Kerry aitaka China kupunguza misukosuko
Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani John Kerry amezumgumzia misukosuko inayozidi kuongezeka kusini mwa bahari ya China.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Waziri Mkuya aitaka NMB kupunguza riba
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya, ameuomba uongozi wa Benki ya NMB kuangalia jinsi ya kuwainua watanzania kwa kupunguza viwango vya riba. Mkuya aliyasema hayo mwishoni mwa wiki katika...
10 years ago
VijimamboNAWERA AITAKA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KUPUNGUZA BEI KUBWA ZA DAWA NCHINI
MWENYEKITI wa Chama cha Walaji na Tiba Tanzania , Elias Nawera, ameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kutatua changamoto ya bei kubwa ya dawa za binadamu wanayotozwa Watanzania.
Nawera alisema sera ya afya inasema kila mtu ana haki ya kupata huduma za afya kwa bei nafuu, lakini bado Watanzania wengi wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kununua dawa kwa bei kubwa.“Tunaomba Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii aingilie kati suala hili,wanaoteseka kwa kiwango...
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Marekani na China kupunguza hewa chafu
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Kupunguza uchumi wa taslimu uwe mkakati wa kupunguza ujambazi
MATUKIO ya majambazi kuwavamia watu na kuwakuta na fedha nyingi ni mengi. Juzi sista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka – Dar es Salaam, alivamiwa na kupigwa risasi na majambazi,...
10 years ago
Habarileo01 Jan
Ndoto za Sharifu zaonesha misukosuko na utulivu 2015
SHEHE Sharifu Mikidadi Matongo maarufu kama Shehe Sharifu amesema kwamba ameoteshwa kuwa kuna mambo makubwa manane yatatokea katika taifa la Tanzania kwa kipindi cha mwaka huu, 2015.
9 years ago
Bongo511 Nov
Manyika Jr na Naima wapanga kufunga ndoa, aeleza misukosuko waliyopitia
![12081027_1651638835115791_2014890630_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12081027_1651638835115791_2014890630_n-300x194.jpg)
Mlinda mlango wa Simba, Peter Manyika Jr na mchumba wake Naima wanatarajia kufunga ndoa hivi karibuni.
Wawili hao wamepitia misukosuko mingi kwenye uhusiano wao ikiwa ni pamoja na kuwa kwenye hatari kuvunjika kwa uhusiano wao kutokana na shinikizo la wazazi na uongozi wa Simba.
Klabu ya Simba iliwahi kumuonya mchezaji huyo baada ya kuwashambulia mashabiki wa soka kwenye mtandao waliodai kuwa Naima ni chanzo cha kushuka kwa kiwango chake uwanjani.
Akiongea kwenye kipindi cha Uhondo cha EFM...
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Ariel Sharon: Mpiganaji aliyekumbana na misukosuko hadi kifo chake
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Kinega; Kijana ‘muuza unga’ aliyepitia misukosuko mingi katika maisha-5
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Kinega: Kijana ‘muuza unga’aliyepitia misukosuko mingi katika maisha