Mzozo wa kidiplomasia kati ya Kenya na Somalia
Mzozo wa kidiplomasia unanukia kati ya Kenya na Somalia baada ya polisi kumkamata kimakosa mmoja wa maafisa wakuu wa ubalozi wa Somalia nchini Kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Mzozo wa kidiplomasia watokota Indonesia
Serikali ya Indonesia itatekeleza adhabu ya kifo kwa washukiwa kadhaa wa ulanguzi wa dawa za kulevya nchini humo.
11 years ago
GPL10 years ago
MichuziSHEREHE ZA MIAKA 50 YA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA KATI YA TANZANIA NA CHINA HUKO BEIJING
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Ndugu Li Yuanchao wakati walipokutana kwenye Sherehe ya kutimiza Miaka 50 ya Uhusiano wa Kidiplomasia baina ya Tanzania na China. Sherehe hizo zilizoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini China na kufanyika jijini Beijing leo
Makamu wa Rais wa China Ndugu Li Yuanchao akigonganisha glasi ikiwa ni ishara ya kusherehekea kutimiza miaka 50 ya ushirikiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na China. Sherehe...
Makamu wa Rais wa China Ndugu Li Yuanchao akigonganisha glasi ikiwa ni ishara ya kusherehekea kutimiza miaka 50 ya ushirikiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na China. Sherehe...
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Mzozo waibuka kati ya Hungary , Ufaransa
Mzozo wa kidiplomasia umeibuka kati ya Hungary na Ufaransa juu ya uamuzi wa Hungary kuezeka ua katika mpaka wake na Serbia
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Kijana auawa katika mzozo wa mapenzi Kenya
Polisi mjini Nairobi, Kenya wanachunguza kisa cha mwanafunzi mmoja wa kidato cha tatu kumdunga kisu mwanafunzi mwenzake kufuatia mzozo wa mapenzi
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Watu wawili kati ya watatu waliombaka msichana Somalia wauawa
Watu wawili waliopatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 12 mwezi Februari mwaka jana wameuawa katika mji wa mashariki mwa Somalia wa Bosaso
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya corona: Marais wa Tanzania na Kenya wawataka viongozi wa nchi zao kutatua mzozo wa mpaka
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema Corona haikuanzia Afrika hivyo haipaswi kuwa chanzo cha kutoelewana kati ya nchi za Kenya na Tanzania, na kwamba nchi zote zinahitaji biashara.
10 years ago
BBCSwahili11 Apr
Wakimbizi wa Somalia:Kenya yaonya UN
Serikali ya Kenya imeupatia Umoja wa Mataifa makataa ya miezi mitatu kuwahamisha wakimbizi wa Somalia wapatao nusu milioni
9 years ago
BBC09 Sep
US reopens Somalia mission in Kenya
The US reopens its mission to Somalia in Kenya, the latest step in restoring diplomatic ties since it withdrew from the country two decades ago.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania