DC KAWAWA AAGIZA CHANZO CHA MACHIMBO YA MCHANGA KISIMAMIWE KUINUA MAPATO BAGAMOYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-zNkUQIrF3eA/XlDpjtq64uI/AAAAAAALey0/nu48bAxv4m04zt4jXM4NNZ-3wh5VcM-iACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200219_142004_6-1024x576.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO
MKUU Wa Wilaya Ya Bagamoyo ,Zainab Kawawa ameiagiza halmashauri ya Bagamoyo kutumikia wananchi kwa maslahi mapana ya jamii pamoja na kusimamia chanzo kikuu cha machimbo ya mchanga ambacho kinalegalega na kusababisha kushuka kwa mapato.
Aidha mkuu huyo wa wilaya, ameelekeza kupatiwa maelezo ya kina ni kwanini mashine za makusanyo (posi) zinazimwa na kushindwa kukusanya mapato kwa muda mrefu na hivyo kuhitaji maelezo ofisini kwake.
Akizungumza na watumishi na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Kifusi cha barabara chahofiwa kupunguza mapato ya halmashauri Bagamoyo
Wamiliki wa Hotel za kitalii mjini Bagamoyo wamelalamikia uongozi wa wa Halimashauri hiyo kwakutojali Uchangiaji wa mapato yatokanayo na wageni wanaokwenda katika mahoteli wametoa mfano wa Kifusi kilicho mwagwa (pichani) zaidi ya miezi miwili bila kusambazwa hivyo kufanya wageni kushindwa kufika katika Hoteli.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PyASJHgLi9A/XmD0QNaJqqI/AAAAAAALhM8/LyeA5nJfwU0bLzChlHe4akRM3_JFRehRQCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_2796.jpg)
MAJALIWA AAGIZA SHUGHULI ZA UCHAMBA ZISITISHWE KWENYE MACHIMBO YA MAGAMBA LUSHOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-PyASJHgLi9A/XmD0QNaJqqI/AAAAAAALhM8/LyeA5nJfwU0bLzChlHe4akRM3_JFRehRQCLcBGAsYHQ/s640/PMO_2796.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_2798.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_2842.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IDqUIXiUBT4/Xrv_A7CdqHI/AAAAAAALqGk/CGxbCq5crcw2BYnMFSW5d9MK3TJ2raeFQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200512-WA0021.jpg)
KAWAWA AITAKA HALMASHAURI YA CHALINZE KUSIMAMIA MAPATO YA NDANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-IDqUIXiUBT4/Xrv_A7CdqHI/AAAAAAALqGk/CGxbCq5crcw2BYnMFSW5d9MK3TJ2raeFQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200512-WA0021.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-beN1PEXENVM/Xrv_A4KAbtI/AAAAAAALqGc/7FGJ3QtB39kqg7EBg6bvSQoPTCRkA5LZgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200512-WA0022.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aB8F6cis0_Q/Xrv_A-3LUzI/AAAAAAALqGg/A0woXTntxgQm42q_49slg_39uRo1bI7mACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200512-WA0023.jpg)
Na Mwamvua Mwinyi, ChalinzeMKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani Zainab Kawawa, ameitaka halmashauri ya Chalinze kusimamia mapato ya ndani na kuwaasa kutowafumbia macho watumishi ambao wanasababisha kushuka kwa mapato.
Aidha amesisitiza kuweka watumishi wanaosimamia ushuru kukaa kwenye maeneo ya uchimbaji kokoto, hatua inayolenga kuwadhibiti wafanyabiashara wanaojihusisha na ukwepaji wa ushuru.
Zainab alieleza hayo ,katika kikao cha kupitia taarifa ya mkaguzi wa Serikali (CAG),...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w4lXA9IA76k/XtZSLi5q9lI/AAAAAAALsT0/Er8VzVJNAMQ8xWb2dyI_YpjtvV7BAbmXACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200602-WA0031%25281%2529.jpg)
DC KAWAWA AAGIZA WAJASIRIAMALI WENYE VITAMBULISHO WASIBUGHUDHIWE ,AIKABIDHI CHALINZE VITAMBULUSHO
NA MWAMVUA MWINYI,CHALINZE
MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani Zaynabu Kawawa, ameikabidhi Halmashauri ya Chalinze ,vitambulisho vya Mjasiriamali vipatavyo 10,106 na kuagiza wasibughudhiwe.
