Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinega; Kijana ‘muuza unga’ aliyepitia misukosuko mingi katika maisha-5

Ghafla polisi walifika eneo lake la biashara na kumkamata yeye na mwanamke wa Kishona kutoka Zimbabwe, aliyekuwa akiuza matunda karibu na alipo yeye.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kinega: Kijana ‘muuza unga’aliyepitia misukosuko mingi katika maisha

>Safari yangu ya kukutana na Wilfred Joseph, (Kinega) inaanza saa 4:30 asubuhi.

 

11 years ago

GPL

KIJANA AJICHOMA CHUPA, KISA... MAISHA MAGUMU

Na Makongoro Oging’
NI kweli ugumu wa maisha unaweza kumfanya mtu achanganyikiwe na kutamani kujiua ili aondokane na maisha ya duniani?! Fuatilia mkasa wa kijana huyu, Anord au baba Anjela, mkazi wa Tandika jijini Dar es Salaam ambaye wiki iliyopita aliwashangaza watu waliokuwa katika baa moja iliyopo Davis Corner jijini Dar baada ya kununua bia na kujipiga nayo kichwani, si kwa kufurahisha watu bali kutaka kujiua. Tukio...

 

10 years ago

Mwananchi

Maisha bora ni yale unayopanga ungali kijana

Kitabu kimoja kilichoandikwa zaidi ya miaka 1,000 iliyopita kinasema kwamba mtu hujifunza uvumilivu kipindi cha ujana, hakuna uvumilivu kwenye uzee.

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL FURSA YABADILISHA MAISHA YA KIJANA MFUGA KUKU.


Afisa Uhusiano wa Airtel, Dangio Kaniki (kushoto) na Meneja uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (katikati) wakipima uzito wa kuku wa kienyeji wanaofugwa kisasa na kijana Mohamed Kigumi (kulia), anayeishi Kiluvyia jijini Dar Es Salaam baada baada ya kutembelewa nyumbani kwao na kuona maendeleo aliyoyapata baada ya kuwezeshwa na Airtel kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’ miezi sita iliyopita.Afisa Uhusiano wa Airtel, Dangio Kaniki (kulia) na Meneja uhusiano wa Airtel, Jackson...

 

10 years ago

Michuzi

MSAADA TUTANI: Shilingi MILIONI 50 zinahitajika Kuokoa Maisha ya Kijana Huyu

 Kijana ABEL MACHANG'A, mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Ukonga Mombasa Jijini Dar es Salaam, ambae anasumbuliwa na maradhi ya macho, akizungumza na waandishi wa habari ili kuomba msaada wa kupelekwa nje ya nchi kwa ajili ya kupatiwa matibabu. Kijana ABEL MACHANG'A, mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Ukonga Mombasa Jijini Dar es Salaam, ambae anasumbuliwa na maradhi ya macho, akiwa amejipumzisha nyumbani kwao baada ya kuzungumza na waandishi wa habari ili kuomba msaada wa kupelekwa nje...

 

10 years ago

Vijimambo

MSAADA KWA HILI: SHILINGI MILIONI 50 ZINAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA KIJANA HUYU

Kijana ABEL MACHANG'A, mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Ukonga Mombasa Jijini Dar es Salaam, ambae anasumbuliwa na maradhi ya macho, akiwa amejipumzisha nyumbani kwao baada ya kuzungumza na waandishi wa habari ili kuomba msaada wa kupelekwa nje ya nchi kwa ajili ya kupatiwa matibabu.  

Na Mwandishi Wetu
Kijana Abel mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Ukonga Mombasa jijini Dar es Salaam anakabiliwa na maradhi ya macho na mishipa ya fahamu hali iliyosababisha apoteze uwezo wa kuona, na hivyo...

 

10 years ago

Michuzi

Mpigie kura Kijana Mayunga katika #‎AirtelTRACEStar

Tuhakikishe ushindi unarudi nyumbani!!! Mpigie kura Mayunga Tuma SMS yenye neno YUN kwenda 15594 au Piga 0901002233 kisha chagua 1 #‎TeamMayunga #‎AirtelTRACEStar.

Video link, Instagram: https://instagram.com/p/0XCapjGBUb/?taken-by=airtel_tanzania

 

11 years ago

BBCSwahili

Kijana auawa katika mzozo wa mapenzi Kenya

Polisi mjini Nairobi, Kenya wanachunguza kisa cha mwanafunzi mmoja wa kidato cha tatu kumdunga kisu mwanafunzi mwenzake kufuatia mzozo wa mapenzi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani