Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzozo waibuka kati ya Hungary , Ufaransa

Mzozo wa kidiplomasia umeibuka kati ya Hungary na Ufaransa juu ya uamuzi wa Hungary kuezeka ua katika mpaka wake na Serbia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Mzozo waibuka familia ya Mandela

Mke wa zamani wa Nelson Mandela, Winnie Mandela

Mke wa zamani wa Nelson Mandela, Winnie Mandela

Mwandishi Wetu na Mashirika ya habari

MTALIKI wa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Winnie Mandela ameibuka na kutaka watoto wake wapewe nyumba yake iliyoko kijijini Qunu.

Hatua yake hiyo huenda ikazua mgogoro wa kwanza wa kisheria kuhusiana na mali za Nelson Mandela tangu alipoaga dunia mwaka jana.

Mawakili wa Winnie Madikizela-Mandela wamesema kudai nyumba hiyo ni haki yake ya kiutamaduni kwa vile aliwahi kuwa mke wa marehemu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa kidiplomasia kati ya Kenya na Somalia

Mzozo wa kidiplomasia unanukia kati ya Kenya na Somalia baada ya polisi kumkamata kimakosa mmoja wa maafisa wakuu wa ubalozi wa Somalia nchini Kenya

 

10 years ago

Michuzi

President Kikwete has sent a congratulatory message to His Excellency János Áder, President of Hungary on the occasion of the National Day of Hungary

H.E János Áder, President of Hungary H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to His Excellency János Áder, President of Hungary on the occasion of the National Day of Hungary. The message reads as follows:-
“H.E. János Áder,President of HungaryBudapestHUNGARY
Excellency and Dear Colleague,
On behalf of the people and Government of the United Republic of Tanzania and on my own behalf, I take this opportunity to convey my sincere...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hungary

Bunge la Hungary limepitisha sheria ambayo itaipa nguvu serikali yake kufunga mipaka yake yote kwa ajili ya wakimbizi wote

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wakurupuka Hungary

Wahamiaji wamekurupuka kutoka kwenye kambi za wakambizi zilizoko nchini Hungary wakilalamikia hali duni

 

9 years ago

Habarileo

Maganga kuzichapa Hungary kesho

BONDIA Jacob Maganga anatarajiwa kupanda ulingoni kesho dhidi ya bondia wa Hungary, Nobert Nemesapati kuwania mkanda wa dunia katika pambano la Light heavy weight litakalopigwa kwenye mji wa Sportcsamok nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kodi ya internet yapingwa Hungary

Maelfu ya waandamanaji wametaka kusitishwa kwa sheria iliyopendekezwa ya kutoza kodi matumizi ya internet nchini Hungary.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku manunuzi Jumapili,Hungary

Bunge nchini Hungary limepiga kura ya kupendekeza kusitisha kufanya manunuzi ya vitu katika maduka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hungary yasitisha gesi Ukraine

Kampuni kutoka Hungary inayoshughulikia usambazaji gesi ya FGSZ, imesitisha upelekaji nishati hiyo kwa nchi ya Ukraine .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani