Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kerry aitaka China kupunguza misukosuko

Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani John Kerry amezumgumzia misukosuko inayozidi kuongezeka kusini mwa bahari ya China.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Mkuya aitaka NMB kupunguza riba

WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya, ameuomba uongozi wa Benki ya NMB kuangalia jinsi ya kuwainua watanzania kwa kupunguza viwango vya riba. Mkuya aliyasema hayo mwishoni mwa wiki katika...

 

10 years ago

Vijimambo

NAWERA AITAKA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KUPUNGUZA BEI KUBWA ZA DAWA NCHINI


Elias NaweraNa Dotto Mwaibale
MWENYEKITI wa Chama cha Walaji na Tiba Tanzania , Elias Nawera, ameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kutatua changamoto ya bei kubwa ya dawa za binadamu wanayotozwa Watanzania.
Nawera alisema sera ya afya inasema kila mtu ana haki ya kupata huduma za afya kwa bei nafuu, lakini bado Watanzania wengi wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kununua dawa kwa bei kubwa.“Tunaomba Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii aingilie kati suala hili,wanaoteseka kwa kiwango...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na China kupunguza hewa chafu

Marekani na China zimeweka wazi nia yao ya kupunguza kiasi cha hewa chafu inayozalishwa na nchi hizo

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kupunguza uchumi wa taslimu uwe mkakati wa kupunguza ujambazi

MATUKIO ya majambazi kuwavamia watu na kuwakuta na fedha nyingi ni mengi. Juzi sista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka – Dar es Salaam, alivamiwa na kupigwa risasi na majambazi,...

 

10 years ago

Habarileo

Ndoto za Sharifu zaonesha misukosuko na utulivu 2015

Shehe Sharifu Matongo akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana kuhusu ndoto yake ambayo ameoteshwa kuelekea mwaka 2015. (Na Mpigapicha Wetu).SHEHE Sharifu Mikidadi Matongo maarufu kama Shehe Sharifu amesema kwamba ameoteshwa kuwa kuna mambo makubwa manane yatatokea katika taifa la Tanzania kwa kipindi cha mwaka huu, 2015.

 

9 years ago

Bongo5

Manyika Jr na Naima wapanga kufunga ndoa, aeleza misukosuko waliyopitia

12081027_1651638835115791_2014890630_n

Mlinda mlango wa Simba, Peter Manyika Jr na mchumba wake Naima wanatarajia kufunga ndoa hivi karibuni.

12081027_1651638835115791_2014890630_n

Wawili hao wamepitia misukosuko mingi kwenye uhusiano wao ikiwa ni pamoja na kuwa kwenye hatari kuvunjika kwa uhusiano wao kutokana na shinikizo la wazazi na uongozi wa Simba.

Klabu ya Simba iliwahi kumuonya mchezaji huyo baada ya kuwashambulia mashabiki wa soka kwenye mtandao waliodai kuwa Naima ni chanzo cha kushuka kwa kiwango chake uwanjani.

12093349_1679673918915048_223428952_n

Akiongea kwenye kipindi cha Uhondo cha EFM...

 

10 years ago

Mwananchi

Ariel Sharon: Mpiganaji aliyekumbana na misukosuko hadi kifo chake

Historia ya Israel haiwezi kukamilika bila kutambua mchango wa mmoja wa viongozi wake waliokuwa na msimamo mkali, Ariel Sharon.

 

11 years ago

Mwananchi

Kinega; Kijana ‘muuza unga’ aliyepitia misukosuko mingi katika maisha-5

Ghafla polisi walifika eneo lake la biashara na kumkamata yeye na mwanamke wa Kishona kutoka Zimbabwe, aliyekuwa akiuza matunda karibu na alipo yeye.

 

11 years ago

Mwananchi

Kinega: Kijana ‘muuza unga’aliyepitia misukosuko mingi katika maisha

>Safari yangu ya kukutana na Wilfred Joseph, (Kinega) inaanza saa 4:30 asubuhi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani