KITUO CHA AFYA CHA AAR HEALTHCARE CHAHAMIA BARABARA YA BAGAMOYO MAENEO YA VICTORIA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-G9bxKs9hOOs/VVqs45kZwxI/AAAAAAAHYKc/tFVftuutUyI/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Kituo maarufu cha afya cha AAR Healthcare sasa kimehamia ghorofa ya pili katika jengo la Tropical Centre lililopo barabara ya New Bagamoyo road na Uporoto Street maeneo ya Victoria jijini Dar es salaam, kutoka mtaa wa Chato, na kinaendelea kutoa huduma zake bora kwa wananchi katika mazingira ya kisasa zaidi kila siku kwa kuanzia saa moja unusu asubuhi hadi saa mbili usiku.
Muonekano wa jengo la Tropical Centre barabara ya Bagamoyo maeneo ya Victoria jijini Dar es salaam ambapo kituo cha AAR...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi23 May
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi wa kituo cha mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege jijini Dar Es Salaam watekeleza agizo la Rais kwa kufanya usafi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Brown Francis akishiriki kufanya usafi katika kituo hicho ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dk.John Magufuli kuwa maadhimisho ya Siku ya Uhuru 2015 yatumike kwa kufanya usafi nchini kote.
Meneja wa Kituo hicho, Shadrack Mwamaso naye akishiriki kufanya usafi.
Hapa usafi ukiendelea.
Hapa ni kazi usafi ukifanyika.
Ni kama anaongea ‘Ngoja nikazitupe taka taka hizi eneo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QD1vNIM7eeY/VVcTEZQyNVI/AAAAAAAHXkM/8HxsXC3v5uw/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
CHIKAWE AZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO YA DHARURA CHA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-QD1vNIM7eeY/VVcTEZQyNVI/AAAAAAAHXkM/8HxsXC3v5uw/s640/unnamed%2B(69).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-QD1vNIM7eeY/VVcTEZQyNVI/AAAAAAAHXkM/8HxsXC3v5uw/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO YA DHARURA CHA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-QD1vNIM7eeY/VVcTEZQyNVI/AAAAAAAHXkM/8HxsXC3v5uw/s640/unnamed%2B(69).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VzpAvtDk30Y/UwUX6vL-BlI/AAAAAAAFOHw/1V8fxnikIx8/s72-c/IMG_1807.jpg)
kituo cha daladala cha marikiti zanzibar chahamia michenzani na mnazi mmoja
![](http://2.bp.blogspot.com/-VzpAvtDk30Y/UwUX6vL-BlI/AAAAAAAFOHw/1V8fxnikIx8/s1600/IMG_1807.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4gtj6y_ioUo/UwUYJ5jk44I/AAAAAAAFOH0/DduTi2ws6-I/s1600/IMG_1809.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C8H9e7pwH4c/UwUYPxbjdvI/AAAAAAAFOH8/u4-FWfKm-ak/s1600/IMG_1811.jpg)
10 years ago
MichuziUJAMAA INTELLECTUALS NETWORK WATOA MSAADA KATIKA KITUO CHA KULELEA YATIMA CHA MAUNGA CENTRE JIJINI DAR ES SALAAM
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cM24Tk72kc4/VO62LKMk8sI/AAAAAAAHF7w/MHYlmLLytVw/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MISS UNIVERSE NALE BONIFACE ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) CHA SALVATION ARMY JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-cM24Tk72kc4/VO62LKMk8sI/AAAAAAAHF7w/MHYlmLLytVw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dVm2XXwOEwM/VO62MqHot6I/AAAAAAAHF8E/8ND71291Uas/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
Michuzi13 Jul
NEWS ALERT: WATU KADHAA WAUWAWA, SILAHA ZAPORWA BAADA YA MAJAMBAZI KUVAMIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA SITAKISHARI, UKONGA, JIJINI DAR ES SALAAM USIKU HUU
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema kwamba askari polisi kadhaa kituoni hapo pamoja na raia mmoja wameuwawa. Silaha kadhaa pia inasemekana zimeporwa na askari wako eneo la tukio hivi sasa.
Tunaendelea kufuatilia taarifa hii na tutawajuza maendeleo yake kadri tutapopata fununu...
10 years ago
Michuzi25 Jan