuka kiuchumi.

Wito huo umetolewa na Prof.Silvester Mpanduji mkurugenzi mkuu wa shirika la viwanda vidogo (SIDO) na mwenyekiti wa kamati ya wajumbe tisa kutoka wizara nne,wizara ya madini,wizara ya nchi ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira,wizara ya viwanda na biashara pamoja na wizara ya ofisi ya Rais tawala za mikoa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Wataalamu Kutoka Wizara Nne Yawasili kwa Mzee Kisangani

Timu ya wataalamu wakiwa ofisini kwa Mkuu wa Wilaya ya Ludewa. Katikati ni Mkuu wa Wilaya hiyo Andrea Tsere akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati. Wa nne kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati Prof. Silvester Mpanduji ambae ni Mkurugenzi Mkuu wa SIDO.Wajumbe wa Kamati wakinawa Maji na sababu kama sehemu ya kujikinga na COVID-19 kwenye Lango la kuingilia...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA WATALAAM TISA ILIYOUNDWA KWA AJILI YA KUTIMIZA NDOTO YA MZEE KISANGANI YATUA WILAYANI LUDEWA


Na Shukrani Kawogo

WAJUMBE wa Kamati ya Wataalamu tisa  iliyoundwa na mawaziri wanne kutoka  Wizara mbalimbali ili kumsaidia mzee Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) kuweza kupanua kiwanda chake kwa kupata malighafi, eneo kubwa, pamoja na vitu muhimu ambavyo vitamsaidia kukuza kiwanda hicho imewasili wilayani Ludewa mkoani Njombe ambapo itafanya kazi hiyo kwa muda wa siku 15.

Kamati hiyo iliundwa Machi 30 mwaka huu na Waziri wa Madini Dotto Biteko, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...

 

5 years ago

Michuzi

Biteko - Nitasimama na Mzee Kisangani mpaka asimame

Na Issa Mtuwa – Ludewa

Waziri wa Madini Doto Biteko amesema kumekuwa na kasumba ya kuwathamini wageni kutoka nje ya nchi kuliko wazawa wenye ubunifu na uthubutu katika kazi zao, wakati wageni kutoka nje wanakuja na mtaji mdogo na mwisho wa siku huondoka na utajiri mkubwa.

Yamesemwa hayo leo tarehe 14 Machi, 2020 akiwa ziarani mkoani Njombe alipotembelea mradi wa kiwanda cha kuzalisha zana mbalimbali zinazotokana na madini ya chuma kinachomilikiwa na Reuben Mtitu maarufu Mzee Kisangani

Biteko...

 

5 years ago

Michuzi

TIMU YA WATAALAM TISA KUTOKA WIZARA NNE YAUNDWA KUTIMIZA NDOTO YA MJASIRIAMALI KISANGANI YA KUWA BILIONEA

Issa Mtuwa – Dodoma
TIMU ya wataalam 9 kutoka Wizara ya Madini, Wiziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Wizara ya Viwanda na Biashara na Wiziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) imeundwa ili kumsaidia Mjasiliamali wa miaka 60 kutoka mkoani Njombe wilaya ya Ludewa, Reuben Mtitu maarufu Mzee Kisangani ili kutimiza ndoto yake ya kuwa bilionea baada ya kubuni  kiwanda kinachotengeneza zana zinazotokana na madini ya chuma. 
Kamati hiyo imeundwa...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI



Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi

 Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wajumbe wa warsha iliyoandaliwa kwa lengo la kuandaa kitabu cha viashiria hatarishi (Risk Registry) vya Wizara ya Madini iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Madini Dodoma leo Mei 18, 2020. Kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Prof. Simon Msanjila na Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango Augustine Ollal. (Picha na Wizara ya Madini).  Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wajumbe wa warsha iliyoandaliwa kwa lengo la...

 

11 years ago

Michuzi

Kutoka maktaba: Mzee Ruksa na kamati ya saidia taifa stars ishinde mwaka 1994 na wanahabari Ikulu

Mwaka 1994: Rais Ali Hassan Mwinyi akiwa na wajumbe wa kamati ya Saidia Taifa Stars ishinde Ikulu jijini Dar es salaam baada ya timu hiyo kunyakua ubingwa wa Chalenji. Kutoka kulia mstari wa mbele ni Ankal, Brigedia Moses Nnauye (RiP), Mwenyekiti wa FAT Alhaj Muhidin Ndolanga, Rais Mwinyi, Waziri wa Elimu na Utamaduni Profesa Philemon Sarungi, Mwenyekiti wa kamati hiyo na Mwenyekiti wa makampuni ya IPP Reginald Mengi, Mbunge wa Dodoma Kuwayawaya S. Kuwayawaya na Kamanda Richard Mwaikenda....

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE ATANGAZA MAFANIKIO YA WIZARA YAKE KATIKA KIPINDI CHA MIAKA KUMI YA SERIKALI YA AWAMU YA NNE

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya wizara yake katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Nne. Chikawe alisema kupitia taasisi zake yakiwemo Majeshi ya Polisi, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto na Uokoaji, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, Idara ya Wakimbizi pamoja na Idara zingine zilizoko chini ya wizara hiyo, imepata mafanikio makubwa hususani katika jukumu la msingi la ulinzi na usalama wa nchi jambo ambalo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani