Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIJANA AUAWA AKITUHUMIWA USHIRIKINA

Marehemu akipakiwa kwenye gari tayari kumpeleka chumba cha kuhifadhia maiti. Ndugu na jamaa wakishiriki maziko ya marehemu,  Gabriel Mwasyebule kijijini kwao ndembo lwangwa. Marehemu …

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kijana aliyewavamia polisi auawa Israel

Polisi nchini Israeli wamemuua kwa kumpiga risasi kijana mmoja wa Kipalestina aliyekuwa na kisu kwenye kizuizi kimoja huko Jerusalem.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana mwingine mweusi auawa Marekani

Maandamano makubwa yametokea nchini Marekani katika mji wa St Louis ,baada ya askari kumpiga risasi kijana mweusi .

 

9 years ago

BBCSwahili

Kijana aliyewadunga kisu Waisraeli auawa

Polisi wa Israeli wanasema kuwa kijana Mpalestina amewadunga kisu Waisraeli wawili mjini Jerusalem.

 

11 years ago

Habarileo

Kijana auawa kwa tuhuma ya kuiba kuku 4

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Evaresti MangalaKIJANA mwenye umri wa miaka 20 mkazi wa Kijiji cha Isagala, wilayani Kishapu, mkoani Shinyanga, ameuawa na watu waliojichukulia sheria mkononi wakimtuhumu kuiba kuku wanne.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kijana auawa katika mzozo wa mapenzi Kenya

Polisi mjini Nairobi, Kenya wanachunguza kisa cha mwanafunzi mmoja wa kidato cha tatu kumdunga kisu mwanafunzi mwenzake kufuatia mzozo wa mapenzi

 

11 years ago

Habarileo

Mbaroni akituhumiwa kuua Polisi

MAKACHERO wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kumkamatammoja wa watuhumiwa hatari wa mauaji ya askari Poli-si mmoja na askari mgambo katika kituo cha polisi Kimanzichana Mkuranga Mkoani Pwani.

 

10 years ago

Habarileo

Mbaroni akituhumiwa kulawiti mtoto

POLISI mkoani Kagera inamshikilia mkazi wa Manispaa ya Bukoba, Jovin Kasuno (22) kwa tuhuma za kulawiti mtoto mwenye umri wa miaka sita na kumuumiza.

 

10 years ago

Habarileo

Diwani kortini akituhumiwa kwa wizi

ALIYEWAHI kuwa Diwani Kata ya Utemini mjini Singida, Charles Masinga amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida kwa tuhuma za kumwibia mwajiri wake bidhaa mbalimbali zenye thamani ya Sh milioni 60.

 

11 years ago

Mwananchi

Binti mbaroni akituhumiwa kutupa mtoto

Mkazi wa Kijiji cha Namibu wilayani Bunda, Adventina Makongo (17) jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa wilaya hiyo kujibu shtaka la kutupa mtoto wake mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kichakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani