RC aitaka halmashauri kushikiriana
>Halmashauri ya jijini hapa imetakiwa kushirikisha wananchi pamoja na sekta binafsi katika miradi ya maendeleo ili kuleta matokeo bora na ya haraka pamoja na kuchochea kasi ya mabadiliko ya kiuchumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKAWAWA AITAKA HALMASHAURI YA CHALINZE KUSIMAMIA MAPATO YA NDANI
Na Mwamvua Mwinyi, ChalinzeMKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani Zainab Kawawa, ameitaka halmashauri ya Chalinze kusimamia mapato ya ndani na kuwaasa kutowafumbia macho watumishi ambao wanasababisha kushuka kwa mapato.
Aidha amesisitiza kuweka watumishi wanaosimamia ushuru kukaa kwenye maeneo ya uchimbaji kokoto, hatua inayolenga kuwadhibiti wafanyabiashara wanaojihusisha na ukwepaji wa ushuru.
Zainab alieleza hayo ,katika kikao cha kupitia taarifa ya mkaguzi wa Serikali (CAG),...
5 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU TAMISEMI AITAKA HALMASHAURI YA SHINYANGA KUBORESHA UKUSANYAJI WA MAPATO
NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu OR-TAMISEMI Gerald Mweli ametembelea halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga na kukagua eneo la...
10 years ago
StarTV28 Jan
Halmashauri Gairo yaidai Halmashauri Kilosa Sh. Mil. 253
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Halmashauri ya wilaya Mpya ya Gairo mkoa Morogoro imeiangukia Serikali kuwasaidia kurejeshwa kwa fedha za mapato ya ndani zaidi ya shilingi milioni 250 ambazo zimechukuliwa na halmashauri mama ya wilaya ya Kilosa hali inayofanya Gairo kuonesha upungufu katika makusanyo ya ndani.
Halmashauri ya wilaya ya Kilosa imekuwa ikichukua mapato ya ndani ya halmashauri ya Gairo kupitia wakala wa kukusanya mapato walioingia mkataba na wilaya hiyo ya Kilosa kabla...
9 years ago
Habarileo14 Oct
JK aitaka Tanesco kuchangamkia fursa
RAIS Jakaya Kikwete amezindua kituo cha kufua umeme kwa mitambo ya gesi asilia cha Kinyerezi I na kutaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kuchangamkia fursa ya upungufu wa umeme Afrika ili kuwa na uhakika wa mapato.
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Ban aitaka ulaya kuwasaidia wahamiaji
10 years ago
BBCSwahili16 May
Kerry aitaka China kupunguza misukosuko
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Mbunge aitaka Aga Khan Zanzibar
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Rais wa Yemen aitaka UN kuingilia kati
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Maduro aitaka Marekani kuondoa vikwazo