Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANCIS KUPUNGUZA MUDA NA KUIONGEZEA MAPATO SERIKALI‏

Mkurugenzi Mkazi wa asasi isiyo ya kiserikali ya kupiga vita umaskini Actionaid Tanzania (AATZ), Yacob Metena akifungua kongamano la siku tatu kwa asasi zisizo za kiserikali, wawakilishi kutoka makundi ya vijana na waandishi wa habari juu ya masuala ya haki kwenye kodi linaloendelea kwenye hoteli ya Seascape jijini Dar. Meneja uratibu na mahusiano wa Action Aid Tanzania Bibi Jovina Nawenzake akielezea historia fupi ya…...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

TANCIS kupunguza muda na kuiongezea mapato serikali

DSC_0002

Mkurugenzi Mkazi wa ASASI isiyo ya kiserikali ya kupiga vita umaskini Actionaid Tanzania (AATZ), Yaekob Metena akifungua kongamano la siku tatu kwa asasi zisizo za kiserikali, wawakilishi kutoka makundi ya vijana na waandishi wa habari juu ya masuala ya haki kwenye kodi linaloendelea kwenye hoteli ya Seascape jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog)

Na Mwandishi wetu

MAMLAKA mbalimbali ambazo zinawajibika kwa namna moja au nyingine katika kuwezesha mizigo mbalimbali inayoingia nchini...

 

11 years ago

Michuzi

BRN kuiongezea Serikali mapato mapya ya 3 trilioni

Wakati Serikali ikiwa katika jitihada za kuhakikisha kuwa inajiongezea mapato ili kuweza kuwahudumia vyema wananchi wake, Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) utasaidia kuongeza takribani Sh. trilioni 3.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Ukusanyaji Fedha kutoka Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (PDB), Lawrence Mafuru alipohojiwa katika kipindi cha Makutano Show kinachorushwa na Radio Magic FM.
PDB ni kitengo kipya kilichoanzishwa chini ya Rais...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki

01

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.

02

 Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Mghwira aahidi kusimamia mapato ya kodi kupunguza umasikini

Mgombea urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Anna Mghwira, amesema kuwa endapo wananchi watampa ridhaa ya kuingia madarakani atahakikisha anasimamia ukusanyaji kodi ili kupunguza gharama za maisha na kupambana na umasikini.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kifusi cha barabara chahofiwa kupunguza mapato ya halmashauri Bagamoyo

IMG_1480

Wamiliki wa Hotel za kitalii mjini Bagamoyo wamelalamikia uongozi wa wa Halimashauri hiyo kwakutojali Uchangiaji wa mapato yatokanayo na wageni wanaokwenda katika mahoteli wametoa mfano wa Kifusi kilicho mwagwa (pichani) zaidi ya miezi miwili bila kusambazwa hivyo kufanya wageni kushindwa kufika katika Hoteli.

IMG_1480

IMG_1468

IMG_1469

 

5 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA DINI RUKWA WAAZIMIA KUPUNGUZA MUDA WA IBADA KUJIHADHARI NA CORONA


Mganga Mkuu wa mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface Kasululu akitoa Elimu ya Ugonjwa wa Corona (Covid -19) Kwa viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini (Hawapo pichani).


Mchungaji Byanosisi Mwikole wa kanisa la Monravian akichangia mada katika kikao cha viongozi wa dini kilichoitishwa na mkuu wa mkoa wa Rukwa ili kupewa elimu juu ya namna ya kuepukana na Ugonjwa wa Corona (Covid -19)

Baadhi ya Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini wakisikiliza kwa makini elimu wanayopatiwa juu ya namna ya...

 

10 years ago

GPL

MAPATO YA NDANI YAIMARISHWE KUFANIKISHA MALENGO YA MILLENIA‏

Mkurugenzi wa kupunguza umaskini kutoka Wizara ya Fedha, Ana Mwasha (kulia) akifungua kongamano, linalojadili yaliyojiri katika Malengo ya Millenia na nini kinastahili kufanywa katika SDG's ili kuhakikisha mafanikio katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF). Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Dk.Oswald Mashindano na Katikati ni Naibu...

 

10 years ago

GPL

MATUMIZI YA SIMU ZA MKONONI KUONGEZA UZALISHAJI NA MAPATO YA WAKULIMA 30,000 NCHINI‏

Mkuu wa  kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa (kulia) akiongea katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani)wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya”Kilimo klabu”inayolenga kuwawezesha wakulima wadogowadogo zaidi ya 30,000 nchini (kushoto) ni Meneja Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo Matina Nkurlu. Jinsi ya kupata huduma hii piga nyota *149*01# chagua cheka vuna.… ...

 

11 years ago

GPL

TAARIFA NA LUGHA SAHIHI: DHANA YA KUPUNGUZA MADHARA YA MAAFA‏

Meneja wa kituo cha Kahama FM Redio, Marco Mipawa, akiwakaribisha washiriki na kufungua warsha ya mafunzo ya siku nne ya waandishi wa habari na watangazaji wa Redio Jamii kuhusu kuandika taarifa za Maafa na Misaada ya Kibinadamu yanayofanyika mjini Kahama. Kushoto ni Mkufunzi wa Redio Jamii kutoka UNESCO Mama Rose Haji Mwalimu na kulia ni Hellen Msemo kutoka Mamamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA).… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani