KAWAWA AITAKA HALMASHAURI YA CHALINZE KUSIMAMIA MAPATO YA NDANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-IDqUIXiUBT4/Xrv_A7CdqHI/AAAAAAALqGk/CGxbCq5crcw2BYnMFSW5d9MK3TJ2raeFQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200512-WA0021.jpg)
Na Mwamvua Mwinyi, ChalinzeMKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani Zainab Kawawa, ameitaka halmashauri ya Chalinze kusimamia mapato ya ndani na kuwaasa kutowafumbia macho watumishi ambao wanasababisha kushuka kwa mapato.
Aidha amesisitiza kuweka watumishi wanaosimamia ushuru kukaa kwenye maeneo ya uchimbaji kokoto, hatua inayolenga kuwadhibiti wafanyabiashara wanaojihusisha na ukwepaji wa ushuru.
Zainab alieleza hayo ,katika kikao cha kupitia taarifa ya mkaguzi wa Serikali (CAG),...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k4UhbOT-b98/XmykzlPWr5I/AAAAAAALjNI/V38npJYZmoYX7cVuaib5aN-VDVA_rn7agCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B5.10.15%2BAM.jpeg)
NAIBU KATIBU MKUU TAMISEMI AITAKA HALMASHAURI YA SHINYANGA KUBORESHA UKUSANYAJI WA MAPATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-k4UhbOT-b98/XmykzlPWr5I/AAAAAAALjNI/V38npJYZmoYX7cVuaib5aN-VDVA_rn7agCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B5.10.15%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z6xn801Gmks/Xmykz9TkYJI/AAAAAAALjNQ/HgTuSyREKgouEImjVtLidalXhLaHjsyQgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B5.11.38%2BAM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu OR-TAMISEMI Gerald Mweli ametembelea halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga na kukagua eneo la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ct1TgjtkAmE/VYEjFXsJ_gI/AAAAAAAHgUQ/p5rdz54UzXI/s72-c/CDF%2B1.jpeg)
HALMASHAURI NCHINI ZATAKIWA KUBUNI VYANZO ZAIDI VYA MAPATO YA NDANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ct1TgjtkAmE/VYEjFXsJ_gI/AAAAAAAHgUQ/p5rdz54UzXI/s640/CDF%2B1.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tXJ3-lp5wWI/VYEjFka7mYI/AAAAAAAHgUU/yxT9tPoaBQA/s640/CDF%2B2.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Halmashauri ya Ikungi yakusanya zaidi ya shilingi billion 2 ndani ya miezi 3 kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Celestine Yunde, akizungumza kwenye kikao cha kawaida cha baraza la madiwani.Kulia ni makwamu mwenyekiti, Ali Mwanga na wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Ikungi,Hassan Tanti na anayefuatia ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri wilaya Ikungi, Mahammud Nkya.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
HALMASHAURI ya wilaya ya Ikungi mkoani Singida, imekusanya mapato ya zaidi ya shilingi 2.9 bilioni kutoka vyanzo vyake mbalimbali vya...
5 years ago
MichuziDC ZAINABU KAWAWA AWAPA SOMO TASAF KUSIMAMIA FEDHA ZINAZOTOLEWA KWA KAYA MASIKINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zNkUQIrF3eA/XlDpjtq64uI/AAAAAAALey0/nu48bAxv4m04zt4jXM4NNZ-3wh5VcM-iACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200219_142004_6-1024x576.jpg)
DC KAWAWA AAGIZA CHANZO CHA MACHIMBO YA MCHANGA KISIMAMIWE KUINUA MAPATO BAGAMOYO
MKUU Wa Wilaya Ya Bagamoyo ,Zainab Kawawa ameiagiza halmashauri ya Bagamoyo kutumikia wananchi kwa maslahi mapana ya jamii pamoja na kusimamia chanzo kikuu cha machimbo ya mchanga ambacho kinalegalega na kusababisha kushuka kwa mapato.
Aidha mkuu huyo wa wilaya, ameelekeza kupatiwa maelezo ya kina ni kwanini mashine za makusanyo (posi) zinazimwa na kushindwa kukusanya mapato kwa muda mrefu na hivyo kuhitaji maelezo ofisini kwake.
Akizungumza na watumishi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w4lXA9IA76k/XtZSLi5q9lI/AAAAAAALsT0/Er8VzVJNAMQ8xWb2dyI_YpjtvV7BAbmXACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200602-WA0031%25281%2529.jpg)
DC KAWAWA AAGIZA WAJASIRIAMALI WENYE VITAMBULISHO WASIBUGHUDHIWE ,AIKABIDHI CHALINZE VITAMBULUSHO
NA MWAMVUA MWINYI,CHALINZE
MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani Zaynabu Kawawa, ameikabidhi Halmashauri ya Chalinze ,vitambulisho vya Mjasiriamali vipatavyo 10,106 na kuagiza wasibughudhiwe.
Aidha amewaonya Watendaji wataokwamisha zoezi la usambazaji wa vitambulisho maalumu kwa ajili ya wajasiriamali.
Katika hafla fupi ya makabidhiano hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa shule ya Sekondari Lugoba, Kawawa alisema, vitambulisho hivyo vilivyotolewa na Rais John Magufuli kwa...
11 years ago
Mwananchi14 Feb
RC aitaka halmashauri kushikiriana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jg7b2JBbCCM/U2oS_CUcrlI/AAAAAAAFgG0/TayaHO4D1zs/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Dk. Kigwangala aitaka TAMISEMI kuwashirikisha Wananchi kubuni Vyanzo vya Mapato
![](http://2.bp.blogspot.com/-jg7b2JBbCCM/U2oS_CUcrlI/AAAAAAAFgG0/TayaHO4D1zs/s1600/unnamed+(3).jpg)
Akiwasilisha maoni ya Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa bungeni leo kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa Mwaka wa Fedha 2013, mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Mghwira aahidi kusimamia mapato ya kodi kupunguza umasikini