Aidha amewaonya Watendaji wataokwamisha zoezi la usambazaji wa vitambulisho maalumu kwa ajili ya wajasiriamali.
Katika hafla fupi ya makabidhiano hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa shule ya Sekondari Lugoba, Kawawa alisema, vitambulisho hivyo vilivyotolewa na Rais John Magufuli kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NRbCLTE36QQ/XlepWe9kzKI/AAAAAAALfq4/_tLeRx9cDmcKUm_I2SozEF6NMUh7XxyNQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC BAGAMOYO ZAINABU KAWAWA APIGA MARUFUKU NGOMA ZA VIGODORO
MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo Zainabu Kawawa ambaye pi ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amepiga marufuku kuwepo kwa ngoma na miziki ambayo inafanyika nyakati za usiku bila utaratibu maarufu kama ‘Vigodoro’ kwani zimekuwa zikichangia kwa kiasi kikubwa mmomonyoko wa maadili kwa wananchi.
Agizo hilo amelitoa wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Nina njema, wadau wa maendeleo pamoja na wakuu mbali mbali wa idara wakati wa mkutano wake wa kikazi kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x2wQXN508fI/VHdBayJaakI/AAAAAAAGz1E/cVK4NKfU1uk/s72-c/unnamed.jpg)
TPHA kuja na jengo la kisasa la kuinua mapato yake
CHAMA Cha Afya ya Jamii Tanzania (Tanzania Public Health Association-TPHA), kipo kwenye mkakati kabambe wa kuendeleza na kuinua mapato ya chama hicho ikiwemo kujenga jengo la kitega uchumi la kisasa litakalo kuwa na zaidi ya gorofa 20, katika makao makuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam.
Hayo yalibainishwa mjini hapa jana kwenye kongamano la 31 la Kisayansi na Mkutano mkuu wa mwaka wa TPHA unaoendelea katika ukumbi wa Stella Maris, mjini Bagamoyo ambapo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UH-7BfpXMZs/XtY-ZLnVttI/AAAAAAACL7M/Rr-bkNQczncofJPqxhZWTkm8M9pSI24xwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200602-WA0005.jpg)
DC ZAINABU KAWAWA AGAWA VITAM ULISHO VYA WAJASILIAMALI BAGAMOYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-UH-7BfpXMZs/XtY-ZLnVttI/AAAAAAACL7M/Rr-bkNQczncofJPqxhZWTkm8M9pSI24xwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200602-WA0005.jpg)
Tukio lililofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo ambapo vitambulisho hivyo vinatarajia kuingiza shilingi milioni 38, 200,000/- ambapo kitambulisho kimoja kinagawiwa kwa wananchi kwa shilingi 20,000/-. (Picha na Scola Msewa, Bagamoyo)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Pt2AuAl-HHQ/XoyEUqiODrI/AAAAAAALmX0/LNCm_l0rCaQxLBcdslIoCjoLBilxyZufQCLcBGAsYHQ/s72-c/0940101c-b948-4930-bbd8-51cd450684d9.jpg)
CHONGOLO AAGIZA POLISI KUWA CHUKULIA HATUA WATAKAOBAINIKA KUCHIMBA MCHANGA KWENYE MITO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Pt2AuAl-HHQ/XoyEUqiODrI/AAAAAAALmX0/LNCm_l0rCaQxLBcdslIoCjoLBilxyZufQCLcBGAsYHQ/s640/0940101c-b948-4930-bbd8-51cd450684d9.jpg)
Meneja wa TARURA wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Leopold Runji akitoa maelezo kwa mkuu wa Wilaya hiyo ,Mhe. Daniel Chongolo kuhusu miundombinu ya barabara katika makazi ya TBA muda mfupi baada ya kutoka kukagua mito inayochimbwa mchanga
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/a2e842eb-98b3-44e5-a388-f2aacdf81353.jpg)
Kamati ya Ulinzi na usalama ya Wilaya ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo wakiwa wameshuka kwenye gari na kuelekea kwenye mto salasala kuangalia namna ya kuwadhibiti wananchi wanaochimba mchanga katika mto huo.
11 years ago
Habarileo04 Aug
Pinda aagiza Jiji kuongeza mapato
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa Jiji la Mbeya, kuongeza mapato yake ya ndani kwa kuweka mifumo ya kisasa ya ukusanyaji mapato.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10