Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijana auawa katika mzozo wa mapenzi Kenya

Polisi mjini Nairobi, Kenya wanachunguza kisa cha mwanafunzi mmoja wa kidato cha tatu kumdunga kisu mwanafunzi mwenzake kufuatia mzozo wa mapenzi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIJANA AUAWA AKITUHUMIWA USHIRIKINA

Marehemu akipakiwa kwenye gari tayari kumpeleka chumba cha kuhifadhia maiti. Ndugu na jamaa wakishiriki maziko ya marehemu,  Gabriel Mwasyebule kijijini kwao ndembo lwangwa. Marehemu …

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana mwingine mweusi auawa Marekani

Maandamano makubwa yametokea nchini Marekani katika mji wa St Louis ,baada ya askari kumpiga risasi kijana mweusi .

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana aliyewavamia polisi auawa Israel

Polisi nchini Israeli wamemuua kwa kumpiga risasi kijana mmoja wa Kipalestina aliyekuwa na kisu kwenye kizuizi kimoja huko Jerusalem.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kijana aliyewadunga kisu Waisraeli auawa

Polisi wa Israeli wanasema kuwa kijana Mpalestina amewadunga kisu Waisraeli wawili mjini Jerusalem.

 

11 years ago

Habarileo

Kijana auawa kwa tuhuma ya kuiba kuku 4

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Evaresti MangalaKIJANA mwenye umri wa miaka 20 mkazi wa Kijiji cha Isagala, wilayani Kishapu, mkoani Shinyanga, ameuawa na watu waliojichukulia sheria mkononi wakimtuhumu kuiba kuku wanne.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Auawa kwa wivu wa mapenzi

MWANAKIJIJI cha Itenka Tarafa ya Nsimbo wilayani Mlele Katavi, Mary Magese (39) ameuwawa na mwili wake kutupwa katika kisima cha maji. Mauaji hayo yalifanyika Septemba 14 mwaka huu saa mbili...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa kidiplomasia kati ya Kenya na Somalia

Mzozo wa kidiplomasia unanukia kati ya Kenya na Somalia baada ya polisi kumkamata kimakosa mmoja wa maafisa wakuu wa ubalozi wa Somalia nchini Kenya

 

10 years ago

Habarileo

Mwanafunzi auawa baada ya kukutwa na barua ya mapenzi

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa , Jacob MwaruandaMWANAFUNZI wa Kidato cha Pili, Jofrey Robert Mwakatenya (15) anatuhumiwa kuuawa kikatili na baba yake mzazi, Robert Mwakatenya (35) baada ya kumkuta akiwa na barua ya mapenzi, inayodaiwa aliandikiwa na rafiki wake wa kike.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bandari katika mzozo wa haki za binadamu

KUMEIBUKA msuguano ndani ya Serikali na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kuhusiana na tuhuma za unyanyasaji dhidi ya wafanyakazi, wakiwamo wanawake. Kutokana na taarifa hizo kuvuja katika vyombo vya habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani