Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzozo wa kidiplomasia kati ya Kenya na Somalia

Mzozo wa kidiplomasia unanukia kati ya Kenya na Somalia baada ya polisi kumkamata kimakosa mmoja wa maafisa wakuu wa ubalozi wa Somalia nchini Kenya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa kidiplomasia watokota Indonesia

Serikali ya Indonesia itatekeleza adhabu ya kifo kwa washukiwa kadhaa wa ulanguzi wa dawa za kulevya nchini humo.

 

10 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MIAKA 50 YA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA KATI YA TANZANIA NA CHINA HUKO BEIJING

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Ndugu Li Yuanchao wakati walipokutana kwenye Sherehe ya kutimiza Miaka 50 ya Uhusiano wa Kidiplomasia baina ya Tanzania na China. Sherehe hizo zilizoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini China na kufanyika jijini Beijing leo
 Makamu wa Rais wa China Ndugu Li Yuanchao akigonganisha  glasi ikiwa ni ishara ya kusherehekea kutimiza miaka 50 ya ushirikiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na China. Sherehe...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzozo waibuka kati ya Hungary , Ufaransa

Mzozo wa kidiplomasia umeibuka kati ya Hungary na Ufaransa juu ya uamuzi wa Hungary kuezeka ua katika mpaka wake na Serbia

 

11 years ago

BBCSwahili

Kijana auawa katika mzozo wa mapenzi Kenya

Polisi mjini Nairobi, Kenya wanachunguza kisa cha mwanafunzi mmoja wa kidato cha tatu kumdunga kisu mwanafunzi mwenzake kufuatia mzozo wa mapenzi

 

5 years ago

BBCSwahili

Watu wawili kati ya watatu waliombaka msichana Somalia wauawa

Watu wawili waliopatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 12 mwezi Februari mwaka jana wameuawa katika mji wa mashariki mwa Somalia wa Bosaso

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Marais wa Tanzania na Kenya wawataka viongozi wa nchi zao kutatua mzozo wa mpaka

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema Corona haikuanzia Afrika hivyo haipaswi kuwa chanzo cha kutoelewana kati ya nchi za Kenya na Tanzania, na kwamba nchi zote zinahitaji biashara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia:Kenya yaonya UN

Serikali ya Kenya imeupatia Umoja wa Mataifa makataa ya miezi mitatu kuwahamisha wakimbizi wa Somalia wapatao nusu milioni

 

9 years ago

BBC

US reopens Somalia mission in Kenya

The US reopens its mission to Somalia in Kenya, the latest step in restoring diplomatic ties since it withdrew from the country two decades ago.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani