Kifusi cha barabara chahofiwa kupunguza mapato ya halmashauri Bagamoyo
Wamiliki wa Hotel za kitalii mjini Bagamoyo wamelalamikia uongozi wa wa Halimashauri hiyo kwakutojali Uchangiaji wa mapato yatokanayo na wageni wanaokwenda katika mahoteli wametoa mfano wa Kifusi kilicho mwagwa (pichani) zaidi ya miezi miwili bila kusambazwa hivyo kufanya wageni kushindwa kufika katika Hoteli.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wd1sH5zswY0/XmUmnkQjpnI/AAAAAAALh-E/ERLU3m_xaWMDZNWlLlOp50jPGoLXqrNtwCLcBGAsYHQ/s72-c/16ff29ca-1f93-4fcc-b78d-d810e6d531f7.jpg)
KIFUSI CHA UDONGO CHAFUNIKA BARABARA WILAYANI LUDEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wd1sH5zswY0/XmUmnkQjpnI/AAAAAAALh-E/ERLU3m_xaWMDZNWlLlOp50jPGoLXqrNtwCLcBGAsYHQ/s1600/16ff29ca-1f93-4fcc-b78d-d810e6d531f7.jpg)
Baadhi ya wasafiri wakitokea wilayani Ludewa kuelekea njombe mjini, wakivuka upande wa pili kwaajili ya kupanda gari jingine lililotokea njombe baada ya mlima kuporomoka na kuziba barabara eneo la Jongojongo lililopo wilayani humo na kupelekea mabasi kubadilishana abiria.
![](https://1.bp.blogspot.com/-g18mnp5ru4E/XmUmpVlf4EI/AAAAAAALh-I/enBOZC-K5RUCnC4871sZap8Tr79S8Z8tQCLcBGAsYHQ/s1600/77d3af06-2ebe-4ed1-a4c0-7882de1fbdb6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gRXK-04HCkg/XmUmnPDM9kI/AAAAAAALh-A/KU6KsF6jDZgjsx2VHc9FxM2Wc5tUVr6rQCLcBGAsYHQ/s1600/407b2382-9551-4b22-a3e9-fdc942b17082.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zNkUQIrF3eA/XlDpjtq64uI/AAAAAAALey0/nu48bAxv4m04zt4jXM4NNZ-3wh5VcM-iACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200219_142004_6-1024x576.jpg)
DC KAWAWA AAGIZA CHANZO CHA MACHIMBO YA MCHANGA KISIMAMIWE KUINUA MAPATO BAGAMOYO
MKUU Wa Wilaya Ya Bagamoyo ,Zainab Kawawa ameiagiza halmashauri ya Bagamoyo kutumikia wananchi kwa maslahi mapana ya jamii pamoja na kusimamia chanzo kikuu cha machimbo ya mchanga ambacho kinalegalega na kusababisha kushuka kwa mapato.
Aidha mkuu huyo wa wilaya, ameelekeza kupatiwa maelezo ya kina ni kwanini mashine za makusanyo (posi) zinazimwa na kushindwa kukusanya mapato kwa muda mrefu na hivyo kuhitaji maelezo ofisini kwake.
Akizungumza na watumishi na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G9bxKs9hOOs/VVqs45kZwxI/AAAAAAAHYKc/tFVftuutUyI/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
KITUO CHA AFYA CHA AAR HEALTHCARE CHAHAMIA BARABARA YA BAGAMOYO MAENEO YA VICTORIA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-G9bxKs9hOOs/VVqs45kZwxI/AAAAAAAHYKc/tFVftuutUyI/s640/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QsDydj1IeSY/VVqs6cNo6bI/AAAAAAAHYKw/6b12WWuBzE8/s640/unnamed%2B(8).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LFSNSDD_HY8/U0FldEX-N1I/AAAAAAAFY1Q/s23ZtIOFZRk/s72-c/unnamed+(24).jpg)
kifusi chakwamisha biashara bagamoyo
![](http://4.bp.blogspot.com/-LFSNSDD_HY8/U0FldEX-N1I/AAAAAAAFY1Q/s23ZtIOFZRk/s1600/unnamed+(24).jpg)
11 years ago
GPLKIROBA CHA MAHINDI KARIBU KISABABISHE AJALI BARABARA YA BAGAMOYO DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fp5meZgTdro/VM-o2CHsmLI/AAAAAAAHBGk/sxjAU5Huewo/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali
![](http://1.bp.blogspot.com/-fp5meZgTdro/VM-o2CHsmLI/AAAAAAAHBGk/sxjAU5Huewo/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w6198B4Fq5k/VM-o3-3PWTI/AAAAAAAHBGs/MFW0ZFQmxRA/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYJdGbHwxko/VM-qJQxQWrI/AAAAAAAHBG4/ZKPH0ahWxMI/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
TANCIS kupunguza muda na kuiongezea mapato serikali
Mkurugenzi Mkazi wa ASASI isiyo ya kiserikali ya kupiga vita umaskini Actionaid Tanzania (AATZ), Yaekob Metena akifungua kongamano la siku tatu kwa asasi zisizo za kiserikali, wawakilishi kutoka makundi ya vijana na waandishi wa habari juu ya masuala ya haki kwenye kodi linaloendelea kwenye hoteli ya Seascape jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog)
Na Mwandishi wetu
MAMLAKA mbalimbali ambazo zinawajibika kwa namna moja au nyingine katika kuwezesha mizigo mbalimbali inayoingia nchini...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_00021.jpg)
TANCIS KUPUNGUZA MUDA NA KUIONGEZEA MAPATO SERIKALI