DC ZAINABU KAWAWA AGAWA VITAM ULISHO VYA WAJASILIAMALI BAGAMOYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-UH-7BfpXMZs/XtY-ZLnVttI/AAAAAAACL7M/Rr-bkNQczncofJPqxhZWTkm8M9pSI24xwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200602-WA0005.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani Zainabu Kawawa (kushoto) akimkabidhi vitambulisho 1910 vya Wajasiliamali kwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Chalinze Zainabu Makwinya ili akavigawe kwa wananchi wa halmashauri hiyo.
Tukio lililofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo ambapo vitambulisho hivyo vinatarajia kuingiza shilingi milioni 38, 200,000/- ambapo kitambulisho kimoja kinagawiwa kwa wananchi kwa shilingi 20,000/-. (Picha na Scola Msewa, Bagamoyo)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NRbCLTE36QQ/XlepWe9kzKI/AAAAAAALfq4/_tLeRx9cDmcKUm_I2SozEF6NMUh7XxyNQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC BAGAMOYO ZAINABU KAWAWA APIGA MARUFUKU NGOMA ZA VIGODORO
MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo Zainabu Kawawa ambaye pi ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amepiga marufuku kuwepo kwa ngoma na miziki ambayo inafanyika nyakati za usiku bila utaratibu maarufu kama ‘Vigodoro’ kwani zimekuwa zikichangia kwa kiasi kikubwa mmomonyoko wa maadili kwa wananchi.
Agizo hilo amelitoa wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Nina njema, wadau wa maendeleo pamoja na wakuu mbali mbali wa idara wakati wa mkutano wake wa kikazi kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Du2gX0t5yFU/VJnazhjj8mI/AAAAAAAG5b0/T87OtIywNfM/s72-c/Untitled1.png)
MH. ZAINABU KAWAWA AMUENZI HAYATI MZEE KAWAWA KWA VITENDO
Akiwa wilayani Liwale alipokulia na kusomea Marehemu Mzee Kawawa, Mh Zainabu aliwatembela wazee mbali mbali waliokuwa marafiki wa Mzee Kwawa ili kuwawajulia hali na kusikia mitazamo yao ya Liwale ya sasa nakipindi walipo kuwa na Marehemu Mzee Kawawa.
Wakitoa mitazamo yao Mzee...
5 years ago
MichuziDC ZAINABU KAWAWA AWAPA SOMO TASAF KUSIMAMIA FEDHA ZINAZOTOLEWA KWA KAYA MASIKINI
11 years ago
MichuziHIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA BAADA YA WAJASILIAMALI WALEMAVU WAFUNGA BARABARA YA KAWAWA NA UHURU JIJINI DAR
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/3.Mr_.Championi-akizidi-kugawa-zawadi-kwa-wasomaji-wake-waliokutwa-wakisoma-Gazeti-la-Uwazi-Mizengwe-eneo-la-Stendi-ya-Bagamoyo.-001.jpg)
MR. UWAZI AGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE BAGAMOYO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zNkUQIrF3eA/XlDpjtq64uI/AAAAAAALey0/nu48bAxv4m04zt4jXM4NNZ-3wh5VcM-iACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200219_142004_6-1024x576.jpg)
DC KAWAWA AAGIZA CHANZO CHA MACHIMBO YA MCHANGA KISIMAMIWE KUINUA MAPATO BAGAMOYO
MKUU Wa Wilaya Ya Bagamoyo ,Zainab Kawawa ameiagiza halmashauri ya Bagamoyo kutumikia wananchi kwa maslahi mapana ya jamii pamoja na kusimamia chanzo kikuu cha machimbo ya mchanga ambacho kinalegalega na kusababisha kushuka kwa mapato.
Aidha mkuu huyo wa wilaya, ameelekeza kupatiwa maelezo ya kina ni kwanini mashine za makusanyo (posi) zinazimwa na kushindwa kukusanya mapato kwa muda mrefu na hivyo kuhitaji maelezo ofisini kwake.
Akizungumza na watumishi na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kbK38GQjNH0/VLkz4KmpZmI/AAAAAAAApbg/lmlzafSSKl8/s72-c/DSC_0639.jpg)
NHIF WAJA NA BIMA YA AFYA YA VIKUNDI VYA WAJASILIAMALI
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umeanzisha huduma ya bima ya afya kwa vikundi vya ujasiriamali,Shirika katika sekta binafsi ili kuweza kila mtanzania anapata huduma ya afya kupitia mfuko huo.
Akizungumza leo na wanavikundi vya ujasiriamali (ASSE),Meneja wa CHF- Makao Makuu ya NHIF,Costantine Makala amesema mfumo huo ni kikoa ambapo kila mmoja atachangia Sh.76,800 kwa mwaka.
Amesema kila mwana kikoa ambaye atalipa malipo hayo atatibiwa na bima ya...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Mtemvu agawa vyakula vya mil.6/-
MBUNGE wa Temeke, Abbas Mtemvu amegawa vyakula vyenye thamani ya sh milioni sita kwa vituo 15 vya kulea watoto yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu wilayani Temeke jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2rqjM3Fepfg/VSq4VVj4_RI/AAAAAAAHQu4/DgbOgeVfq-E/s72-c/IMG_0110.jpg)
Dkt. Shein Agawa Vifaa vya Michezo Jimbo la Uzini
![](http://4.bp.blogspot.com/-2rqjM3Fepfg/VSq4VVj4_RI/AAAAAAAHQu4/DgbOgeVfq-E/s1600/IMG_0110.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u4INSk2H4Tk/VSq4XjKIS5I/AAAAAAAHQvA/fACLueDXgf8/s1600/IMG_0125.jpg)